km mungu kakuumba bas huez mpigania maana anakuzid kila kituNa ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
Kama na wewe una amini katika dini haina haja ya kuwakashifu wenzako..Ajitetee mwenyewe.
Kama hawezi kujitetea ni kibwengo tu kama vibwengo wengine.
hahahahaaaaaNdio Maana nasapoti mchina kuwabinya mbupu hawa keng£ wavaa kobazi , hata Myanmar na India wanachofanya ninaona sawa Tu , wanamstatizo Sana hawa nguruwe
Acheni kuua watu..usije na vi naneno vyako vya kutia huruma..hii dini imekua ni dini ya chuki na visasi.Waumini wa Dini ya kiislamu tunakumbushwa ktk Qur'an kuwa tusitukane Dini nyingine ili nao wasije tukana Dini yetu.....kwani ukiwatukana wao na wao wakamtukana Mola wako ujue ndugu muislamu wewe ndio utabeba hiyo dhima.
Huwa Kitabu chetu kinatuambia kuwa unapoona mijadala ya kipuuzi basi jitenge nayo uwe mbali nayo.....mpaka itakapo Isha ndo urejee hapo....kuendelea kuwa sehemu ya hiyo mijadala nawe unakuwa mpuuzi na utabeba dhima hiyo.
Mijadala yenye kujenga haikatazwi lkn mijadala mingi inayohusu mambo ya Dini huwa ni kutukanana Tu na kuleta chuki baina yetu...hivyo ni busara Sana kujitenga nayo....baadhi yetu huenda tuna ghadhabu na hasira za ghafla na hivyo kupelekea kurushiana maneno machafu kama baadhi ya komenti ambazo tumeziona......mm binafsi mtu aweza nitukana na Dini yangu pia lkn Nina uwezo wa kutuliza hisia zangu na nikajadiliana nae pasina kumtukana lkn huwa sipendi kwakuwa najua mwisho wake sio mzuri....kuna watu ambao ni wapuuzi by nature hata ukimpa hoja thabiti lkn bado atakuja na mambo yake anayoyaamini yeye mwenyewe.
Namalizia na Maneno ya Mtume Muhammad (rehma na Amani ziwe juu yake) alisema "Mwenye nguvu si Yule anayepigana Bali ni Yule anaye zuia hasira zake pale anapokasirika"
Na Kwa wasio waislamu....dini ya kiislamu inaelekeza au kulinda vitu vitukufu au mambo matukufu yasichafuliwe...na ndio maana waislamu popote duniani wapo tayar kulinda Kitabu Chao,kumlinda Mtume wao na kulinda heshima ya Mola wao....ndio maana huyo bwege alikuwa auwawe Tu hata kama atapona basi bado watadili nae Tu! Ukiyakoroga itabidi uyanywe Tu.
Na ndio maana hata ukiangalia sinema za historia ya kiislamu huwezi kukuta kuna mtu ame act kama Mtume......hakuna Jambo kama Hilo .....tofauti na wenzetu wakristo mtu ame act kama mkristo mfano Yule muigizaji maarufu WA sinema ya Yesu, watu wakawa wanamuita Yesu na wengine mmebandika picha zake majumbani kwenu kana kwamba ndio Yesu Mwenyewe....Uislamu uliliona Hilo na kuamua kutoruhusu mambo kama hayo kabisa.
Sitakuwa tena sehemu ya huu mjadala kwakuwa najua kuna wapuuzi ambao wataendelea kuleta upuuzi wao!
Amepaniki huyo team magaidi.Kwanini ndugu yangu usitumie kiswahili pekee yake?
"I most likes" ndio nini hii?"For its good behave"-Nini tena hiki?
Nyiny mnatatizo sn ,ingia kweny misikit utasikia mawaidha ya kukashif ukristu , madrasa watoto wanafundishwa chuki dhid ya ukristu ( nmesoma madrassa na mafundishp ya rc pia kwa walokole ila waislam nliona mafundisho ya uchochez mengi ) , mnafikia hatua had kweny daladala mnaweka mawaidha ya uchafudhi wa dini za wengine mf temeke _ toangoma , buza _ magenge nimewahi sikia mawaidha yanasema ukristu ni ushetan ila wakristu walitulia kimya wakamwelekeza dereva kwa utulivu bila kushika kisu au pangaUlimwengu unaoishi mnatukaniana mama zenu kila kona? Unaishi kwenye jamii isiyostaharabika na wavunja sheria.
Jamii zetu ninazozifahamu hakuna mtu anaweza kuja akaanza kutukana wazazi wako hovyo, jamii itamdhibiti au sheria itamuadhibu.
Lazima tujifunze kuheshimu imani za watu wengine hata kama haupendi. Uhuru ni pamoja na kuheshimu imani za watu wengine. Esp we Christian, hatutakiwi kutukana tukana imani za watu wengine.
mungu dhaifu..anawatuma front line waumi wake kama chambo..wakichapika kama palestina wanarudi wanatia huruma wanaomba kuhurumiwa.Mungu analindwa na wanadamu
Wewe mtu ni mpuuzi sijawahi kuona hata muandiko wako unathibitisha ujinga wako na sijui kama umevuka hata darasa la nne yaani makosa kibao ya uandishi kama mtoto wa chekechea.km mungu kakuumba bas huez mpigania maana anakuzid kila kitu
km hujui tulia uliza mkuu , wavaa kobaz ni wakolof snPetro hakutumwa na YESU akate sikio la binadamu mwingine anayetaka kumdhuru YESU, ni hisia zake zilimtuma akiamini anampigania.
Lazima tutofautishe kumpambania mungu na hisia. Ni simple tu, sisi wakristo tuheshimu hisia za binadamu wa imani tofauti sababu tusipoziheshimu hisia zao zinaweza zikawapelekea kufanya maamuzi mabaya. Kuna watu kihisia wanaamini wako karibu sana na mungu wanae muabudu.
"Wakolof "ndio nini akili unazo kweli kiswahili tu shida kuandika je article ya kingereza utaweza kusoma kweli ?km hujui tulia uliza mkuu , wavaa kobaz ni wakolof sn
Tenga muda kasome biblia vizuri ndio uje kusema hichi unachokisema..pole sana acha kupanik..dini ni upendo na amani na kuishi na watu wote sio chuki na visasi.Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
Nimepost link ya PDF download ya hiki kitabu,angalia post yangu ya nyuma kwenye huu uzi.Naunga hoja mkono.
Kwenye bible zipo violent verses nyingi tena nyingine za upanga kabisa.Tenga muda kasome biblia vizuri ndio uje kusema hichi unachokisema..pole sana acha kupanik..dini ni upendo na amani na kuishi na watu wote sio chuki na visasi.
#MaendeleoHayanaChama
Safi sana mkuu nami nimekiDownload hapo ngoja nikipitieNimepost link ya PDF download ya hiki kitabu,angalia post yangu ya nyuma kwenye huu uzi.
Mbona unamuuliza maswali ya kitoto hiviKama na wewe una amini katika dini haina haja ya kuwakashifu wenzako..
Tuanze na maswali.
1.Visa vilivyomo katika kitabu chako cha dini na miujiza iliyopo mule unaweza kututhibitishia?kama hauwezi ukiitwa mjinga mshenzi na dini yako ya ujinga ushenzi itakua makosa .
2.Kama wakwao mpk apiganiwe mbona wako mpk umuombe kwani si muweza wa yote kwa nini akutese na maombi? mtu akikuita mjinga na dini yako ya kijinga atakua amefanya makosa?
3.Kama kwenye dini yako inafundishwa kuna Mitume na Manabii sasa kwa nini wapendelewe baadhi halafu wa huku Buza tuachwe dini mpk tuletewe ? Nikisema unaamini dini ya wajinga na washenzi nitakua nafanya makosa ?
😂 Kilema Cha akili hikiNa ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo
Yule Ni Allah na siyo Mungu.Haya ni majinga Sana! Unampigania Mungu, yeye hana uwezo?
Ayajibu au mtu yeyote ajibu, mbona unacomment kitoto sana ? nilitegemea kujibu kwanza uonyeshe utoto uliopo kwenye hayo maswali.Mbona unamuuliza maswali ya kitoto hivi
Nyie wavaa kobaz uyo Mwinyaaz wenu ndio kawatuma kuwadhuru wengine kwa kujitoa muhanga kisa mabikra 72 mloahidiwa?Na ndio maana nyinyi mungu wenu mlishindwa kumpgania mnashuhudia Kwa macho yenu anasulubiwa mpaka akabaki na chupi mnataka apambane mwenyewe siana uwezo