Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,856
- 814
waitara hana shida na jimbo la ukonga, akili yake ipo tarime vijijini ambapo huenda akachuana ndani ya chama na akina gimunta, eliakimu maswi, nyerere mwera, dr. maricha,na wengine wengi, so ni muda muafaka kama kiongozi akajitafakari maana kwenye siasa kuna kuchafuana, cha msingi asiwe na jaziba hasa pale km wana tarime/ukonga tunapomkosoa.