Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kama watawategemea GVT hawatoboi kabisa narudia tena hawatoboi, GVT akili zake huwa wanazijua wenyewe kwasasa wanataka nguvu kibwa ihamishiwe CHATO zonal hospital na ndio iwe kwa Moyo na tayari wameshalink na JKCI!! Unaona kabisa nguvu haitakuwepo labda BMC wao kama wao wajipange kwa kiasi kikubwa wamtumie hata bwana Weil Cornell huyu jamaa kashaweka sana pesa pale BMC kwa muda mrefu
Kabisa bugando wanapesa sijui uzembe unaanzia wapi, kwanini wasianze kujenga, then watajua huko mbeleni
 
Screenshot_20230125-003631_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003631_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003548_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003458_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003449_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003409_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003337_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003309_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003828_YouTube.jpg
Sasa Tupambane bajeti ya 2023/24 barabara ya Kenyatta na airport -Igombe-Nyanguge zijengwe
Screenshot_20230125-003933_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003845_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003631_YouTube.jpg
Screenshot_20230125-003954_YouTube.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230125-003429_YouTube.jpg
    Screenshot_20230125-003429_YouTube.jpg
    97.3 KB · Views: 11
Kama watawategemea GVT hawatoboi kabisa narudia tena hawatoboi, GVT akili zake huwa wanazijua wenyewe kwasasa wanataka nguvu kibwa ihamishiwe CHATO zonal hospital na ndio iwe kwa Moyo na tayari wameshalink na JKCI!! Unaona kabisa nguvu haitakuwepo labda BMC wao kama wao wajipange kwa kiasi kikubwa wamtumie hata bwana Weil Cornell huyu jamaa kashaweka sana pesa pale BMC kwa muda mrefu
BMC wajipange tuu competition ya hospital kubwa kanda ya ziwa imekuwa kubwa Sana sa hv ,
 
Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee

Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa

East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
 
Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee

Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa

East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
Nitafia Mwanza na kuzikwa Mwanza.
 
Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee

Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa

East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
[emoji28][emoji28][emoji28]...wali Nazi ,chai iriki Kanda ya ziwa havipandi[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee

Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa

East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
Ngoja wakusikie wenyewe,
 
Soon Mwanza itakua na Television 3 Star TV, Mahaasin tv, na Inland Tv ambayo Soon itatambulishwa
unnamed.png
Star_TV_%28Tanzania%29_Old_Logo.png
 
Back
Top Bottom