Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Chief iko hivi ,wakristo hawatumii violence ili kutetea imani au kumtetea Mungu wao kwa sababu mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu mwenyewe.

Mtu hata akikashifu imani yao,tukana Mungu wao,aponde kitabu chao nk. Uvumilivu ,upendo na amani ndiyo nguzo yao kuu.

Tukija kwa waislam ni tofauti kwa sababu mnahubiri amani wakati mkono mmoja upo nyuma umeshika jiwe. Hii ni karne ya 21 na hamuwezi kuishi kama enzi za mtume.

Violence sio jibu la kuipigania dini au Mungu, kwenye tukio la Jana Rushdie hajafa na pia amepata publicity ya nguvu ya kitabu chake cha miaka zaidi ya 30 iliyopita.

Watu wasio kijua watataka wakisome,kuna watu walikua wapo kwenye process ya kuhamia uislam waghairi.

Mwisho wa siku uislam sio dini ya amani kwa sababu inataka mtu kama akihama dini auawe
Kuna waislamu wangapi na wanafanya hivyo wangapi ?

Hata wauaji wapo kwa upande wa kikirsto na kama hilinkundi la kugaidi linatumia hadi nembo ya msalaba
Flag_of_the_Ku_Klux_Klan.svg.png


kkk-chicago-flashback-0125-20150123-e1446548107862-2lw7l8q-1080x633(1).jpg
 
Jamaa atauza
Chief iko hivi ,wakristo hawatumii violence ili kutetea imani au kumtetea Mungu wao kwa sababu mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu mwenyewe.

Mtu hata akikashifu imani yao,tukana Mungu wao,aponde kitabu chao nk. Uvumilivu ,upendo na amani ndiyo nguzo yao kuu.

Tukija kwa waislam ni tofauti kwa sababu mnahubiri amani wakati mkono mmoja upo nyuma umeshika jiwe. Hii ni karne ya 21 na hamuwezi kuishi kama enzi za mtume.

Violence sio jibu la kuipigania dini au Mungu, kwenye tukio la Jana Rushdie hajafa na pia amepata publicity ya nguvu ya kitabu chake cha miaka zaidi ya 30 iliyopita.

Watu wasio kijua watataka wakisome,kuna watu walikua wapo kwenye process ya kuhamia uislam waghairi.

Mwisho wa siku uislam sio dini ya amani kwa sababu inataka mtu kama akihama dini auawe
copies Nyingi pengine zaidi alivyouza miaka yote iliyopita- Promo ya jana sio kidogo
 
Read the whole story
Acha kuweka vipande vipande utachanganyikiwa
Nimesoma mwanzo mwisho tena mfumo wa hardcopy hapa nafanya marejeo tu.

Kiufupi mimi hakuna kitu ninachokipenda kama kusoma(kwa akili na kuchambua) na nina library home inalundo la vitabu na majarida kuhusu mada mbalimbali hata against dini yangu na dini nyingine ili kupata ufahamu na sipelekeshwe kama ng'ombe hapo chini nimeweka picha ya majarida ya maarufu Marekani Times ndani kuna makala maalumu za kidini,kihistoria ,uchumi nk .Mimi sifuati wala kuandika kitu kibubusa bila kusoma vizuri wala kuchunguza
2022-06-06 12.56.12.jpg
 
Haujajibu swali hata mmoja..

Nithibitishie visa vya bible uhakika wake umetoa wapi kama sio imani tu ?

Kisanyansi visa hayo maajabu yote yanakataa na mtu kama Scars hawezi kukubali stori yeyote ya miujiza ya watu au Manabii katika bible vipi unawezaje kuthibitisha kama ni kweli ?
Mkuu adriz,

Ubongo ni organ complicated, kuna watu wanaona viumbe vya ajabu ambavyo wewe usiyeviona utaamini yeye ni kichaa. Ndo maana kwa maoni yangu naona kuheshimu imani ni sahihi maana hujui ubongo wa mtu una nn. Dunia ina siri nyingi.
 
Dude what the hell you talking about? besides understanding did you even read that?
Hide what? I told you that religion is a belief, now how the hell can you prove the existence of a "belief"?
I mean an actual existence of belief?

