Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
km mungu kakuumba bas huez mpigania maana anakuzid kila kitu
 
Ajitetee mwenyewe.

Kama hawezi kujitetea ni kibwengo tu kama vibwengo wengine.
Kama na wewe una amini katika dini haina haja ya kuwakashifu wenzako..

Tuanze na maswali.

1.Visa vilivyomo katika kitabu chako cha dini na miujiza iliyopo mule unaweza kututhibitishia?kama hauwezi ukiitwa mjinga mshenzi na dini yako ya ujinga ushenzi itakua makosa .

2.Kama wakwao mpk apiganiwe mbona wako mpk umuombe kwani si muweza wa yote kwa nini akutese na maombi? mtu akikuita mjinga na dini yako ya kijinga atakua amefanya makosa?

3.Kama kwenye dini yako inafundishwa kuna Mitume na Manabii sasa kwa nini wapendelewe baadhi halafu wa huku Buza tuachwe dini mpk tuletewe ? Nikisema unaamini dini ya wajinga na washenzi nitakua nafanya makosa ?
 
Waumini wa Dini ya kiislamu tunakumbushwa ktk Qur'an kuwa tusitukane Dini nyingine ili nao wasije tukana Dini yetu.....kwani ukiwatukana wao na wao wakamtukana Mola wako ujue ndugu muislamu wewe ndio utabeba hiyo dhima.

Huwa Kitabu chetu kinatuambia kuwa unapoona mijadala ya kipuuzi basi jitenge nayo uwe mbali nayo.....mpaka itakapo Isha ndo urejee hapo....kuendelea kuwa sehemu ya hiyo mijadala nawe unakuwa mpuuzi na utabeba dhima hiyo.

Mijadala yenye kujenga haikatazwi lkn mijadala mingi inayohusu mambo ya Dini huwa ni kutukanana Tu na kuleta chuki baina yetu...hivyo ni busara Sana kujitenga nayo....baadhi yetu huenda tuna ghadhabu na hasira za ghafla na hivyo kupelekea kurushiana maneno machafu kama baadhi ya komenti ambazo tumeziona......mm binafsi mtu aweza nitukana na Dini yangu pia lkn Nina uwezo wa kutuliza hisia zangu na nikajadiliana nae pasina kumtukana lkn huwa sipendi kwakuwa najua mwisho wake sio mzuri....kuna watu ambao ni wapuuzi by nature hata ukimpa hoja thabiti lkn bado atakuja na mambo yake anayoyaamini yeye mwenyewe.

Namalizia na Maneno ya Mtume Muhammad (rehma na Amani ziwe juu yake) alisema "Mwenye nguvu si Yule anayepigana Bali ni Yule anaye zuia hasira zake pale anapokasirika"

Na Kwa wasio waislamu....dini ya kiislamu inaelekeza au kulinda vitu vitukufu au mambo matukufu yasichafuliwe...na ndio maana waislamu popote duniani wapo tayar kulinda Kitabu Chao,kumlinda Mtume wao na kulinda heshima ya Mola wao....ndio maana huyo bwege alikuwa auwawe Tu hata kama atapona basi bado watadili nae Tu! Ukiyakoroga itabidi uyanywe Tu.

Na ndio maana hata ukiangalia sinema za historia ya kiislamu huwezi kukuta kuna mtu ame act kama Mtume......hakuna Jambo kama Hilo .....tofauti na wenzetu wakristo mtu ame act kama mkristo mfano Yule muigizaji maarufu WA sinema ya Yesu, watu wakawa wanamuita Yesu na wengine mmebandika picha zake majumbani kwenu kana kwamba ndio Yesu Mwenyewe....Uislamu uliliona Hilo na kuamua kutoruhusu mambo kama hayo kabisa.

Sitakuwa tena sehemu ya huu mjadala kwakuwa najua kuna wapuuzi ambao wataendelea kuleta upuuzi wao!
Acheni kuua watu..usije na vi naneno vyako vya kutia huruma..hii dini imekua ni dini ya chuki na visasi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ulimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu kila kona? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria.

Jamii zetu ninazozifahamu hakuna mtu anaweza kuja akaanza kutukana wazazi wako hovyo, jamii itamdhibiti au sheria itamuadhibu.

Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine hata kama haupendi. Uhuru ni pamoja na kuheshimu imani za watu wengine. Esp we Christian, hatutakiwi kutukana tukana imani za watu wengine.
Nyiny mnatatizo sn ,ingia kweny misikit utasikia mawaidha ya kukashif ukristu , madrasa watoto wanafundishwa chuki dhid ya ukristu ( nmesoma madrassa na mafundishp ya rc pia kwa walokole ila waislam nliona mafundisho ya uchochez mengi ) , mnafikia hatua had kweny daladala mnaweka mawaidha ya uchafudhi wa dini za wengine mf temeke _ toangoma , buza _ magenge nimewahi sikia mawaidha yanasema ukristu ni ushetan ila wakristu walitulia kimya wakamwelekeza dereva kwa utulivu bila kushika kisu au panga
 
km mungu kakuumba bas huez mpigania maana anakuzid kila kitu
Wewe mtu ni mpuuzi sijawahi kuona hata muandiko wako unathibitisha ujinga wako na sijui kama umevuka hata darasa la nne yaani makosa kibao ya uandishi kama mtoto wa chekechea.

Twende kwenye swali.
1.Kama Mungu hawezi kupiganiwa ni muweza wa kila kitu kwa mantiki hiyo hata kwa nini dini zote hata ujinga unaouamini tunafundishwa mtu ukiwa na shida umuombe hata na ndio maana watu nafanya maombi kanisani sasa kwa nini tumuombe wakati yeye muweza wa yote na anajua ya ndani ? Nikikuita mpuuzi kwa mara ya pili tena mjinga uliyetukuka nitakua nakosea.
 
Petro hakutumwa na YESU akate sikio la binadamu mwingine anayetaka kumdhuru YESU, ni hisia zake zilimtuma akiamini anampigania.

Lazima tutofautishe kumpambania mungu na hisia. Ni simple tu, sisi wakristo tuheshimu hisia za binadamu wa imani tofauti sababu tusipoziheshimu hisia zao zinaweza zikawapelekea kufanya maamuzi mabaya. Kuna watu kihisia wanaamini wako karibu sana na mungu wanae muabudu.
km hujui tulia uliza mkuu , wavaa kobaz ni wakolof sn
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
km hujui tulia uliza mkuu , wavaa kobaz ni wakolof sn
"Wakolof "ndio nini akili unazo kweli kiswahili tu shida kuandika je article ya kingereza utaweza kusoma kweli ?

Sahihi kuweka 'r' isomeke wakorofi
 
Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
Tenga muda kasome biblia vizuri ndio uje kusema hichi unachokisema..pole sana acha kupanik..dini ni upendo na amani na kuishi na watu wote sio chuki na visasi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tenga muda kasome biblia vizuri ndio uje kusema hichi unachokisema..pole sana acha kupanik..dini ni upendo na amani na kuishi na watu wote sio chuki na visasi.

#MaendeleoHayanaChama
Kwenye bible zipo violent verses nyingi tena nyingine za upanga kabisa.
1589626440983.png

Screenshot_20220613_123226.jpg
 
Kama na wewe una amini katika dini haina haja ya kuwakashifu wenzako..

Tuanze na maswali.

1.Visa vilivyomo katika kitabu chako cha dini na miujiza iliyopo mule unaweza kututhibitishia?kama hauwezi ukiitwa mjinga mshenzi na dini yako ya ujinga ushenzi itakua makosa .

2.Kama wakwao mpk apiganiwe mbona wako mpk umuombe kwani si muweza wa yote kwa nini akutese na maombi? mtu akikuita mjinga na dini yako ya kijinga atakua amefanya makosa?

3.Kama kwenye dini yako inafundishwa kuna Mitume na Manabii sasa kwa nini wapendelewe baadhi halafu wa huku Buza tuachwe dini mpk tuletewe ? Nikisema unaamini dini ya wajinga na washenzi nitakua nafanya makosa ?
Mbona unamuuliza maswali ya kitoto hivi
 
Maustaadh na wavaa kobaz wamefurahi kweli kweli ..Mungu wao amechanganyikiwa haswa ..ona waumini wake wanavyofanya ..ukishakuwa mvaa kobaz unakuwa kama Mungu wao takbiiir takbiiiir takbiiirr
 
Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
Nyie wavaa kobaz uyo Mwinyaaz wenu ndio kawatuma kuwadhuru wengine kwa kujitoa muhanga kisa mabikra 72 mloahidiwa?
 
Back
Top Bottom