Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Nitafanyaje nimempenda najipanga kwa route zake za ngoma. Nimempendea ucheshi na maneno mengi, sina haja ya redio nyumbani[emoji16][emoji16]Wazaramo watapinga [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafanyaje nimempenda najipanga kwa route zake za ngoma. Nimempendea ucheshi na maneno mengi, sina haja ya redio nyumbani[emoji16][emoji16]Wazaramo watapinga [emoji23]
🤝🤝😍Huna baya mbinguni moja kwa moja
Nimecheka sanaNitafanyaje nimempenda najipanga kwa route zake za ngoma. Nimempendea ucheshi na maneno mengi, sina haja ya redio nyumbani[emoji16][emoji16]
MolaOlemola
Au nasema uongo ? 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa itabid tujifunze.Ole hale mayoooo!
Inabidi tujifundishe kisukuma sasa
I love 2 sweetHi sweetie.
Haya sawaI love 2 sweet
Apa nikujifanye msukuma tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio tunaoni vizuri mkuu, je ni kweli mna utu kweli au tunawasifia hewa tu[emoji23]
Endeleeni hivo hivo👍Ndio tunao
Nimekuelewa[emoji847]Umehitimisha vizuri sana.
Pepo ni ya kwako hakuna wa kukupinga sijui umenielewa lakini
Sasa unaniacheje[emoji847]Endeleeni hivo hivo[emoji106]
Wababe hawezanagi🤣🤣🤣Hapana,mnyakyu nilishashindwa yaan
Shajua🤣🤣🤣Haya sawa
Eti sophy27Apa nikujifanye msukuma tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NashangaaWamefikiwa [emoji3]