Sasa ndugu yangu watafungua nchi nzima.Rasta mbona wewe haujafungua kama ni kawaida? Au na wewe ni shujaa wa kwenye keyboard na anonymous ID?
Pia mambo haya yanahitaji uelewa mpana. Wengine hatuyajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndugu yangu watafungua nchi nzima.Rasta mbona wewe haujafungua kama ni kawaida? Au na wewe ni shujaa wa kwenye keyboard na anonymous ID?
Ndo mana nmeshangaa sasa kumuona luqman piaSasa ndugu yangu watafungua nchi nzima.
Pia mambo haya yanahitaji uelewa mpana. Wengine hatuyajui
ngoja ajaribu lakini kwa mahakama zipi? Za huyu Juma? kwa Jaji yupi? hawa wa sasa?
Njia pekee ya kuzuia yaliyotokea yasitokee tena.Mwanahabari Luqman Maloto, amefungua kesi ya jinai No. 5/2023 dhidi ya DCI na DPP Mahakama Kuu, Dar es Salaam, akiiomba itamke ofisi hizo zimeshindwa kuchunguza matukio yaliyofanywa na wasiojulikana ikiwemo kushambuliwa Tundu Lissu, kupotea Azory Gwanda na Ben Saanane.
Chanzo: MwanaHalisi
🤣🤣🤣Sijui kama kuna kitu kitakachotokea naona hii ni kama danganya toto ile mama anamwambia mtoto tema hapa tumpige hembu ngoja tuone
Ngoja tuonePengine mwaka huu 2023 kila mtu na pia mhimili mmojawapo wa Dola mfano Mahakama zitavunja minyororo na kuwa huru
Ni lini Tanzania itakuja kuwa na Mahakama?
Kimsingi Tanzania haina Mahakama, kwa maana halisi ya Mahakama kama chombo huru kinachojitegemea kilichowekwa na umma kwaajili ya kusimamia haki. Kinachoitwa Mahakama, kwa Tanzania, ni idara tu ya Serikali iliyopewa jina la mahakama kushughulikia migogoro isiyoigusa Serikali, lakini pia...www.jamiiforums.com
Kwa mahakama zetu utashangaa, kila kitu kinawezekana. Jamaa wanatumia resources vibaya sana.HAKUNA CASE HAPO ITATUPILIWA MBALI..... MLOTO HANA MAMLAKA YA KUFUNGUA CASE YA JINAI......... WASTAGE OF TIME.........
Sawa, tulia uone mbaka mwisho wa huo mchezo JF ipo hapa.Ingekuwa ni kikulacho muda tu wangeshakamatwa. Kama wamebambikiwa hadi kesi, ingekuwa wamefanya hayo si ingekuwa rahisi zaidi kwa hao wabambikiwa kesi.
Ukimkuta huyo kuzimu utachoma moto mabaki, upo sawa kabisa.Sawa kinachotakiwa ni haki iwe ndani ya chama au nje ya chama lakini tujue nani hasa alihusika,kama ni yule wa kuzimu tukafukue kaburi lake tuchape viboko mifupa yake au kuichoma moto.
Jifunze kuandika kwanza we punguani. Hebu soma tena post yako alafu useme kama kuna mtu atakae elewa ulicho andika.Usijibizaje majinga utadhani hayajapita shule,yaani utawala wa CCM ulivyohatari zaidi ya shetani wawe na taarifa za kudhuliwa na mwenzao ndani ya chama nafikiri ndo wangeonesha dunia wanavyojua kushugulika na waharifu,,
Unaweza kufungua za hao wengine, make ni watanzania Kama wewe...waonee huruma au vpVipi Mwangosi, profesa Jwan, Dr Ulimboka au hao siyo binadamu?
Na vipi wengine siyo public figure wamepotea au na wenyewe sio binadamu?
Kuwa biased ndio tunaimaliza hii nchi?
Kwanini wasihusishwe si kwa kubaguaUnaweza kufungua za hao wengine, make ni watanzania Kama wewe...waonee huruma au vp
Vipi Mwangosi, profesa Jwan, Dr Ulimboka au hao siyo binadamu?
Na vipi wengine siyo public figure wamepotea au na wenyewe sio binadamu?
Kuwa biased ndio tunaimaliza hii nchi?
Let us wait and see!Pengine mwaka huu 2023 kila mtu na pia mhimili mmojawapo wa Dola mfano Mahakama zitavunja minyororo na kuwa huru
Ni lini Tanzania itakuja kuwa na Mahakama?
Kimsingi Tanzania haina Mahakama, kwa maana halisi ya Mahakama kama chombo huru kinachojitegemea kilichowekwa na umma kwaajili ya kusimamia haki. Kinachoitwa Mahakama, kwa Tanzania, ni idara tu ya Serikali iliyopewa jina la mahakama kushughulikia migogoro isiyoigusa Serikali, lakini pia...www.jamiiforums.com
Kumekucha wapi wanapoteza muda tu!Kumekucha
Kwanini wasihusishwe si kwa kubagua