What kind of proof you're talking about?
Then convice him/her on what you believe and not otherwise. Even Muhammad ibn Abdullah, the founder of the world religion of Islam, did use conversion through preaching and confirmation of the monotheistic teachings of Adam, Abraham, Moses, Jesus, and other prophets methods
 
adriz
Kasome tena ... Kwann Daudi aliweza na wao walishindwa... Kasome ile mistari iliyokazia kuhusu Mioyo yao
1 Samuel 7:3
Kasome kwa makini
 
Mkuu adriz,

Ubongo ni organ complicated, kuna watu wanaona viumbe vya ajabu ambavyo wewe usiyeviona utaamini yeye ni kichaa. Ndo maana kwa maoni yangu naona kuheshimu imani ni sahihi maana hujui ubongo wa mtu una nn. Dunia ina siri nyingi.
Kweli kabisa na nakubalia na wewe kwa asilimia zote mkuu.Na nasema wewe na Kalunya ni miongoni mwa waumini wachache wa kikirsto wenye busara humu.

Mimi ninachokipigania ni Sawa na wewe tu ni kweli kabisa mijadala ya dini gani bora ushindi hautoweza kupatikana cha umuhimu kila mtu aheshimu upande wa mtu mwingine ili kuepusha matusi na lugha mbaya .Mtu unaweza kumtukana mama yako Mzazi bila kujua kea kumtusi mama Mzazi wa mtu mwengine kwani hatokubali ndio maana dini yetu inakataza kutukana miongozo wa kidini wala dini ya mtu kuhofia na yeye atalipiza.

Shida nyingine waumini wa upande wako wamekua vinara wa kukashifu upande mwengine mpaka kuvuka mipaka humu kama ambavyo hata kwa mambo ya kipuuzi na makosa ya mtu mmoja bila kujali dini imeruhusu au vipi mfano

1.Uzi wa Diamond kuomba na Zuchu kipande cha video kushoot kanisani. Matusi na dhihaka kwa waislamu bila kujali waliruhusiwa na kanisa na hata dini ya Uislamu hairuhusu miziki ya Diamond.

2.Uzi wa Mwalimu wa madrassa KULAWITI matusi kibao wakati hilo ni kosa la mtu na hata upande wao umewahi kutokea ushahidi chini
IMG_20220623_102148.jpg


3.Nk

Nb:Huu ni ushamba na ulimbukeni uliopitiliza nipo pamoja na wewe mkuu kwa pamoja mambo haya yakemewe kwa haki na kwa lugha nzuri bila kujali nani kafanya na liko upande gani
 
Haujajibu swali hata mmoja..

Nithibitishie visa vya bible uhakika wake umetoa wapi kama sio imani tu ?

Kisanyansi visa hayo maajabu yote yanakataa na mtu kama Scars hawezi kukubali stori yeyote ya miujiza ya watu au Manabii katika bible vipi unawezaje kuthibitisha kama ni kweli ?
Biblia ni mkusanyiko wa simulizi na maandiko ya watu wengi tofauti na Kurani iliyondikwa na Muhammad, mwasisi wa dini ya Kiislamu, kwa miaka yapata 23
 
Nimesoma mwanzo mwisho tena mfumo wa hardcopy hapa nafanya marejeo tu.

Kiufupi mimi hakuna kitu ninachokipenda kama kusoma(kwa akili na kuchambua) na nina library home inalundo la vitabu na majarida kuhusu mada mbalimbali hata against dini yangu na dini nyingine ili kupata ufahamu na sipelekeshwe kama ng'ombe hapo chini nimeweka picha ya majarida ya maarufu Marekani Times ndani kuna makala maalumu za kidini,kihistoria ,uchumi nk .Mimi sifuati wala kuandika kitu kibubusa bila kusoma vizuri wala kuchunguzaView attachment 2322795
Nimeona vingi unaandika na sielewi ulivyovisoma Kama vipo sawa... HV hujawahi kuwaona Wakristo wanaopotosha kupitia Biblia Hy hy na wao wakisema wanaongoza watu na wanakanisa .
Tatizo sio maarifa ila maarifa sahihi.
 
Acheni kuua watu..usije na vi naneno vyako vya kutia huruma..hii dini imekua ni dini ya chuki na visasi.

#MaendeleoHayanaChama
Ninachoshangaa kwanini zisiwe dini zingine kama Buddhism, Hinduism, paganism n.k badala yake kila siku mauaji ya visasi hufanywa na dini ya mnyaazi mungu tu?
 
Kweli kabisa na nakubalia na wewe kwa asilimia zote mkuu.Na nasema wewe na Kalunya ni miongoni mwa waumini wachache wa kikirsto wenye busara humu.

Mimi ninachokipigania ni Sawa na wewe tu ni kweli kabisa mijadala ya dini gani bora ushindi hautoweza kupatikana cha umuhimu kila mtu aheshimu upande wa mtu mwingine ili kuepusha matusi na lugha mbaya .Mtu unaweza kumtukana mama yako Mzazi bila kujua kea kumtusi mama Mzazi wa mtu mwengine kwani hatokubali ndio maana dini yetu inakataza kutukana miongozo wa kidini wala dini ya mtu kuhofia na yeye atalipiza.

Shida nyingine waumini wa upande wako wamekua vinara wa kukashifu upande mwengine mpaka kuvuka mipaka humu kama ambavyo hata kwa mambo ya kipuuzi na makosa ya mtu mmoja bila kujali dini imeruhusu au vipi mfano

1.Uzi wa Diamond kuomba na Zuchu kipande cha video kushoot kanisani. Matusi na dhihaka kwa waislamu bila kujali waliruhusiwa na kanisa na hata dini ya Uislamu hairuhusu miziki ya Diamond.

2.Uzi wa Mwalimu wa madrassa KULAWITI matusi kibao wakati hilo ni kosa la mtu na hata upande wao umewahi kutokea ushahidi chiniView attachment 2322805

3.Nk

Nb:Huu ni ushamba na ulimbukeni uliopitiliza nipo pamoja na wewe mkuu kwa pamoja mambo haya yakemewe kwa haki na kwa lugha nzuri bila kujali nani kafanya na liko upande gani
Nimekuelewa boss. Upo sahihi sana. TUKIHESHIMIANA TU TUTAKUWA NA AMANI.
 
Unajitahidi sana kutetea upuuzi....mtu mwenye akili hawezi kumuua mwenzie kisa kamkashfu Mungu.... Mungu sio mwanadamu useme akikashfiwa asipokuwepo hataona,....kwa kuwa anaona kila tukio duniani inapaswa kumuachia yeye ndo atoe hukumu. Acha ushabiki wa kijinga, mtu anapofanya Jambo la ovyo hata kama ni wa dini yako usitetee. Be positive
1 YOHANA 4:20.

Mtu akisema, Nampenda Mungu, naye anamchukia ndugu yake, ni mwongo; kwa maana asiyempenda ndugu yake ambaye amemwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hakumwona.
 
Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.
Dini kwa wengi ni kitu personal sana ukiitukana ni kama umemtukana yeye, mama yake, mwanae au mkewe.

Mkuu mimi nikikutukania mama yako tusi zito utakubali nitembee kifua mbele kwamba mimi ni mbabe kisa tu Mungu ameniruhusu kuishi?

Fikiria hilo swali kwa makini.
Nikikupiga au kukuua kwasababu umenitukania mama tusi linakuwa limefutika?

Kwanza hakuna kitu kinaitwa TUSI isipokuwa tafsiri yako au mtazamo wako juu ya neno/ishara iliyotumika!

Huyo Mungu ambaye huwapa riziki wote majambazi, wauwaji, nk iweje wewe umsaidie kulipiza kisasi, yaani anakuangalia anasema ' jinga sana hili lilikuwa linatafuta pa kupunguzia mihemko yake na sio Mimi ambaye hata halinijuhi nafananaje na naishi wapi?"
 
Ku Klux Klan ilikua racist organisation ambayo msingi wake mkuu ulikua ni white supremacy over other races.
Mimi msomaji tena sichukui juu juu nachimba ndani kabisa information zangu tena kupitia source zaidi ya moja Kitaalamu wanaita TRAWLING.

Najua hilo kundi vizuri halikuishia na kuhusu ubaguzi wa rangi tu bali limehusika na mauaji hata ya wakatokiki ,waislamu nk.

Sasa unaweza kuniambia kwa nini wanatumia msalaba na kujihusisha na ukisrto hata maandishi kwenye baadhi ya sehemu yana chapa "Jesus save" ?
 
Nasubiri "fatwa' ya ShekhNurdin Kishki kwenda kwa Seleman Msindi aka Afande Sele!
 
Biblia ni mkusanyiko wa simulizi na maandiko ya watu wengi tofauti na Kurani iliyondikwa na Muhammad, mwasisi wa dini ya Kiislamu, kwa miaka yapata 23
Unaweza kumthibitishia mtu kama ni kweli yametoka kwa wahusika mnaodai kwa kuweka ushahidi full na chain nzima kutoka chanzo mpaka ilipofika hapo ?ukiambiwa unafuta ujinga tena kijinga watu watajua wanakosea ?

Matukio yaliyotokea mfano bahari kukaushwa kwa fimbo ya Musa ,gharika la Nuhu nk unaweza kumthibitishia ? vipi hapo ukiitwa mjinga unaufuata dini kipopoma itakua makosa ?

Unaweza kuthibisha ufufuo ?

Nb: Kama dini ni imani hapo hakuna kuchekana ujinga wote mko katika bit moja
 
Back
Top Bottom