Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.
Dini kwa wengi ni kitu personal sana ukiitukana ni kama umemtukana yeye, mama yake, mwanae au mkewe.

Mkuu mimi nikikutukania mama yako tusi zito utakubali nitembee kifua mbele kwamba mimi ni mbabe kisa tu Mungu ameniruhusu kuishi?

Fikiria hilo swali kwa makini.
kwahiyo dini yenu inafundisha kutoa hukumu duniani? nini maana ya kiama ss ?
 
Hebu acha upumbavu mkuu.
Unajua maana ya "respect."

Dini ni kitu personal kama mzazi, au wewe utakubali nikutukanie mama yako?
Hii comment inaonesha either hauna akili au ni mjinga, au vyote kwa pamoja.
nyiny mngekuwa na heshima msingeteka mabasi huko kenya na kuchambua wakristu kuwachinja na kuwaacha waislam , kabla hujakosoa jiangalie upande wako
 
Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?

Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
kwann nyiny msiheshim din nyingine kwanz ?
 
How afraid of his words, or you cut his tongue because of how tired, insulted and humiliated by his words?
That quote is immensely unrelated and Inapplicable here.

Who wrote the stupid quote?
rely on what you intended to do over him , thats symptom of fear of his words or existence , challenge him with words if you can
 
Dini lenyewe la waarabu, unaacha mila zako unaenda kuua kisa dini ya kipuuzi ya kigeni.

Huu ni ujinga usiomithirika
Mkuu uwe na heshima basi kidogo....kuwa na ID fake haimaanishi unaweza kuongea chochote unachojisikia...heshimu Imani za watu,let's say Kwa uelewa wako hiyo Dini imetoka uarabuni then what?
 
Mkuu uwe na heshima basi kidogo....kuwa na ID fake haimaanishi unaweza kuongea chochote unachojisikia...heshimu Imani za watu,let's say Kwa uelewa wako hiyo Dini imetoka uarabuni then what?
😄😄 Kijana kua mvumilivu,utulivu unalipa Hahah.
 
Dini sio kama mama yako wewe shoga. Dini unaweza kuamua kuiacha ama kuifuata ila mama yako huwezi kumkataa kwamba sio mama yako. Hata ukimkataa bado haiondoi uhalisia kua sio mama yako.

Ukishakua mfuasi wa hii dini na akili unapoteza kabisa?
huu ni ukwel ila hawataelewa
 
Hebu acha upumbavu wewe mbuzi.
Trust me ungekuwa karibu ningekun'goa meno.

Unajua maana ya imani, kuheshimu vya watu bila kujali vina mapungufu gani?
Jibu hilo swali jepesi tuone nani mjinga.
mbona nyiny mnachinja watu au hukuona huko kitaya ? au ndo dish limeyumba
 
Ndio maana ukishakua muumini wa hiyo dini wanachofanya kwanza ni kuku-brain wash na kukupa ahadi za kitaahira za mbinguni na kukuondoa akili yako ya kawaida na kukujaza ujinga wa mabikra 72, sijui mito ya pombe, wnaawake wazuri wenye makalio nk.

Mbaya zaidi unaweza kukuta mtu msoni kabisa amewnda shule na unafikiri anaweza ku-reason na ku-argue na kutumia logic ila anaenda kua brainwashed na wajinga ambao hawakwenda shule wamekariri kiarabu na mambo kama hayo. Ni mambo ya ajabu sana.
hahahahaaaaaa
 
Dini ya visas kivipi? Mama yako amekuzaa hajakuumba akitukanwa mbele yako utakaa kimya una angalia Mwamba? Ktk uislam Mungu ana thaman kuliko kitu chochote kile..Tuje kwa kipenzi chako mkeo akitukanwa utakaa tu ukiangalia? Just think of it Mungu ni zaidi ya vyote hivi... your health wealth its him who is in control ....don't let the breath deceive you.
mungu si sw na mama ako , mungu kaumba kila kitu ila mama yako kakuumba ww tu ( kwa mujibu wa dini yenu ) ss iweje umsaidie kuchukua maamuz yake au hukumu
 
Ndio maana ukishakua muumini wa hiyo dini wanachofanya kwanza ni kuku-brain wash na kukupa ahadi za kitaahira za mbinguni na kukuondoa akili yako ya kawaida na kukujaza ujinga wa mabikra 72, sijui mito ya pombe, wnaawake wazuri wenye makalio nk.

Mbaya zaidi unaweza kukuta mtu msoni kabisa amewnda shule na unafikiri anaweza ku-reason na ku-argue na kutumia logic ila anaenda kua brainwashed na wajinga ambao hawakwenda shule wamekariri kiarabu na mambo kama hayo. Ni mambo ya ajabu sana.
Okay mkuu....hawa ambao wako brain washed Wanamwamini mungu mmoja wa haki.....VP khs wewe unaye mwabudu mwanadamu mwenzako ambaye amezaliwa na mwanamke na kuamini kuwa Ni mungu! Nani yupo brain washed hapo? Have a respect brother usitafute umaarufu huku mitandaoni.

Haumini kuhus Uislamu just chill Tu....kwanini unateseka?
 
Back
Top Bottom