Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

Mwandishi aliyetoa habari za vifo vya wanajeshi wa IDF kauliwa na Mossad

Gaza haijengeki tena we endelea kuota ndoto za mchana,
Dogo kwenye hizi makitu we huelewi kitu so tulia, futa maji maji hayo kwenye nchonyo.


Unajua 1945 Kalingrad au Berlin, Warsaw,Paris nagasaki na Hiroshima zilivyo kua?

We unasema Gaza technology imekua ya ujenzi hapo miezi mitatu mpaka sita ground inakua nyeupe. Wachina Wana mwagwa hapo kuijenga upya Gaza. Sema muwe mnakua
 
Hili ndio lengo la vita la hao mabwana zako? Lengo ni kuifuta Hamas na kuwapata mateka wao,je malengo yao yametimia?

Vita sio kubomoa majumba kijana,ushindi hupatikana pale unapotimiza malengo yako,nje ya hapo unahesabika umefeli,wayahudi waliopo Tel Aviv wanasema vita imewashinda ila wewe uliyepo huko Shelui ndani ndani unasifia!
Asicho elewa ni kua Ile fast attack ya idf kupiga majengo ilikua ni kuitisha Hamas iogope Ione huu mziki wa wakubwa hivyo watoto wakalale. Sasa wamejikuta wao ndio inatakiwa wakalale wakubwa waendelee kulisakata gonna.

Inaitwa. Mapigo ya kimkakati kumtisha adui. Ila walicho kosea hao ni Hamas sio wajukuu wa falao wamisri na ndugu zao wajordan wepesi wepesi
 
gaza maiti zinazikwa kwa skaveta
Sawa ila hao ni raia wa kawaida sio militant wa kipalestina, hata Hamas ingekua lengo lao ni kuua Raia wa kawaida wa Israel wamgewaua wengi tu, Zile Iron Dome zinalinda tu Maslahi ya Israel na sio raia wote, Kuna maeneo kibao Israel unaweza dondosha rocket na kuua watu ila Hawafanyi hivyo sababu lengo lao si kuua watu Bali kupigana na Serikali ya Israel.
 
🛑 Al-Qassam (Hamas)

Wapiganaji wetu walithibitisha kusababisha vifo na majeruhi, kwa kulenga vifaru 2 vya Merkava & bulldoza ya kijeshi ya D9 yenye Yassin-105s.

Qassam pia alilipua vichuguu 2 vilivyonaswa na mabomu vikiwalenga wanajeshi na uwanja wa migodi ukiwalenga wanajeshi 7.
 
🤣🤣🤣
Muisrael mweusi wa Tukuyu anakuja lengo lake sasa wewe goro na White House National Security Council spokesperson John Kirby, tumuamini nani? Msome John Kirby.

Kirby acknowledges, though, that while it’s possible for Israel to significantly degrade Hamas’s capabilities by eliminating the terror group’s leadership, the IDF won’t likely be able to “erase the group from existence.”

“You are probably not going to eliminate the ideology,” Kirby says, reiterating the US belief that only by presenting a viable path toward peace can the vision of Hamas be successfully combated.

Wanasema hawezi kuifuta Hamas wewe Muisrael mweusi unashindwa hata kujitibu UTI unasema wameifuta

Dogo kwenye hizi makitu we huelewi kitu so tulia, futa maji maji hayo kwenye nchonyo.


Unajua 1945 Kalingrad au Berlin, Warsaw,Paris nagasaki na Hiroshima zilivyo kua?

We unasema Gaza technology imekua ya ujenzi hapo miezi mitatu mpaka sita ground inakua nyeupe. Wachina Wana mwagwa hapo kuijenga upya Gaza. Sema muwe mnakua

Dogo kwenye hizi makitu we huelewi kitu so tulia, futa maji maji hayo kwenye nchonyo.


Unajua 1945 Kalingrad au Berlin, Warsaw,Paris nagasaki na Hiroshima zilivyo kua?

We unasema Gaza technology imekua ya ujenzi hapo miezi mitatu mpaka sita ground inakua nyeupe. Wachina Wana mwagwa hapo kuijenga upya Gaza. Sema muwe mnakua

Lini walikubeba?

Unafikiri ni ushabiki wa yanga na simba ule?
Ni vyema kama mngeenda kuongeza nguvu gaza kuliko kuendelea kujificha nyuma ya keybord,
 

Attachments

  • Screenshot_20240104-120108.jpg
    Screenshot_20240104-120108.jpg
    103.5 KB · Views: 1
Unashangaa Gaza magofu wakati kijijini kwenu mnakunya kwe choo cha shimo mlango gunia.

Unajua kama kuna mfuko wa kujenga Gaza unasimimiwa na Qatar.

Tuma pesa nyumbani mjenge choo.
Hakuna jengo litasimama tena Gaza.
 
Back
Top Bottom