Waache waendelee kujifanya hawatufahamu sisiwenye sura za babaYani wanaume bhana
Wanawake wakipenda wanaume wenye pesa na mali ni nongwa lakini ninyi kupenda wanawake wenye sura na tako hewala tu
Anyway ndiyo mvumilie vitimbwi vyao sasa siyo mkipigwa matukio mnaanza kulialia as if it's a surprise to you wakati mnawafahamu fika
AiseeKuna wengine, mpaka kuvuta hisia inabidi uzime taa kwanza
Nahisi utakuwa na shepu la kuvunja chagaAisee
Nilitoe wapi mimi....la nn kwanzaNahisi utakuwa na shepu la kuvunja chaga
Ukweli ni kwamba ''shepu na sura nzuri'' ni relative term. Mr A anaweza kuona Mrs B ana shepu na sura nzuri lakini watu wengine wakaona vingine. Na zaidi mwanamme huwa anaangalia mambo mengine mengi zaidi sura na shape.Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Nikuulize swali, ukiwekewa chakula kwenye sahani ya plastiki chafu chafu au sahani ya udongo iliyorembwa vizuri; utachagua sahani ipi?Nilitoe wapi mimi....la nn kwanza
Kuna shepu zingine zikipita, kila mwanaume lazima atageuka kumtazamaUkweli ni kwamba ''shepu na sura nzuri'' ni relative term. Mr A anaweza kuona Mrs B ana shepu na sura nzuri lakini watu wengine wakaona vingine. Na zaidi mwanamme huwa anaangalia mambo mengine mengi zaidi sura na shape.
Ungesema ya plastic na udongo.Hiyo neno chafuchafu umeharibu neno utu na ustaarabuNikuulize swali, ukiwekewa chakula kwenye sahani ya plastiki chafu chafu au sahani ya udongo iliyorembwa vizuri; utachagua sahani ipi?
Utachagua ipiUngesema ya plastic na udongo.Hiyo neno chafuchafu umeharibu neno utu na ustaarabu
Tatizo siyo kugeuka. Wanageuka kwa sababu gani? Tuulize sisi wakongwe. Shepu siyo kigezo cha mwanamke kupendwa. Shepu inafanya wanaume watamani kufanya experiment zao lakini siyo kumiliki. Uzoefu umeshatufunza mengi na kama utakuwa fair utakubaliana na mimi kuwa wanawake wenye shepu nzuri ndiyo hupata wakati mgumu kuolewa japo wanatumika sana kwa kukata kiu.Kuna shepu zingine zikipita, kila mwanaume lazima atageuka kumtazama
Nakubaliana na hoja yako, kuishi naye ni vigumu kwa sababu anakuwa anahitajika na watu wengiTatizo siyo kugeuka. Wanageuka kwa sababu gani? Tuulize sisi wakongwe. Shepu siyo kigezo cha mwanamke kupendwa. Shepu inafanya wanaume watamani kufanya experiment zao lakini siyo kumiliki. Uzoefu umeshatufunza mengi na kama utakuwa fair utakubaliana na mimi kuwa wanawake wenye shepu nzuri ndiyo hupata wakati mgumu kuolewa japo wanatumika sana kwa kukata kiu.
π π Kaka, hapo mtakuwa mnataka kuwanga ππ€£Kuna wengine, mpaka kuvuta hisia inabidi uzime taa kwanza
Tumefika huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nauza na kununua accounts za jamii forums [emoji120]
πUtachagua ipi
Huo ni uongo mtupu.Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Sema Hakyanani!!Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Kutokana na urefu wa kamba zetu na uwezo wa kushawishi, tunajikuta tunaishia kuwa na mahusiano na watu wasiokuwa na sura au shepu shawishi; huku tukisingizia mwanamke mzuri ni tabia.
Ingawa kuwa meneji, wanawake wenye sura na shepu nzuri ni vigumu; ila tubaki kusema; Mwanaume yeyote rijali, anapenda mwanamke mwenye shepu na sura nzuri.
Huo ndio ukweli
Uongo bhana.Kuna shepu zingine zikipita, kila mwanaume lazima atageuka kumtazama
Weka kapichaNimejitizama sina kigezo,
naonewa huruma tu,
Inawezekana una hizo sifaSema Hakyanani!!