Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa Msukuma kumbe!Kina JPM
Mimi ndo nimesema blow To yeyeKuwa na utu bas
Bora afe yeye, ila ng'ombe aishi[emoji1787]Ha ha ha nasikia wanapenda ng'ombe mpaka wanawavika sarawili.
Pole cute,katika wema wabaya wapoEwaaa anakuona kama uliletwa duniani kumfanyia maisha yake kuwa marahisi ila si binadamu ni mashine flani hivi kiukweli wanaosifia wanaume wa misukuma huwa wananifanye niwaze au mi ninaokutana nao huwa wananidanganya kabila
Acha tu inipite, maana nayeye anaelekea si haba 😄😄😄😄 hatakagi kumsikia huyo ex wa Kisukuma kabisa. Nitaachwa bure bana 😂😂😂😂🤣🤣🤣Chana tu,wako ni wako tu....haiwez ikawa sababu
🤣🤣🤣🤣🤣AiseeThubutu umuazimishe Gari msukuma[emoji26]View attachment 2519601View attachment 2519603