Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Shida ni kuwa wasipomfukuza kazi, kuna hatari ya gazeti kupata shida...Ni Afrika tu utaona haya mambo kiongozi akikosolewa mtu anafukuzwa kazi tena anaweza pewa ban ya life time asiajiliwe kokote kule maisha yake yote.
sio kweli,Hilo tangazo la mwananchi halioneshi kuwa alikuwa mfanyakazi wao linasema alikuwa "contributor" (mchangiaji) wa baadhi ya makala zao na kwa sasa hawataruhusu makala zake.
They can just back date...20 ilikuwa Ijumaa, na yeye katoa maoni yake 22 Jumapili.
Wanaweza kuwa wamefanya consideration ya siku ya kazi ya wiki ambapo kosa lililomwachisha kazi limefanyika.
Cha kujiuliza, tangazo limetoka lini?
Watakaokuelewa ni vichwa panzi wenzio.Sio lazima uelewe kila kitu mambo mengine ni kwa ajili ya wengine, ukiona huelewi pita kimya, kuna wanaoelewa.
Huna unalolijua.Watakaokuelewa ni vichwa panzi wenzio.
Huna unalolijua.
Umeongea point kubwa Sana mjadala ulitakiwa ufungwe hapa.Mi nadhani Jf kuna shida, watu ni wajuaji kupita viwango.. Jamaa amefukuzwa tar 20 na tweet ya kumshambulia Jiwe ni ya tar 22, inaonyesha kabisa tweet yake sio sababu ya kusitishiwa kua mchangiaji wa gazeti husika labda kutakuwa na sababu nyingine ambayo wanaijua wao wahusika.. Sasa ujuaji wa wana Jf unakuja wanapotaka kulazimisha kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma ili kujinasua kwenye mzozo sasa unajiuliza wewe unaeamini kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma kwanini unilazimishe kuamini hicho na sio kwamba ni kweli jamaa atakua alifanya ishu nyingine iliyofanya asitishwe kuchangia mwananchi tar 20! Ushahidi tulionao at hand unakataa kuwa tweet ya jamaa haiwezi kuwa ndo ilifanya afukuzwe kutokana na tarehe kujichanganya ila kuna genge la wajuaji wanataka tuamini vitu tusivyoviona kwenye ushahidi? Hii si kupiga ramli? Hivi hapa ni nyumbani kwa great thinkers au wana harakati? Jf aka new Fb😀😆😀
Ni nyumbu tuu wanaoamini sababu hiyo.Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Public notice ya kufukuzwa kazi imetolewa leo mchana.Ni nyumbu tuu wanaoamini sababu hiyo.
Barua ya kufukuzwa ni ya trh 20. Maoni katoa trh 22. Bado nyumbu wanaamini kwamba Mwananchi walijua kwamba jamaa atatoa maoni hayo wakamfukuza kazi kabla ya kuyatoa!!
Ama kweli Mbowe kawaachia nyumbu akili ya kuvukia barabara tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point kubwa Sana mjadala ulitakiwa ufungwe hapa.
kwa misimamo ya huyo mwandishi unadhani kweli tatizo ni hiyo tweet moja tu?fikiria zaidi mkuu. twit hiyo ikupe msukumo zaidi wa kujua twit zake zingine. kabla hujaita watu genge la wajuaji omba kujua,wakati wewe umeona hiyo twit pekee hao wajuaji wameona zaidi ya tweetMi nadhani Jf kuna shida, watu ni wajuaji kupita viwango.. Jamaa amefukuzwa tar 20 na tweet ya kumshambulia Jiwe ni ya tar 22, inaonyesha kabisa tweet yake sio sababu ya kusitishiwa kua mchangiaji wa gazeti husika labda kutakuwa na sababu nyingine ambayo wanaijua wao wahusika.. Sasa ujuaji wa wana Jf unakuja wanapotaka kulazimisha kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma ili kujinasua kwenye mzozo sasa unajiuliza wewe unaeamini kuwa mwananchi wamerudisha tarehe nyuma kwanini unilazimishe kuamini hicho na sio kwamba ni kweli jamaa atakua alifanya ishu nyingine iliyofanya asitishwe kuchangia mwananchi tar 20! Ushahidi tulionao at hand unakataa kuwa tweet ya jamaa haiwezi kuwa ndo ilifanya afukuzwe kutokana na tarehe kujichanganya ila kuna genge la wajuaji wanataka tuamini vitu tusivyoviona kwenye ushahidi? Hii si kupiga ramli? Hivi hapa ni nyumbani kwa great thinkers au wana harakati? Jf aka new Fb😀😆😀
CCM utasema nini jipyaKila mtu anahisi lake
Pengine kamshika mtu titi ofisini,watu mnadhani siasa
Punguza kelele, kumbe hata barua ya kuachishwa kazi hujaiona ila tayari unajua ni ya tarehe gani? Kwa hiyo niamini ramli zako hapa au public notice na tweet ya mwandishi tulizowekewa hapa? Umekalia stori za kufikirika na kurudia rudia post badala utuletee hiyo barua ya termination tuone ni ya lini? Na habari za public notice imewekwa hadharani lini ni wao ndo wameona waiweke siku waliyoiweka sababu wanazijua wao, tupunguze ramli..Public notice ya kufukuzwa kazi imetolewa leo mchana.
Kwanini public notice haikutolewa tar 20?
Hiyo tarehe imewafanya watu wengi washindwe kufikiria hata kidogo.
Hivi siwezi kundika statement hapa sasa hivi halafu nikaiwekea tarehe ya mwaka uliopita?
Tuleteeni barua iliyomfukuzisha kazi jamaa ambayo jamaa alikabidhiwa tar 20 baada ya kufukuzwa kazi. Iwe na muhuri wa kampuni ya mwananchi.
Siyo huo uhuni ulioandikwa kwenye hiyo statement ndio mnauita barua...
Punguza kelele, kumbe hata barua ya kuachishwa kazi hujaiona ila tayari unajua ni ya tarehe gani? Kwa hiyo niamini ramli zako hapa au public notice na tweet ya mwandishi tulizowekewa hapa? Umekalia stori za kufikirika na kurudia rudia post badala utuletee hiyo barua ya termination tuone ni ya lini? Na habari za public notice imewekwa hadharani lini ni wao ndo wameona waiweke siku waliyoiweka sababu wanazijua wao, tupunguze ramli..