Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Ndio maana ukishakua muumini wa hiyo dini wanachofanya kwanza ni kuku-brain wash na kukupa ahadi za kitaahira za mbinguni na kukuondoa akili yako ya kawaida na kukujaza ujinga wa mabikra 72, sijui mito ya pombe, wnaawake wazuri wenye makalio nk.

Mbaya zaidi unaweza kukuta mtu msoni kabisa amewnda shule na unafikiri anaweza ku-reason na ku-argue na kutumia logic ila anaenda kua brainwashed na wajinga ambao hawakwenda shule wamekariri kiarabu na mambo kama hayo. Ni mambo ya ajabu sana.
Kesho tutatangaza fatwa juu yako
 
Ndo nini hiki umeandika



Mkuu jiwe angavu kamwe usibishane na mtu anayeamini katika dini ambayo eti "mnyaazi mungu anapiganiwa"😂😂😂😂
Kama akili ya kuchambua comment fupi tu kuelewa maudhui yake hauna je kitabu cha page hata mia moja unaweza kuisoma na kukielewa kweli ?

Hio comment hata Jiwe na utahira wake wote hajaijibu amejibu maswala mengine na anaelewa nimezungumza jambo la sawa.

Nilitaka niwe nakijibu kwa data na facts kama ninavyofanya katika kila uzi ila kwa kiwango chako cha ujinga ulichofikia naona haustaili kujibiwa bora niendeleze na watu wenye akili na hekima zao.
IMG_20220419_163155.jpg
 
Nimerudi tena baada ya kuona upuuzi umepungua Kwa asilimia kubwa....na shukrani zimuendee adriz ambaye alitoa hoja kadhaa ambazo zimesaidia kuweka Hali ya hewa kuwa nzuri.

Vile vile nitoe kongole Kwa mkuu Tsh na mkuu Kalunya Kwa kujadiliana vizur Kwa ustaarabu mkubwa much respect brothers......siku zote kwenye mijadala ya Dini hatafutwi mshindi Ila tunashare maudhui ya Dini zetu na kisha kila mtu anachakata hizo taarifa kivyake....

Kuna hoja kadhaa ningependa kuzijadili kidogo......binadamu yoyote huamasishwa na mambo mawili Tu....ambayo ni karoti na fimbo...Kwa maana akifanya jema atapata zawadi na akifanya baya ataadhibiwa...hayo ndo mambo ambayo yanaweza mfanya binadamu akabadili Tabia yake na mwenendo wake.

Ndo maana Mwenyezi Mungu ameahidi pepo Kwa wataofanya matendo mema na Moto Kwa ambao wataofanya mambo maovu.....haya mambo mawili ndio yanayo tufanya kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake....sasa nije kwenye hoja ya wanawake WA peponi ambao wanaitwa Mahurulaini...ambao baadhi ya watu wametoa hoja kuwa waislamu wamebadilishwa akili zao kwa kuahidiwa wanawake mabikra! Iko hivi....Mwenyezi Mungu hapendi zinaa hata kidogo,kwahiyo anajua waja wake wapo ambao wanazini....anachotueleza Allah (Mwenyezi Mungu) ni kuwa tusibabaike na hawa wanawake WA dunia hii Kwa kuzini Bali tuache zinaa kwani ametuandalia wanawake Bora huko peponi ambao wametakaswa na machafu yote,kwahiyo kama hawa wanawake wanatuzuzua basi kuna ambao ni Bora kuliko hao Kwa wale ambao watajitakasa na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu,hapo imetumika kanuni ya karoti na fimbo.

Tuache pombe na kamari ambazo ni miongoni mwa kazi za shetani,ambazo zina hasara Kwa wengi na faida Kwa wachache....tuongee ukweli mpo wengi mnao bet humu lkn je ninani anaefaidika zaidi kama sio ambao wanamiliki hayo makampuni? Na ulevi unawasababishia watu wamsahau Mola wao na kuacha swala....sasa wanaambiwa waumini kuwa kama ishu ni pombe Tu! Basi huko peponi kuna pombe ya kutosha ambayo haileweshi wala kupoteza akili za watu na zenye Radha nzuri Kwa wanywao,Kwa maana nyingine tunaambiwa tusimuasi Mwenyezi Mungu Bali tuwe na subira tutayapata hayo yanayo pendwa na nafsi zetu tena yakiwa katika ubora wa Hali ya juu kabisa....hapa Mwenyezi Mungu anajua akili na utashi WA waja wake ndio maana ametumia kanuni ya karoti na fimbo.

