42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Hivi unaelewa maana ya public notice?
Ni mjinga pekee anaweza kudhani kampuni itatoa public notice ikijisikia.
Ni mjinga pekee anaweza kudhani kampuni itatoa public notice ikijisikia.
Punguza kelele, kumbe hata barua ya kuachishwa kazi hujaiona ila tayari unajua ni ya tarehe gani? Kwa hiyo niamini ramli zako hapa au public notice na tweet ya mwandishi tulizowekewa hapa? Umekalia stori za kufikirika na kurudia rudia post badala utuletee hiyo barua ya termination tuone ni ya lini? Na habari za public notice imewekwa hadharani lini ni wao ndo wameona waiweke siku waliyoiweka sababu wanazijua wao, tupunguze ramli..