Mwanamke mweusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Afu mbona siyo wabaguzi wa rangi
hii ni sahihi kabisa....Nimekaa usukumani miaka mingi kuna single mothers wengi sana,wenyewe wanaita wasimbe,si ajabu nyimba kukuta mabinti watatu wamerudi nyumbani kana wasimbe.
Take care
[emoji4][emoji847]Kwa wasukuma wanawake ni binadamu wa daraja la mwisho.
Hata hivyo wanajua kutunza sana, na wanajua kwanini waliumbwa wanaume.
Na hanha!
Nimeelewa sanaaa😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣Umegoma kabisa
Kweli kabisa hasa wale waliokulia kule kwa mda mrefuWashamba washamba hata wakisoma ujinga huwaishi,very primitive ni aheri maasai
🤣🤣🤣Aisee....we em acha ivoWanaume wa kisukuma,
Chakula ya matapeli wote Hapa DAR
Ukiskia list ya waliopigwa kwa Jeff forex,kalynda,mr.kuku,vanilla, deci, qnet.
Wanaume wa kisukuma wanaongozaView attachment 2519518
Malizia kwa kupiga mluziNASEMAJEEEEE NASEMAJEEEEEEE "MANENO KIDOGO PESA MINGI WEWEE"
Waache bhana,wewe waache ivoivo🙄Wanaume wa kisukuma ni too much know[emoji3]View attachment 2519519