Punguza kelele, kumbe hata barua ya kuachishwa kazi hujaiona ila tayari unajua ni ya tarehe gani? Kwa hiyo niamini ramli zako hapa au public notice na tweet ya mwandishi tulizowekewa hapa? Umekalia stori za kufikirika na kurudia rudia post badala utuletee hiyo barua ya termination tuone ni ya lini? Na habari za public notice imewekwa hadharani lini ni wao ndo wameona waiweke siku waliyoiweka sababu wanazijua wao, tupunguze ramli..
Siamini , imekuaje ?Duuu citizens sahv nigazet la ccm
Sent using Tume huru
Kukaa kimya kwa faida ya Nani ?Vitu vingine ni kukaa kimya tu, ndiyo maana hata Mfalme Solomon aliliona hilo
Unasema wengi wanasema amefukuzwa kazi kwa sababu ya makala zake. Unaanzisha uzi kwa habari ambayo wala huna uhakika nayo. Huo ni uzushi. Peleleza habari kwanza, upate ukweli wake, ndipo uilete mtandaoni ikiambatana na maoni yako jinsi unavyouona ukweli huo. Hivi sasa unafanya watu waanze kutoa maoni kutokana na hisia zako tu; wengine wakitukana serikali, n.k. Huo ni umbeya.Mwandishi wa Habari wa The Citizen amesimamishwa kazi. Wengi wanahisi ni kutokana na posts zake katika social media.
View attachment 1396883
Mkuu, unaongea kwa uhakika kabisa kwamba wewe huwa haupitwi na tangazo lolote na kwamba tangazo lolote la tarehe 20 ni lazima tu kwako utalipata tarehe hiyo hiyo? Unapouliza kwa nini hakukutolewa tarehe hiyo, una uhakika kabisa hakukutolewa?Swali jepesi la kujiuliza, kama alifukuzwa tar 20, kwa nini tangazo halikutolewa tar 20? Uma unakuja kujulishwa tar 23, je huoni kama anaweza kuingia transactions tar 21, 22 na 23 asubuhi kwa kutumia jina la Mwananchi Communication?
Mkuu, unaongea kwa uhakika kabisa kwamba wewe huwa haupitwi na tangazo lolote na kwamba tangazo lolote la tarehe 20 ni lazima tu kwako utalipata tarehe hiyo hiyo? Unapouliza kwa nini hakukutolewa tarehe hiyo, una uhakika kabisa hakukutolewa?
Mimi pia. This is 360 degrees turn around!Mama siku hizi sikuelewielewi...
Inaweza kuwa kweli kafukuzwa kwa ajili hiyo ila pia tusiamini kuwa ni sababu hiyo pekee iliyomfukuzisha kazi yeye pia ni binadamu yawezekana kuwa kafanya kosa jingine ila anatafuta pa kutokeakwa misimamo ya huyo mwandishi unadhani kweli tatizo ni hiyo tweet moja tu?fikiria zaidi mkuu. twit hiyo ikupe msukumo zaidi wa kujua twit zake zingine. kabla hujaita watu genge la wajuaji omba kujua,wakati wewe umeona hiyo twit pekee hao wajuaji wameona zaidi ya tweet
Kweli mkuu... Kama amehamia side B, basi atuambie tumkaribishe vizuri.Mimi pia. This is 360 degrees turn around!
We nae siku hizi unawakiaga kwenye gia😀😆Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyotukanwa na wapiga kura wao, Magufuli ndio angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Kwani hapo tatizo la kufanya mtu afukuzwe kazi ni lipi mkuu?Naamini khalifa alijianda kwa hili....alijua litatokea kupitia vikao vya tathmini ya mwezi...robo ya mwaka..nusu mwaka au barua za onyo kabisa na pale the citizen wageni walikuwa wengi just three years back
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unafanya nini hapa si uende Chanel 10 au Uhuru ukatoe maoni yako?
"Contributor" isingenoga ila MWANDISHIHilo tangazo la mwananchi halioneshi kuwa alikuwa mfanyakazi wao linasema alikuwa "contributor" (mchangiaji) wa baadhi ya makala zao na kwa sasa hawataruhusu makala zake.
Ilikuwa haina haja ya kuandika uongo. Tafsiri ya "contributor" ni mchangiaji (kimaandishi)."Contributor" isingenoga ila MWANDISHI
Kafanyaje?
Namuona Bwana Mwijage Ha ha haaaa
Haya ulitaka Kichwa cha Habari kisomeke "Mchangiaji wa magazeti alimwa "Ban" "Ilikuwa haina haja ya kuandika uongo. Tafsiri ya "contributor" ni mchangiaji (kimaandishi).
Tatizo siyo tafsiri Bali kusema kafukuzwa kazi. Tuseme eisi tunaochangia kimaandishi hapa JF tukikataliwa na uongozi wa JF (ban) kuweka maandiko yetu ina maana tumefukuzwa kazi na JF?
Tuwe wakweli.