Tuje kwenye hoja ya Ugaidi....Uislamu ndio Vita kuu ya tatu ya dunia, wasio Kuwa waislamu wanashtushwa na ukuaji mkubwa wa Dini hii hapa duniani....hivyo wanatafuta kila namna ya kuichafua lkn kamwe hawataweza kwani tayari ilishasemwa katika Maandiko juu ya watu wengi kuingia ktk Uislamu....kwahiyo jinsi wanavyo sambaza propaganda mbaya ndivyo jinsi watu wengi wanavyo usoma Uislamu na kujua ukweli wake....hata Ile ishu ya Osama alipolipua Kule America ilileta ilileta attention kubwa ya watu na kutaka kujua je Uislamu ni Ugaidi au laa...kinyume chake watu wengi waliujua Uislamu na wakasilimu baada ya kujua ukweli Mashallah.....na ndo hivyo hivyo Kwa huyu bwege,atayafanya watu tena wafunue Qur'an na kuangali je kuna Aya za shetani? Trust me watajionea yaliyomo na kusilimu Kwa wingi.

Hoja je Uislamu ni Dini ya Amani,ni kweli Dini hii ni ya Amani.....na labda nigusie je Uislamu ni nini? Uislamu ni unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu mmoja Kwa kufuata maamrisho yake n kuacha makatazo yake....na ndio maana manabii wote walikuwa waislamu, na Dini hii ni kongwe Sana,kuanzia Adam,Nuhu,Yesu mpaka Muhammad,wote hawa waliamrisha KUABUDIWA Kwa Mungu Mmoja Tu na si vinginevyo....kwahiyo Uislamu sio kanzu,kofia na kobazi laa!

Salaam yetu ni ''Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako'' hata Yesu nae alisalimia hivyo hivyo na manabii wengine wote na ndio salamu ya peponi hiyo,ukibahatika kuingia utaitumia Sana hiyo.....sasa matumizi ya upanga yamekuja kuondoa udhalimu ambao walikuwa wanafanyiwa waislamu baada ya kuachana na miungu ya kipagani na kuamua kumwabudu Mungu Mmoja,ili haki ipatikane na waislamu wawe salama ilibidi upanga utumike....lkn hawakulazimishwa watu kuingia katika Dini...hata Qur'an imesema hakuna mtu Kulazimishwa kuingia katika Dini na ndivyo ilivyo siku zote.

Nimeona nigusie kidogo mambo hayo baada ya kuona kuna hoja zililetwa hapo.
 
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?

Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
Humu duniani Kuna watu wa aina nyingi na hilo litakuwepo daima!
Sasa ikitokea mtu ambaye hajastaarabika akakutukania mama Yako au dini Yako,ndio ukamuue?
Ukishakiwa Hela akili ikakurudi ndio utajua hujui!
Kama dini Yako imedhalilishwa au umetukanwa,Kuna vyombo vya haki unaweza kwenda kushtaki na haki ikapatikana!Haya mambo ya kujichukulia sheria mkononi ni hatari sana Kwa ustawi wa jamii!
Siungi mkono dini kukashifiwa,ila pia siungi mkono watu kujichukulia sheria mkononi Kwa kigezo Cha kuipigania dini!
 
Salman Rushdie, mwandishi wa fasihi ambaye amekuwa akikabiliwa na kitisho cha kuuawa kutokana na uandishi wake, amechomwa kisu mjini New York. Taarifa za hospitali zimeeleza kuwa amefanyiwa upasuaji na yuko hali mahtuti.

Shambulizi hilo dhidi ya Salman Rushdie limetokea jana mjini New York, Marekani alipokuwa jukwaani akianza kutoa mhadhara katika taasisi ya Chautauqua.

Mwandishi huyo wa fasihi mwenye umri wa miaka 75 alipangiwa kuzungumzia uhuru wa wasanii mbele ya hadhara ya mamia ya watu, alipovamiwa na mtu aliyefunika uso kwa barakowa, ambaye alimshambulia kwa visu.

Maafisa wa polisi waliokuwa katika ukumbi wa mkutano huo waliingilia kati na kumtia mbaroni mshambuliaji. Gavana wa New York Kathy Hochul amelilaani shambulizi hilo, na amearifu kuwa Rushdie yuko hai na anaendelea kupatiwa matibabu.

Ama kuhusu hali ya afya yake, imearifiwa kuwa anapumua kwa kutumia mashine, na amepata majeraha mabaya usoni, shingoni na tumboni.. Polisi lakini wamesema bado hawajajua malengo ya mshambuliaji wake, wala kubainisha aina ya silaha aliyoitumia.

Hata msemaji wa Salman Rushdie Andrew Wylie amesema kupitia taarifa ya baruapepe kuwa mwandishi huyo anafanyiwa upasuaji bila kutoa maelezo zaidi.
 
Salman Rushdie, mwandishi wa fasihi ambaye amekuwa akikabiliwa na kitisho cha kuuawa kutokana na uandishi wake, amechomwa kisu mjini New York. Taarifa za hospitali zimeeleza kuwa amefanyiwa upasuaji na yuko hali mahtuti.

Shambulizi hilo dhidi ya Salman Rushdie limetokea jana mjini New York, Marekani alipokuwa jukwaani akianza kutoa mhadhara katika taasisi ya Chautauqua.

Mwandishi huyo wa fasihi mwenye umri wa miaka 75 alipangiwa kuzungumzia uhuru wa wasanii mbele ya hadhara ya mamia ya watu, alipovamiwa na mtu aliyefunika uso kwa barakowa, ambaye alimshambulia kwa visu.

Maafisa wa polisi waliokuwa katika ukumbi wa mkutano huo waliingilia kati na kumtia mbaroni mshambuliaji. Gavana wa New York Kathy Hochul amelilaani shambulizi hilo, na amearifu kuwa Rushdie yuko hai na anaendelea kupatiwa matibabu.

Ama kuhusu hali ya afya yake, imearifiwa kuwa anapumua kwa kutumia mashine, na amepata majeraha mabaya usoni, shingoni na tumboni.. Polisi lakini wamesema bado hawajajua malengo ya mshambuliaji wake, wala kubainisha aina ya silaha aliyoitumia.

Hata msemaji wa Salman Rushdie Andrew Wylie amesema kupitia taarifa ya baruapepe kuwa mwandishi huyo anafanyiwa upasuaji bila kutoa maelezo zaidi.
Hizi imani za watu sio fresh kuzidhihaki
 
Nimerudi tena baada ya kuona upuuzi umepungua Kwa asilimia kubwa....na shukrani zimuendee adriz ambaye alitoa hoja kadhaa ambazo zimesaidia kuweka Hali ya hewa kuwa nzuri.

Vile vile nitoe kongole Kwa mkuu Tsh na mkuu Kalunya Kwa kujadiliana vizur Kwa ustaarabu mkubwa much respect brothers......siku zote kwenye mijadala ya Dini hatafutwi mshindi Ila tunashare maudhui ya Dini zetu na kisha kila mtu anachakata hizo taarifa kivyake....

Kuna hoja kadhaa ningependa kuzijadili kidogo......binadamu yoyote huamasishwa na mambo mawili Tu....ambayo ni karoti na fimbo...Kwa maana akifanya jema atapata zawadi na akifanya baya ataadhibiwa...hayo ndo mambo ambayo yanaweza mfanya binadamu akabadili Tabia yake na mwenendo wake.

Ndo maana Mwenyezi Mungu ameahidi pepo Kwa wataofanya matendo mema na Moto Kwa ambao wataofanya mambo maovu.....haya mambo mawili ndio yanayo tufanya kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake....sasa nije kwenye hoja ya wanawake WA peponi ambao wanaitwa Mahurulaini...ambao baadhi ya watu wametoa hoja kuwa waislamu wamebadilishwa akili zao kwa kuahidiwa wanawake mabikra! Iko hivi....Mwenyezi Mungu hapendi zinaa hata kidogo,kwahiyo anajua waja wake wapo ambao wanazini....anachotueleza Allah (Mwenyezi Mungu) ni kuwa tusibabaike na hawa wanawake WA dunia hii Kwa kuzini Bali tuache zinaa kwani ametuandalia wanawake Bora huko peponi ambao wametakaswa na machafu yote,kwahiyo kama hawa wanawake wanatuzuzua basi kuna ambao ni Bora kuliko hao Kwa wale ambao watajitakasa na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu,hapo imetumika kanuni ya karoti na fimbo.

