Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Jengo la mahakama ya haki kanda ya ziwa, Mwanza, Ilemela buswelu👇👇

IMG_20220320_163954_8.jpg


IMG_20220320_164341_2.jpg


IMG_20220320_164604_9.jpg


IMG_20220320_164148_2.jpg


IMG_20220320_164604_9.jpg
 
Ilemela DC yuko vizuri sana, ila NYAMAGANA ni bure kabisa.!
Ila Nyamagana nao wameamua kufanya kweli kwasasa, kuna barabara nyingi sana za ndani ndani wameweka lami nyepesi, kama bulale, mkolani, maeneo ya mahina ya bismark, mwananchi, mhandu na mengi tu ni kama yamewekwa mkeka na barabara nyingine wanaweka za mawe, pia mwezi wa saba watatandaza lami ya 12km kutoka buhongwa, kishiri adi Igoma kwa lami ngumu lakini kishiri adi fumagila wataweka lami nyepesi, Naona Mabula wa kiume kwasasa anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom