Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Ni kati ya dini za mwilini hiyo na ndiyo maana mungu wao anapambaniwa na wanadamu ila Mungu kamwe hapambaniwi na watu maana yeye ni juu ya vyote baada yake hakuna mwingine.
Petro hakutumwa na YESU akate sikio la binadamu mwingine anayetaka kumdhuru YESU, ni hisia zake zilimtuma akiamini anampigania.

Lazima tutofautishe kumpambania mungu na hisia. Ni simple tu, sisi wakristo tuheshimu hisia za binadamu wa imani tofauti sababu tusipoziheshimu hisia zao zinaweza zikawapelekea kufanya maamuzi mabaya. Kuna watu kihisia wanaamini wako karibu sana na mungu wanae muabudu.
 
Huelewei vitu unavyojaribu unacholinganisha.
Mama yako ni halisi na anaweza kuthibitika, mambo mengi ya dini ni hadithi zisizo na uthbitisho kama za Abunuwasi.
Hadithi ni kulingana na wewe Yoda. Kwa mwingine kwake si hadithi ni jambo halisi. Hapa ndipo heshima inapotakiwa ifanye kazi na ni kinyume cha sheria pia kutukana imani nyingine kwa namna itakayoonyesha kumvunjia heshima huyo muamini. Ni simpe tu, HESHIMU IMANI YA MWINGINE. MAISHA NI MAZURI SANA KAMA TUTAHESHIMIANA.
 
Petro hakutumwa na YESU akate sikio la binadamu mwingine anayetaka kumdhuru YESU, ni hisia zake zilimtuma akiamini anampigania.

Lazima tutofautishe kumpambania mungu na hisia. Ni simple tu, sisi wakristo tuheshimu hisia za binadamu wa imani tofauti sababu tusipoziheshimu hisia zao zinaweza zikawapelekea kufanya maamuzi mabaya. Kuna watu kihisia wanaamini wako karibu sana na mungu wanae muabudu.
Zipo dini humpambania mungu wao hata ikibidi kuuwa wengine na ahadi wamepewa ya nini watapata pindi wanapompambania mungu wao na ukitaka watakuonyesha kwenye misaafu yao.
 
Zipo dini humpambania mungu wao hata ikibidi kuuwa wengine na ahadi wamepewa ya nini watapata pindi wanapompambania mungu wao na ukitaka watakuonyesha kwenye misaafu yao.
Hawawezi jaribu ndani ya nchi hii wakabaki salama. Ninachosema ni kwamba sisi tuliostaarabika tusitoke tukaanza kutukana hovyo sababu tunaamini tunayemtukana hayupo sahihi kuabudu mungu anayemuabudu.

Tukifanya hivyo tunaweza amsha hisia zake na akafanya tukio la kudhuru. Kuheshimiana ni lazima hata kama mtu anaabudu kitimoto.
images - 2022-08-13T085712.890.jpeg
 
Mbona huu ushambuliaji naona kama Wazungu wametekeleza wenyewe. Naona kuna kitu wanataka justification ya kuanza kuinajisi Iran
Ziara ya Putin Iran siku chache zilizopita inaonekana imewatia tumbo joto

Let's wait n see
 
Mbona huu ushambuliaji naona kama Wazungu wametekeleza wenyewe. Naona kuna kitu wanataka justification ya kuanza kuinajisi Iran
Ziara ya Putin Iran siku chache zilizopita inaonekana imewatia tumbo joto

Let's wait n see
Hukumu yake ya kifo ilitolewa Iran na kiongozi mkuu wa kidini
 
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?

Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
Ukiambiwa mama malaya na kweli ni malaya ndio upaniki...huo utakua ni upungufu wa akili..hii dini ni dini ya waliokosa akili..wengi wamejazwa ujinga na upuuzi.

Ndio ambayo sio salama kwa dunia hii ya sasa..inapaswa iangaliwe kwa umakini mkubwa sana..kila ilipo hii dini hakuna amani...kama ipo basi kinafiki.

#MaendeleoHayanaChama
 
dini ya wavaa kobaz inajidhihirisha ujinga wake ,hv mungu hajiwez mpk mumpiganie , si aliwaumba lkn ?
Sijapata kuona mjinga humu kukuzidi wewe..

Labda na wewe usiamini katika dini ila kama unaamini katika dini na wewe upo katika kundi mmoja na unaowadhihaki.

Maswali yangu kama na wewe una imani ya dini na Mungu.

1.Kama Mungu wa dini fulani mpk apiganiwe kea nini Mungu wako mpk umuombe yeye si muweza wa yote anajua mpk yaliyo moyoni kuwa nini awaache watu mpk wateseke asiwasaidia tu automatically ?

2.Kama wa Wenzako mpk apiganiwe kea nini wako awependelee baadhi kuwapa utume na vitabu kama ukoo wa Ibrahim na asitukumbuke sisi wa Buza wakati ni muweza wa yote ?

3.Miujiza na visa vya kale vyote unavyoamini katika dini yako na kitabu chako cha dini unaweza kututhibitishia kama huwezi mtu akikuita mjinga na kuitukana dini yako kuwa ya kipumbavu atakuwa amekosea ? Si kama tu wewe unavyowadhihaki unaowaita wavaa Kobazi kea kuwaita wajinga..

Nb:Kila mtu aheshimu imani ya mwenzie bila na ndio maana swala la dini likaitwa ni imani sasa tukisema tutafute makosa ya kila dini hapa tutakesha kwani kila mtu anahoja zake anazoziamini ni za msingi muhimu ni kuamini unavyoamini na ya wengine waachie wengine.
 
Ukiambiwa mama malaya na kweli ni malaya ndio upaniki...huo utakua ni upungufu wa akili..hii dini ni dini ya waliokosa akili..wengi wamejazwa ujinga na upuuzi.

Ndio ambayo sio salama kwa dunia hii ya sasa..inapaswa iangaliwe kwa umakini mkubwa sana..kila ilipo hii dini hakuna amani...kama ipo basi kinafiki.

#MaendeleoHayanaChama
Namuona mpuuzi sana mtu anayekashifu dini ya mwenzake wakati na yeye anamini katika na usikute hata dini yake wala maandiko yake hajayachunguza..

Twende kwenye maswali.

1.Unaweza kunithibitishia miujiza na visa vilivyomo katika katika kitabu chako cha dini wakati vingine hata kiakili na kisanyansi inakataa ?kama hauwezi dini yako ikiitwa ya kijinga na wewe ni mjinga ni Sawa ?

2.Unaamini katika Mungu ? kama ndio kama muweza wa yote kwa nini ukiamka asubuhi usikute chakula mpk uteseke na kwa nini awape nguvu watu wengine mpaka wanaua wenzao ? Nikikuita mjinga na dini yako ina mafundisho ya kishenzi nitakua nimekosea ?
 
Mkuu umefurahishwa na kifo cha huyo mwandishi?

Fatwaa ni diffencive mechanism ya dini yako kila inapokosolewa?



Tumia elimu yako vizuri
Dini dhaifu sana..uukiona hivyo ina mapungufu mengi..hivyo fatwa na kama defensive mechanism isiwekwe uchi..satanic verses.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii dini waumini wake ndio mfano wa huyu..wengi hawawezi kujibu hoja mana wana akili finyu..hivyo kwa hasira na ujinga huanza kujibu matusi na kutukana hovyo kisha hujilipua mana ndio akili zao zilipofikia ukomo wa kufikiri.

#MaendeleoHayanaChama
Wewe ndio mwenye akili finyu umekurupuka kumquote kama unavyokurupuka kusoma vifungu vya kitabu chako cha dini bila kutumia akili .

Hivi umefuatilia hapo Billy Butcher alipotukana nani aliyeanza kumtukana mwenzake na kutoa personal attack mimi sitetei alichokifanya sasa mbona wewe umemqoute na kukemea uovu wa mtu mmoja tena aliyechokozwa na kumuacha aliyeanzisha matusi ?

Pamoja na yote hukuridhika na ukaamua kuhusisha comment ya kutukana na Uislamu vipi kwani hakuna wakristo wanaotukana na kuongoza kwenye maovu na itakuwa makosa kusema hayo katoa kwenye dini yenu kama ulivyofanya ?

Zumaridi ,Nabii Shilla ,Kibwetere nk vipi hao wanatoa wapi mafundisho yao ?
 
Ajitetee mwenyewe.

Kama hawezi kujitetea ni kibwengo tu kama vibwengo wengine.
Hahaaa..umenikumbusha maneno ya mandonga ..eti shabani kaoneka umepanda mtubwi wa vibwengo,mtubwi wa vibengwo huwa hauvushi watu.[emoji28]

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom