Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Cyber crimes Act, inafanya kazi wala sio utawala wa kiimla.Utawala wa kiimla!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cyber crimes Act, inafanya kazi wala sio utawala wa kiimla.Utawala wa kiimla!
SureMwita anahangaika sanaaa.
Mwambieni bara bara ya Mombasa- moshi bar ina mashimo mengi sana
Ila Duh...!. imekaa sawa...
Sasa unashangaa nini ambacho hukijui.Duh...!.
P
Hawezi ng'o...... sasa hivi amepiga magoti na mikon imefungwa pingu kwa nyuma huku kwe paji la uso kuna mtutu... akikohoa kinyume analipuliwa....Hebu toa maoni yako kwanza
Why???Mwita Waitara anakoelekea lazima achanganyikiwe!
This nigga is uselessssss!
Sio mashimo! Ni mahandaki kabisa. Wakati Bangulo hadi leo watu wanabebwa !Mwita anahangaika sanaaa.
Mwambieni bara bara ya Mombasa- moshi bar ina mashimo mengi sana
Hii nchi inakoelekea...
Alipata dhamana? Mungu wake mkubwaJana alidhaminiwa mbona
Yah alipata janaAlipata dhamana? Mungu wake mkubwa