Mwanza City: The Photo Gallery

Nilichukua namba yake 😁
 
Ila huyo shemeji yako namuamni mkuu, sema ndio hivyo wanawake hawaaminiki.
Fanya umuoe umzalishe mara mbili chap chap ndo atatulia , la sivyo utapigwa na kitu kizito Sana kichwani .... Kuna wahuni pembeni pale wanauza vifaa vya umeme na mziki walimuita wakabonga mawili matatu 😁😁😁 nikaona anatabasamu tuu
 
Jembe ana mtoto mmoja huyo nimeshamzalisha ila........
 
Costa zibaki mjini..hice ziende pembezoni mwamji.
Naunga mkono hoja.
#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…