Tuache pombe na kamari ambazo ni miongoni mwa kazi za shetani,ambazo zina hasara Kwa wengi na faida Kwa wachache....tuongee ukweli mpo wengi mnao bet humu lkn je ninani anaefaidika zaidi kama sio ambao wanamiliki hayo makampuni? Na ulevi unawasababishia watu wamsahau Mola wao na kuacha swala....sasa wanaambiwa waumini kuwa kama ishu ni pombe Tu! Basi huko peponi kuna pombe ya kutosha ambayo haileweshi wala kupoteza akili za watu na zenye Radha nzuri Kwa wanywao,Kwa maana nyingine tunaambiwa tusimuasi Mwenyezi Mungu Bali tuwe na subira tutayapata hayo yanayo pendwa na nafsi zetu tena yakiwa katika ubora wa Hali ya juu kabisa....hapa Mwenyezi Mungu anajua akili na utashi WA waja wake ndio maana ametumia kanuni ya karoti na fimbo.

Tuje kwenye hoja ya Ugaidi....Uislamu ndio Vita kuu ya tatu ya dunia, wasio Kuwa waislamu wanashtushwa na ukuaji mkubwa wa Dini hii hapa duniani....hivyo wanatafuta kila namna ya kuichafua lkn kamwe hawataweza kwani tayari ilishasemwa katika Maandiko juu ya watu wengi kuingia ktk Uislamu....kwahiyo jinsi wanavyo sambaza propaganda mbaya ndivyo jinsi watu wengi wanavyo usoma Uislamu na kujua ukweli wake....hata Ile ishu ya Osama alipolipua Kule America ilileta ilileta attention kubwa ya watu na kutaka kujua je Uislamu ni Ugaidi au laa...kinyume chake watu wengi waliujua Uislamu na wakasilimu baada ya kujua ukweli Mashallah.....na ndo hivyo hivyo Kwa huyu bwege,atayafanya watu tena wafunue Qur'an na kuangali je kuna Aya za shetani? Trust me watajionea yaliyomo na kusilimu Kwa wingi.

Hoja je Uislamu ni Dini ya Amani,ni kweli Dini hii ni ya Amani.....na labda nigusie je Uislamu ni nini? Uislamu ni unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu mmoja Kwa kufuata maamrisho yake n kuacha makatazo yake....na ndio maana manabii wote walikuwa waislamu, na Dini hii ni kongwe Sana,kuanzia Adam,Nuhu,Yesu mpaka Muhammad,wote hawa waliamrisha KUABUDIWA Kwa Mungu Mmoja Tu na si vinginevyo....kwahiyo Uislamu sio kanzu,kofia na kobazi laa!

Salaam yetu ni ''Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako'' hata Yesu nae alisalimia hivyo hivyo na manabii wengine wote na ndio salamu ya peponi hiyo,ukibahatika kuingia utaitumia Sana hiyo.....sasa matumizi ya upanga yamekuja kuondoa udhalimu ambao walikuwa wanafanyiwa waislamu baada ya kuachana na miungu ya kipagani na kuamua kumwabudu Mungu Mmoja,ili haki ipatikane na waislamu wawe salama ilibidi upanga utumike....lkn hawakulazimishwa watu kuingia katika Dini...hata Qur'an imesema hakuna mtu Kulazimishwa kuingia katika Dini na ndivyo ilivyo siku zote.

Nimeona nigusie kidogo mambo hayo baada ya kuona kuna hoja zililetwa hapo.
Shukrani kwa andiko zuri.Kuna huyu hapa Treveler maarufu uingereza alipata hamasa kusoma uislamu kutokana na kupata kiki ya ugaidi na media kuchochea propaganda akataka achimbe kwa kina kuhusu uislamu na Waislamu hatimaye sasa ni Muislamu .Chini hapo clip fupi akizungumza
 
Shukrani kwa andiko zuri.Kuna huyu hapa Treveler maarufu uingereza alipata hamasa kusoma uislamu kutokana na kupata kiki ya ugaidi na media kuchochea propaganda akataka achimbe kwa kina kuhusu uislamu na Waislamu hatimaye sasa ni Muislamu .Chini hapo clip fupi akizungumza
View attachment 2322982
Masha Allah....shukrani Kwa Hio video ambayo ni baadhi Tu ya Watu ambao waliona ukweli.
 
Nimerudi tena baada ya kuona upuuzi umepungua Kwa asilimia kubwa....na shukrani zimuendee adriz ambaye alitoa hoja kadhaa ambazo zimesaidia kuweka Hali ya hewa kuwa nzuri.

Vile vile nitoe kongole Kwa mkuu Tsh na mkuu Kalunya Kwa kujadiliana vizur Kwa ustaarabu mkubwa much respect brothers......siku zote kwenye mijadala ya Dini hatafutwi mshindi Ila tunashare maudhui ya Dini zetu na kisha kila mtu anachakata hizo taarifa kivyake....

Kuna hoja kadhaa ningependa kuzijadili kidogo......binadamu yoyote huamasishwa na mambo mawili Tu....ambayo ni karoti na fimbo...Kwa maana akifanya jema atapata zawadi na akifanya baya ataadhibiwa...hayo ndo mambo ambayo yanaweza mfanya binadamu akabadili Tabia yake na mwenendo wake.

Ndo maana Mwenyezi Mungu ameahidi pepo Kwa wataofanya matendo mema na Moto Kwa ambao wataofanya mambo maovu.....haya mambo mawili ndio yanayo tufanya kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake....sasa nije kwenye hoja ya wanawake WA peponi ambao wanaitwa Mahurulaini...ambao baadhi ya watu wametoa hoja kuwa waislamu wamebadilishwa akili zao kwa kuahidiwa wanawake mabikra! Iko hivi....Mwenyezi Mungu hapendi zinaa hata kidogo,kwahiyo anajua waja wake wapo ambao wanazini....anachotueleza Allah (Mwenyezi Mungu) ni kuwa tusibabaike na hawa wanawake WA dunia hii Kwa kuzini Bali tuache zinaa kwani ametuandalia wanawake Bora huko peponi ambao wametakaswa na machafu yote,kwahiyo kama hawa wanawake wanatuzuzua basi kuna ambao ni Bora kuliko hao Kwa wale ambao watajitakasa na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu,hapo imetumika kanuni ya karoti na fimbo.

Tuache pombe na kamari ambazo ni miongoni mwa kazi za shetani,ambazo zina hasara Kwa wengi na faida Kwa wachache....tuongee ukweli mpo wengi mnao bet humu lkn je ninani anaefaidika zaidi kama sio ambao wanamiliki hayo makampuni? Na ulevi unawasababishia watu wamsahau Mola wao na kuacha swala....sasa wanaambiwa waumini kuwa kama ishu ni pombe Tu! Basi huko peponi kuna pombe ya kutosha ambayo haileweshi wala kupoteza akili za watu na zenye Radha nzuri Kwa wanywao,Kwa maana nyingine tunaambiwa tusimuasi Mwenyezi Mungu Bali tuwe na subira tutayapata hayo yanayo pendwa na nafsi zetu tena yakiwa katika ubora wa Hali ya juu kabisa....hapa Mwenyezi Mungu anajua akili na utashi WA waja wake ndio maana ametumia kanuni ya karoti na fimbo.

Tuje kwenye hoja ya Ugaidi....Uislamu ndio Vita kuu ya tatu ya dunia, wasio Kuwa waislamu wanashtushwa na ukuaji mkubwa wa Dini hii hapa duniani....hivyo wanatafuta kila namna ya kuichafua lkn kamwe hawataweza kwani tayari ilishasemwa katika Maandiko juu ya watu wengi kuingia ktk Uislamu....kwahiyo jinsi wanavyo sambaza propaganda mbaya ndivyo jinsi watu wengi wanavyo usoma Uislamu na kujua ukweli wake....hata Ile ishu ya Osama alipolipua Kule America ilileta ilileta attention kubwa ya watu na kutaka kujua je Uislamu ni Ugaidi au laa...kinyume chake watu wengi waliujua Uislamu na wakasilimu baada ya kujua ukweli Mashallah.....na ndo hivyo hivyo Kwa huyu bwege,atayafanya watu tena wafunue Qur'an na kuangali je kuna Aya za shetani? Trust me watajionea yaliyomo na kusilimu Kwa wingi.

Hoja je Uislamu ni Dini ya Amani,ni kweli Dini hii ni ya Amani.....na labda nigusie je Uislamu ni nini? Uislamu ni unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu mmoja Kwa kufuata maamrisho yake n kuacha makatazo yake....na ndio maana manabii wote walikuwa waislamu, na Dini hii ni kongwe Sana,kuanzia Adam,Nuhu,Yesu mpaka Muhammad,wote hawa waliamrisha KUABUDIWA Kwa Mungu Mmoja Tu na si vinginevyo....kwahiyo Uislamu sio kanzu,kofia na kobazi laa!

