Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Angalia tarehe hizo hazileti logicMimi pia niliwaza hilo je watu wakifa atasemaje??
Kufukuzwa kazi kwa kusema ukweli ni ushujaa wa hali ya juu
Bravo to him atapata kazi za juu zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usichukue tarehe iliyopo kwenye barua ndiyo siku aliyopewa, muhusika ndiye anaweza kuthibitisha tarehe aliyopewa barua hiyo.Barua kapewa ya kufukuzwa kazi kapewa tarehe 20 na hotuba ya Magufuli ilikuwa tarehe 23 nafikiri Kuna sababu nyingine ambayo iliyosababisha kufukuzwa kazi ila sio hii.
Barua tarehe mtu anaweza kuweka tu, ila kama unafuatilia mambo huyu jamaa ilikuwa lazima wamfanyie kitu. Ana fikiria critically na sio mnafiki. Watu wa aina hiyo huwa hawapendwi.
Alifukuzwa kabla ya tweet!!!20.03.2020 na
22.03.2020
Tarehe 20I have, that is tricky.
Tangazo limetoka lini?
YesAlifukuzwa kabla ya tweet!!!
Barua kapewa ya kufukuzwa kazi kapewa tarehe 20 na hotuba ya Magufuli ilikuwa tarehe 23 nafikiri Kuna sababu nyingine ambayo iliyosababisha kufukuzwa kazi ila sio hii.
Tarehe 20
Hotuba ya rais ilikuwa jana 22/3 na tweet pia ni ya hiyo tarehe... Inamaanisha alifukuzwa kazi kabla hata ya hotuba ya rais.
wanazuga tu kuwa tangu tarehe 20 alikua sio mfanyakazi wao ili rungu la Greyson Msigwa liwaepuke.Cheki hizo tarehe ndugu... Hayahusiani kabisa
Kwa hii observation umeteleza, huyu hawakilishi nchi, hata gazeti ni LA mfanyabiashara mkenya sio la serikali ya Kenya. So hapa hakuna diplomacyKidiplomasia wapo sahihi kwa 100%
Mwandishi wa habari wa nchi jirani kumwambia rais wa nchi nyingine kwamba watu wake wakifa yeye awe responsible
Sio kitendo cha uungwana hata kidogo na sio profissionalism ya kazi anayoifanya
Anataka kuingiza nchi yake na Tanzania Kwenye Mgogoro wa kidiplomasia usio na msingi
Angekuwa mwandishi wa ndani ya tanzania ingekuwa sahihi 100%
Mkuu Pascal Mayalla huyu jamaa ajifunzi kwako? Wewe huwa unauma then unapuliza..Huyu mwandishi ni katika wale wachache waliokuwa wanahoji maswali mazuri sana ktk press conference.
Nadhani weledi wake wa kufanya kazi ya uandishi ndiyo umesababisha aonekane 'mpinzani'.
Mfano mmoja kati ya kazi nzuri nyingi za mwandishi huyu ni mahojiano haya February 6, 2020 kuelekea Siku ya Sheria mada Sheria na Uwekezaji
Source : Mcl digital
Huyu mwandishi ni katika wale wachache waliokuwa wanahoji maswali mazuri sana ktk press conference.
Nadhani weledi wake wa kufanya kazi ya uandishi ndiyo umesababisha aonekane 'mpinzani'.
Mfano mmoja kati ya kazi nzuri nyingi za mwandishi huyu ni mahojiano haya February 6, 2020 kuelekea Siku ya Sheria mada Sheria na Uwekezaji
Source : Mcl digital
Unamaanisha nini?Vitu vingine ni kukaa kimya tu, ndiyo maana hata Mfalme Solomon aliliona hilo
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Aisee yaani mtu anafukuzwa kazi kwa sababu hiyo ?Yaani Trump na Macron wanavyoyukanwa na wapiga kura wao,Magufuli ndo angekuwa wao angekufa kwa pressure.
Naomba kukuuliza mkuu; hiyo barua ya January mtu anayopokea mwezi wa tatu,ilifaa huyo mtu aipokee mwezi wa kwanza au inakuwaje?Ukiwa unafanya kazi, unaweza kupokea barua mwezi wa 3 ikisema kwamba kuanzia tar 1 January mshahara wako ni kiasi fulani, kwa hiyo malimbikizo yatalipwa.
Kihasibu tunasema acting retrospectively, ndicho kilichotokea hapo. Barua kapewa leo ila adhabu inaanzia siku ya mwisho ya kazi kwa wiki kosa lilipofanyika.