Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,593
- 6,754
Namkikuta kikulacho... muwe wapole pia.Subiri tu, tuombe mahakama iwe huru ili tujiridhishe na uchafu/unyama ulioendeshwa na rais dhalimu ndani ya nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namkikuta kikulacho... muwe wapole pia.Subiri tu, tuombe mahakama iwe huru ili tujiridhishe na uchafu/unyama ulioendeshwa na rais dhalimu ndani ya nchi hii.
Mimi mwenyewe ni kesi inayojitosheleza.Wewe mbona ujafungua kesi?
Una maana gani mkuu. Unatoa vitisho?? Basi kufa wewe na watu wanyamaze kimya, utaenda ushitaki huko utakakokwenda ukiwa marehemUyo jamaa amejiamini nini ivo au ndo Uhuru mlopewa?
Waliopewa na Nani ewe kunduloUyo jamaa amejiamini nini ivo au ndo Uhuru mlopewa?
Ni jambo zuri ili watenda haki watendewe haki.Mwanahabari Luqman Maloto, amefungua kesi ya jinai No. 5/2023 dhidi ya DCI na DPP Mahakama Kuu, Dar es Salaam, akiiomba itamke ofisi hizo zimeshindwa kuchunguza matukio yaliyofanywa na wasiojulikana ikiwemo kushambuliwa Tundu Lissu, kupotea Azory Gwanda na Ben Saanane.
Chanzo: MwanaHalisi
Hiyo kesi mahakama zitaipokea?Tusubiri LIVE coverage toka mahakani kama ilivyokuwa kwenye. Hapa tutarudi kwenye PGO
Mbona ni jambo la kawaida, hata serikali inshtakiwa kama jamhuri au ndugu yangu wewe bado uko enzi za zamani sana?Uyo jamaa amejiamini nini ivo au ndo Uhuru mlopewa?
Namkikuta kikulacho... muwe wapole pia.
Hata ipite miaka 50 mbele. Biblia inasema Mungu hachelewi wala hakawiiHaki huwa inachelewa tu ila mara nyingi huwa haipotei
Hee wasingepona siku ile ile na walivyokuwa hawapendwi🤣🤣Ingekuwa ni kikulacho muda tu wangeshakamatwa. Kama wamebambikiwa hadi kesi, ingekuwa wamefanya hayo si ingekuwa rahisi zaidi kwa hao wabambikiwa kesi.
YeahHata ipite miaka 50 mbele. Biblia inasema Mungu hachelewi wala hakawii
Sawa kinachotakiwa ni haki iwe ndani ya chama au nje ya chama lakini tujue nani hasa alihusika,kama ni yule wa kuzimu tukafukue kaburi lake tuchape viboko mifupa yake au kuichoma moto.Namkikuta kikulacho... muwe wapole pia.
Masjala ya mahakama kuu ipo wazi kwa yeyote. Kama una mashaka na ushahidi waweza kwenda kufungua kesi kuwapatia haki uliowataja kwani Maloto kaonyesha njia.Vipi Mwangosi, profesa Jwan, Dr Ulimboka au hao siyo binadamu?
Na vipi wengine siyo public figure wamepotea au na wenyewe sio binadamu?
Kuwa biased ndio tunaimaliza hii nchi?
Rais Samia Aache mahakama iwe chombo huru kitamsaidie serikali anayoongoza,haya Mambo ya Rais kuwa na mamlaka kuliko mahakama ndo imerudisha taifa letu nyuma,wauwaji waliofanya hayo wapo wanatembea mtaani na mahakama hazina sauti coz zinaogoka Rais pekee,Samia tupe katiba Mpya mkwamo upo kwako kwa maana ya nafasi ya Urais uliyoikalia,,Subiri tu, tuombe mahakama iwe huru ili tujiridhishe na uchafu/unyama ulioendeshwa na rais dhalimu ndani ya nchi hii.
Namna yake ndio ipi?Nmehoji tu au wewe unaona ni kawaida ya watu wa namna yake?
Ukute wa hukohuko,usiziamini nchi zenye mizizi ya ujamaa,vitengo kila konaUyo jamaa amejiamini nini ivo au ndo Uhuru mlopewa?