Salaam yetu ni ''Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako'' hata Yesu nae alisalimia hivyo hivyo na manabii wengine wote na ndio salamu ya peponi hiyo,ukibahatika kuingia utaitumia Sana hiyo.....sasa matumizi ya upanga yamekuja kuondoa udhalimu ambao walikuwa wanafanyiwa waislamu baada ya kuachana na miungu ya kipagani na kuamua kumwabudu Mungu Mmoja,ili haki ipatikane na waislamu wawe salama ilibidi upanga utumike....lkn hawakulazimishwa watu kuingia katika Dini...hata Qur'an imesema hakuna mtu Kulazimishwa kuingia katika Dini na ndivyo ilivyo siku zote.

Nimeona nigusie kidogo mambo hayo baada ya kuona kuna hoja zililetwa hapo.
Sio mbaya kujifariji..hata wafuasi mashetani nao hujifariji kama wewe..

Dini ya wavaakobazi ni dini ya chuki..uoga..uongo..mauaji..

Waumini wa dini hii hawawezi kukaa na wadini tofauti bila kuleta chokochoko mfano mdogo tu hapo zenji..wakristo hawaruhusiwi hata kumiliki kipande cha ardhi..wameua mapadri wamewamwagia tindikali..hii inaonyesha wazi ni dini ya watu wa aina gani.

Hata wao kwa wao hawapendani itakuwaje kwa ambao sio waimani moja..refer suni na shia.

Hoja nyingine zote ni za kwako kujifariji kama mfia dini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwa nini wasiache Mungu mwenyewe ndiye amuhukumu kwa nini wamuhukumu wao kama kweli aliyekosewa ni mwenyezi Mungu.

Kuna imani zingine zina matatizo sana. Huwezi kujichukulia sheria mkononi kumwadhibu mtu kwa kudai kwamba eti amekufuru. This is very stupid.
Pima akili yako kabla haujaropoka, tunapishana ktk Imani Mungu wako wewe,sio wetu sisi.
 
[Pepo ya wakristo haina starehe za kibanadamu. Yesu alipoulizwa alijibu kwamba mbinguni haku a kuoa wala kuolewa bali ni kumsifu na kumwabudu Mungu tu.

Hii ni moja ya tofauti kubwa Kabisa ya uislam na ukristo,matamanio yote ya kimwili yataishia hapa hapa duniani. Kama ltaenda kupewa houris huko peponi kongole kwenu,vipi kuhusu wanawake wa kiislam? Watepewa wanaume wa kukidhi haja zao za kimwili?
QUOTE="Etugrul Bey, post: 43442979, member: 605319"]
Nimerudi tena baada ya kuona upuuzi umepungua Kwa asilimia kubwa....na shukrani zimuendee adriz ambaye alitoa hoja kadhaa ambazo zimesaidia kuweka Hali ya hewa kuwa nzuri.

Vile vile nitoe kongole Kwa mkuu Tsh na mkuu Kalunya Kwa kujadiliana vizur Kwa ustaarabu mkubwa much respect brothers......siku zote kwenye mijadala ya Dini hatafutwi mshindi Ila tunashare maudhui ya Dini zetu na kisha kila mtu anachakata hizo taarifa kivyake....

Kuna hoja kadhaa ningependa kuzijadili kidogo......binadamu yoyote huamasishwa na mambo mawili Tu....ambayo ni karoti na fimbo...Kwa maana akifanya jema atapata zawadi na akifanya baya ataadhibiwa...hayo ndo mambo ambayo yanaweza mfanya binadamu akabadili Tabia yake na mwenendo wake.

Ndo maana Mwenyezi Mungu ameahidi pepo Kwa wataofanya matendo mema na Moto Kwa ambao wataofanya mambo maovu.....haya mambo mawili ndio yanayo tufanya kufuata maamrisho yake na kuacha makatazo yake....sasa nije kwenye hoja ya wanawake WA peponi ambao wanaitwa Mahurulaini...ambao baadhi ya watu wametoa hoja kuwa waislamu wamebadilishwa akili zao kwa kuahidiwa wanawake mabikra! Iko hivi....Mwenyezi Mungu hapendi zinaa hata kidogo,kwahiyo anajua waja wake wapo ambao wanazini....anachotueleza Allah (Mwenyezi Mungu) ni kuwa tusibabaike na hawa wanawake WA dunia hii Kwa kuzini Bali tuache zinaa kwani ametuandalia wanawake Bora huko peponi ambao wametakaswa na machafu yote,kwahiyo kama hawa wanawake wanatuzuzua basi kuna ambao ni Bora kuliko hao Kwa wale ambao watajitakasa na kufuata maamrisho ya Mwenyezi Mungu,hapo imetumika kanuni ya karoti na fimbo.

