Hiyo mipoliCCM,ishazoea kufanya madudu ya aina hiyo,si mnakumbuka namna Kamanda Kamuhanda,alivyoamrisha mauajiya mwandishi Mwangosi,ambapo hadi sasa huyo Kamuhanda hakupandishwa kizimbani kujibu tuhuma za mauaji,na badala yake,bosi wake JK,amempandisha cheo,kwa utumishi uliotukuka wa kumwua Mwangosi!
Kwa hiyo hata wale wanaofikiri ile kauli ya Pinda,ya kusema PIGA TU TENA WAPIGWE SANA KWA KUWA TUMECHOKA.
Hiyo siyo kauli ya Pinda as an individual,bali huo ndio msimamo wa serikali nzima ya CCM.
Kumbuka JK,alipotoa siri kwenye mkutano mkuu wa CCM,uliopita,alipowaasa wanaCCM wenzake,wapunguze kuwatumia poliCCM,kuwabeba kwenye shughuli zao za kisiasa!!