Kabisa bugando wanapesa sijui uzembe unaanzia wapi, kwanini wasianze kujenga, then watajua huko mbeleniKama watawategemea GVT hawatoboi kabisa narudia tena hawatoboi, GVT akili zake huwa wanazijua wenyewe kwasasa wanataka nguvu kibwa ihamishiwe CHATO zonal hospital na ndio iwe kwa Moyo na tayari wameshalink na JKCI!! Unaona kabisa nguvu haitakuwepo labda BMC wao kama wao wajipange kwa kiasi kikubwa wamtumie hata bwana Weil Cornell huyu jamaa kashaweka sana pesa pale BMC kwa muda mrefu
BMC wajipange tuu competition ya hospital kubwa kanda ya ziwa imekuwa kubwa Sana sa hv ,Kama watawategemea GVT hawatoboi kabisa narudia tena hawatoboi, GVT akili zake huwa wanazijua wenyewe kwasasa wanataka nguvu kibwa ihamishiwe CHATO zonal hospital na ndio iwe kwa Moyo na tayari wameshalink na JKCI!! Unaona kabisa nguvu haitakuwepo labda BMC wao kama wao wajipange kwa kiasi kikubwa wamtumie hata bwana Weil Cornell huyu jamaa kashaweka sana pesa pale BMC kwa muda mrefu
Nitafia Mwanza na kuzikwa Mwanza.Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee
Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa
East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
[emoji28][emoji28][emoji28]...wali Nazi ,chai iriki Kanda ya ziwa havipandi[emoji12][emoji12][emoji12]Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee
Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa
East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
Ngoja wakusikie wenyewe,Dah jamani kumbe tuipende tu mwanza yetu ni the best place, nipo dar kwa mishe flani toka November yani hapa natamani hii mishe iishe nirudi mwanza hata kesho asee
Dar ni jiji la kibiashara sikatai ila duh limenishindaa hali ya hewa ni taabu, harufu kila sehemu sio ushuani wala uswahilini, foleni za ajabu ajabu,msongamano, wanawake wana vitambii duh[emoji23], sehemu za starehe hazipishani sana na za mwanza, vyakula wanaweka ma viungo mengii mpaka yanapoteza ladha, japo ni kweli mzunguko wa pesa ni mkubwa na inaonekana ila kwenye matumizi ndo utachoka kabisa
East or West Mwanza is the best, tuendelee kuijenga mwanza yetu
Wanasogea sogea, natamani sana liishe kwa wakati nasi tupite juu ya maji.
Nasikia star tv inaelekea kufungwaSoon Mwanza itakua na Television 3 Star TV, Mahaasin tv, na Inland Tv ambayo Soon itatambulishwaView attachment 2495162View attachment 2495163
KwaniniNasikia star tv inaelekea kufungwa
Hawalipi ..wafanyakazi .. gharama za uendeshaji zimekuwa kubwaKwanini
Mmiliki anatakiwa aanzishe miradi mingine kusuport iyo TV ila sio kuifungaHawalipi ..wafanyakazi .. gharama za uendeshaji zimekuwa kubwa
Kufungwq hakuna ila migomo ya hapa na.pale haitaishaHawalipi ..wafanyakazi .. gharama za uendeshaji zimekuwa kubwa
Halmashauri na serikali inakosa pesa za kukarabati huu uwanja mkongwe huwe wa kisasa, uwanja hauna majukwaa wala vyoo, kwa kweli tunasafari ndefu sana.Nyamagana pitch[emoji116]View attachment 2496292View attachment 2496293
Kwani hizo Nyumba za Pembeni hawawez Nuneaton pakatengenezwa parking au michezo mingineNyamagana pitch[emoji116]View attachment 2496292View attachment 2496293
Hata hvyo ziko ndani ya hifadhi ya reli .Kwani hizo Nyumba za Pembeni hawawez Nuneaton pakatengenezwa parking au michezo mingine