Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

Haaah mzee mbona kawaida izo mambo siku izi mapenzi ni kitu simpo Sana sio lazima kutoa pesa almost wanaume wote tuna kipaji kama chako mbona afu kawaida tu.Labda mm ukinizidi pesa apo ntaumia
 
Hold on! Umesema unapendwa? Hakuna anayependa wala kupendwa hapo wapuuzi tu wamekutana wanahadithiana upuuzi wao.

Mwanamke anayependa kweli hata kuhisi tu mwanaume wake ana mwanamke mwingine ni vita, ila hao wanaochekelea hadi kuhadithiana kuna jina lao mimi sitolitumia.
 
Ukisoma comments utagundua ni Wanaume wachache sana wanambato bila kuhonga.Ile mentality ya wanaume tumeumbwa kuteseka itawaua.Fikiria unatongoza pisi,unaihonga mpaka ikubali,then unaipeleka Dina,then unatafuta loji,unasimamia kucha Ili demu akojoe then unampa pole na nauli juu!????As long as I remember sijawahi toa shingi kumi Kwa manzi na ninawala kama kawa.Wanaweza wasiwe kina Wema sepetu ila ni pisi quality tu zenye Tako and everything.Niishie hapo.
 
Sema vijana hawaelewi hii ndio maana wakisikia wanaume wenzao wanateleza tu inawauma sana wakifikiria wao ni hadi waumie ndio wanapata
 
Haaah mzee mbona kawaida izo mambo siku izi mapenzi ni kitu simpo Sana sio lazima kutoa pesa almost wanaume wote tuna kipaji kama chako mbona afu kawaida tu.Labda mm ukinizidi pesa apo ntaumia
Usichukulie poa kaka wenzio kuvipata hivi hadi wahonge na kuji sacrifice sana kama wewe unavipata free furahia
 
Wanazungukana mbili anamzunguka moja ,na tatu anamzunguka mbili na huyu tatu anarafiki yake nae ni kisu hatari soon na atazungukwa...mimi sina neno najifaidia vibuyu vyao
 
Jina lako limenikumbusha huyu Character Vito Ferrari mtu mbaaaya sana duniani, JHC alimchora vizuri sana
 
Pisi zako zitakuwa mbovu sana maana hata uandishi ni wa uswahilini
 
Comments zinachekesha hatariii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayanaga tuzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…