Tuache pombe na kamari ambazo ni miongoni mwa kazi za shetani,ambazo zina hasara Kwa wengi na faida Kwa wachache....tuongee ukweli mpo wengi mnao bet humu lkn je ninani anaefaidika zaidi kama sio ambao wanamiliki hayo makampuni? Na ulevi unawasababishia watu wamsahau Mola wao na kuacha swala....sasa wanaambiwa waumini kuwa kama ishu ni pombe Tu! Basi huko peponi kuna pombe ya kutosha ambayo haileweshi wala kupoteza akili za watu na zenye Radha nzuri Kwa wanywao,Kwa maana nyingine tunaambiwa tusimuasi Mwenyezi Mungu Bali tuwe na subira tutayapata hayo yanayo pendwa na nafsi zetu tena yakiwa katika ubora wa Hali ya juu kabisa....hapa Mwenyezi Mungu anajua akili na utashi WA waja wake ndio maana ametumia kanuni ya karoti na fimbo.


Tuje kwenye hoja ya Ugaidi....Uislamu ndio Vita kuu ya tatu ya dunia, wasio Kuwa waislamu wanashtushwa na ukuaji mkubwa wa Dini hii hapa duniani....hivyo wanatafuta kila namna ya kuichafua lkn kamwe hawataweza kwani tayari ilishasemwa katika Maandiko juu ya watu wengi kuingia ktk Uislamu....kwahiyo jinsi wanavyo sambaza propaganda mbaya ndivyo jinsi watu wengi wanavyo usoma Uislamu na kujua ukweli wake....hata Ile ishu ya Osama alipolipua Kule America ilileta ilileta attention kubwa ya watu na kutaka kujua je Uislamu ni Ugaidi au laa...kinyume chake watu wengi waliujua Uislamu na wakasilimu baada ya kujua ukweli Mashallah.....na ndo hivyo hivyo Kwa huyu bwege,atayafanya watu tena wafunue Qur'an na kuangali je kuna Aya za shetani? Trust me watajionea yaliyomo na kusilimu Kwa wingi.

Hoja je Uislamu ni Dini ya Amani,ni kweli Dini hii ni ya Amani.....na labda nigusie je Uislamu ni nini? Uislamu ni unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu mmoja Kwa kufuata maamrisho yake n kuacha makatazo yake....na ndio maana manabii wote walikuwa waislamu, na Dini hii ni kongwe Sana,kuanzia Adam,Nuhu,Yesu mpaka Muhammad,wote hawa waliamrisha KUABUDIWA Kwa Mungu Mmoja Tu na si vinginevyo....kwahiyo Uislamu sio kanzu,kofia na kobazi laa!

Salaam yetu ni ''Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yako'' hata Yesu nae alisalimia hivyo hivyo na manabii wengine wote na ndio salamu ya peponi hiyo,ukibahatika kuingia utaitumia Sana hiyo.....sasa matumizi ya upanga yamekuja kuondoa udhalimu ambao walikuwa wanafanyiwa waislamu baada ya kuachana na miungu ya kipagani na kuamua kumwabudu Mungu Mmoja,ili haki ipatikane na waislamu wawe salama ilibidi upanga utumike....lkn hawakulazimishwa watu kuingia katika Dini...hata Qur'an imesema hakuna mtu Kulazimishwa kuingia katika Dini na ndivyo ilivyo siku zote.

Nimeona nigusie kidogo mambo hayo baada ya kuona kuna hoja zililetwa hapo.
[/QUOTE]
 
Hakuna Kitu Mwenyezi Mungu alipatia Kama kummumba binadamu ktk umbo dhaifu mno, watu Wana fujo,kutukana,matajiri,masikini by
1. Miili yetu Ina nyama,mifupa na maji
2. Unakula na kunya
3. Kila kitu kinatakiwa kiwe kwa wastani kikizidi au kupungua Ni ugonjwa kuanzia
Sukari,joto,baridi,damu, na bado tuna kikomo Cha kuishi ,
 
Back
Top Bottom