Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Mi nauliza, Rushdie amakashifuje Dini ?
Kama kasema kuna aya za shetani kwanini apingwe kwa vitisho badala yake ajibiwe kwa uthibitisho kuwa hizo aya sio za shetani.
Kumwua Rushdie kunaonesha kasema ukweli ambao umewauma waislamu.
Wakristo kuna vitabu kibao vinakashifu Ukristo. Zipo hadi injiri feki za akina Barnaba mbona waandishi wake hawatishwi kuuwawa ?
Ukweli ni kwamba Rushdie kasema ukweli na haiwezekani kumjibu bali kumwua tu.
Hata mkimwua bado kitabu chake kipo na kitaendelea kuwepo.
Jibuni hoja za Rushdie kama kasema uwongo tujue na sio kukimbilia kumwua.
Mtauwa sana kwa hizo jazba zenu
Kama kasema kuna aya za shetani kwanini apingwe kwa vitisho badala yake ajibiwe kwa uthibitisho kuwa hizo aya sio za shetani.
Kumwua Rushdie kunaonesha kasema ukweli ambao umewauma waislamu.
Wakristo kuna vitabu kibao vinakashifu Ukristo. Zipo hadi injiri feki za akina Barnaba mbona waandishi wake hawatishwi kuuwawa ?
Ukweli ni kwamba Rushdie kasema ukweli na haiwezekani kumjibu bali kumwua tu.
Hata mkimwua bado kitabu chake kipo na kitaendelea kuwepo.
Jibuni hoja za Rushdie kama kasema uwongo tujue na sio kukimbilia kumwua.
Mtauwa sana kwa hizo jazba zenu