Mwanaume yeyote rijari asie penda kuwa kama mimi anyooshe mkono

weka na picha tuone
 
What a waste
 
Nakufaham na unakitambi shezi sana
 
Kama nasikia harufu ya haszu kwenye huu uzi 🤔
 
Ni stages na vipaumbele tu mkuu.

Nakumbuka hata mi enzi zangu ilikua kawaida kua pisi nyingi nyingi na nyingine zinajuana kabisa huyu anatoka na fulani ila nazo zinaweka kambi.

Naweza kusema ni ujana sometimes, na sio lazima uwe kijana mdogo. Ukiruka stage hiyo hata uwe na miaka 30 bado utabehave kama kijana wa miaka 17 kwa kua na videm vingi vingi hata zaidi ya 10 huku ukijiona mjaaanja na kutambia wana kama ww ufanyavyo.
 
Endeleeni kulia nayo
 
Mkuu jipige kifua mara tatu huku ukijiambia kimoyomoyo kwamba wewe ni mgonjwa wa afya ya akili,baada ya hapo wahi hospitali upate matibabu ya kisaikolojia haraka sana,,,maana ukichelewa tatizo litazidi kuwa kubwa
 
Mkuu jipige kifua mara tatu huku ukijiambia kimoyomoyo kwamba wewe ni mgonjwa wa afya ya akili,baada ya hapo wahi hospitali upate matibabu ya kisaikolojia haraka sana,,,maana ukichelewa tatizo litazidi kuwa kubwa
Sasa hii yote ya nini....?😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…