4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
dini yao inawafundisha kutoa uhai wa mtuYupo, baada ya fatwa akapata hifadhi Mangaribi huko. Kumbe bado wanamfuatilia, wana visasi hawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dini yao inawafundisha kutoa uhai wa mtuYupo, baada ya fatwa akapata hifadhi Mangaribi huko. Kumbe bado wanamfuatilia, wana visasi hawa!
kwahiyo dini yenu inafundisha kutoa hukumu duniani? nini maana ya kiama ss ?Hiyo ndio maana ya heshima ni kitu cha bure.
Dini kwa wengi ni kitu personal sana ukiitukana ni kama umemtukana yeye, mama yake, mwanae au mkewe.
Mkuu mimi nikikutukania mama yako tusi zito utakubali nitembee kifua mbele kwamba mimi ni mbabe kisa tu Mungu ameniruhusu kuishi?
Fikiria hilo swali kwa makini.
na anaechinja waumin wa dini nyingine akidai makafir , nae afanyejwe ?Mimi sio mtu wa dini sana lakini ukiitukana dini yangu lazima nipanic.
Au wewe utakubali nikutukanie dini yako na mungu wako mkuu.
nyiny mngekuwa na heshima msingeteka mabasi huko kenya na kuchambua wakristu kuwachinja na kuwaacha waislam , kabla hujakosoa jiangalie upande wakoHebu acha upumbavu mkuu.
Unajua maana ya "respect."
Dini ni kitu personal kama mzazi, au wewe utakubali nikutukanie mama yako?
Hii comment inaonesha either hauna akili au ni mjinga, au vyote kwa pamoja.
kwann nyiny msiheshim din nyingine kwanz ?Unajua maana ya personalization? na kuheshimu vya wengine?
Dini ni kama mama mzazi ni kitu very personal, au wewe unaweza kukubali nikutukanie mama yako mzazi hapa?
Utakaa chini na kusema utapata faida gani? je wewe hauna connection na emotions juu ya mama yako?
Wewe unaweza usiwe na connection kubwa na dini yako, lakini huyo ni wewe means heshimu vya watu.
Au mmekuzwa kutukana na kutoheshimu vya watu.
rely on what you intended to do over him , thats symptom of fear of his words or existence , challenge him with words if you canHow afraid of his words, or you cut his tongue because of how tired, insulted and humiliated by his words?
That quote is immensely unrelated and Inapplicable here.
Who wrote the stupid quote?
Mkuu uwe na heshima basi kidogo....kuwa na ID fake haimaanishi unaweza kuongea chochote unachojisikia...heshimu Imani za watu,let's say Kwa uelewa wako hiyo Dini imetoka uarabuni then what?Dini lenyewe la waarabu, unaacha mila zako unaenda kuua kisa dini ya kipuuzi ya kigeni.
Huu ni ujinga usiomithirika
😄😄 Kijana kua mvumilivu,utulivu unalipa Hahah.Mkuu uwe na heshima basi kidogo....kuwa na ID fake haimaanishi unaweza kuongea chochote unachojisikia...heshimu Imani za watu,let's say Kwa uelewa wako hiyo Dini imetoka uarabuni then what?
Kwahiyo kauli yako inakufanya ujisikie furaha? Inakufanya uwe mkubwa? Acheni dharau ktk Imani za watusijaona point yako hapo zaid ya utumbo tu , wavaa vipedo jamaa aliwagusa kalio
huu ni ukwel ila hawataelewaDini sio kama mama yako wewe shoga. Dini unaweza kuamua kuiacha ama kuifuata ila mama yako huwezi kumkataa kwamba sio mama yako. Hata ukimkataa bado haiondoi uhalisia kua sio mama yako.
Ukishakua mfuasi wa hii dini na akili unapoteza kabisa?
Ndo maana nimeongea Kwa ustaarabu mkuu....wala sijapaniki!😄😄 Kijana kua mvumilivu,utulivu unalipa Hahah.
hahahaaaaLakini mwamba hajafa... Allah Akbar
mbona nyiny mnachinja watu au hukuona huko kitaya ? au ndo dish limeyumbaHebu acha upumbavu wewe mbuzi.
Trust me ungekuwa karibu ningekun'goa meno.
Unajua maana ya imani, kuheshimu vya watu bila kujali vina mapungufu gani?
Jibu hilo swali jepesi tuone nani mjinga.
hakika aseeeLakini jamaa hajafariki...Mungu hapingiwi Cha kufanya
hahahahaaaaaaNdio maana ukishakua muumini wa hiyo dini wanachofanya kwanza ni kuku-brain wash na kukupa ahadi za kitaahira za mbinguni na kukuondoa akili yako ya kawaida na kukujaza ujinga wa mabikra 72, sijui mito ya pombe, wnaawake wazuri wenye makalio nk.
Mbaya zaidi unaweza kukuta mtu msoni kabisa amewnda shule na unafikiri anaweza ku-reason na ku-argue na kutumia logic ila anaenda kua brainwashed na wajinga ambao hawakwenda shule wamekariri kiarabu na mambo kama hayo. Ni mambo ya ajabu sana.
mungu si sw na mama ako , mungu kaumba kila kitu ila mama yako kakuumba ww tu ( kwa mujibu wa dini yenu ) ss iweje umsaidie kuchukua maamuz yake au hukumuDini ya visas kivipi? Mama yako amekuzaa hajakuumba akitukanwa mbele yako utakaa kimya una angalia Mwamba? Ktk uislam Mungu ana thaman kuliko kitu chochote kile..Tuje kwa kipenzi chako mkeo akitukanwa utakaa tu ukiangalia? Just think of it Mungu ni zaidi ya vyote hivi... your health wealth its him who is in control ....don't let the breath deceive you.
hahahahaaaa wavaa vipedo oyeeeeUkishakua muumini wa hii dini na reasoning inaondoka kabisa.
Okay mkuu....hawa ambao wako brain washed Wanamwamini mungu mmoja wa haki.....VP khs wewe unaye mwabudu mwanadamu mwenzako ambaye amezaliwa na mwanamke na kuamini kuwa Ni mungu! Nani yupo brain washed hapo? Have a respect brother usitafute umaarufu huku mitandaoni.Ndio maana ukishakua muumini wa hiyo dini wanachofanya kwanza ni kuku-brain wash na kukupa ahadi za kitaahira za mbinguni na kukuondoa akili yako ya kawaida na kukujaza ujinga wa mabikra 72, sijui mito ya pombe, wnaawake wazuri wenye makalio nk.
Mbaya zaidi unaweza kukuta mtu msoni kabisa amewnda shule na unafikiri anaweza ku-reason na ku-argue na kutumia logic ila anaenda kua brainwashed na wajinga ambao hawakwenda shule wamekariri kiarabu na mambo kama hayo. Ni mambo ya ajabu sana.
hahahaaaaaaaSalman akili nyingi
hiyo kwa mujibu wa teamKobaz aka wavaa vipedoSikia wewe Dini uwezi kuifananisha na mtu au kitu dini ndio muongozo halisi wa binadamu iashije uyo mama unayemsema na yeye anafuata iyo dini unaweza kumkana mama yako mzazi au baba lakini siyo dini
Sent using Jamii Forums mobile app