Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachozuia nyegezi isifunguliwe ni nini!? Zile njia za kuingia na kutoka zimefikia wapi!?
Thanks
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kinachozuia nyegezi isifunguliwe ni nini!? Zile njia za kuingia na kutoka zimefikia wapi!?
Home ni Buhongwa huwa natabia ya kushukia buhongwa wakamilishe siku nikija nije hadi Nyegezi wakuu afu nageuka tena Buhongwa!!
Zile njia nasikia wapo asilimia 95 ...Kinachozuia nyegezi isifunguliwe ni nini!? Zile njia za kuingia na kutoka zimefikia wapi!?
Home ni Buhongwa huwa natabia ya kushukia buhongwa wakamilishe siku nikija nije hadi Nyegezi wakuu afu nageuka tena Buhongwa!!
Wafungue ipendeze yaan mwanza tukiwekewa njia nne Ile Kenyatta road na taa Sasa naona wanazidisha traffic light
Traffic lights wameweka Hadi wapiWafungue ipendeze yaan mwanza tukiwekewa njia nne Ile Kenyatta road na taa Sasa naona wanazidisha traffic light
Kila panapostahili zipo hasa maeneo ya junctions
Ewaaaah, Sasa ifunguliwe nitafute safari ya kuja MwanzaNjia ni kama zimeisha week 2 zilizopita nilipita pale nikaona wamefunga mataa barabara za kuingia na kutoka
Hii ndio naitaka na wakaweka Taa na zile Taa za Traffic aseeh patakuwa mwake sanaWafungue ipendeze yaan mwanza tukiwekewa njia nne Ile Kenyatta road na taa Sasa naona wanazidisha traffic light
Kwa wilaya ya Ilemela,Hii ndio naitaka na wakaweka Taa na zile Taa za Traffic aseeh patakuwa mwake sana
Oi Mwanza maeneo gani napata kiwanja wakuu kwa bei reasonable kidogo
Shukrani sana mkuuKwa wilaya ya Ilemela,
Vuka Busweru sogea sogea hadi Kahama, Isela na Ilalila. Barabara ni ya lami umeme upo karibu na kuna miradi ya maji inaendelea huko bei zinaanzia mil2.5 na kuendelea
Kwa wilaya ya Nyamagana,
Vuka Kishiri sogea sogea Kanindo, Fumagila na Sahwa. Barabara inajengwa ya lami na kuna miradi ya maji pia bei kuanzia mil2 na kuendelea
Kwa wilaya ya Magu,
Vuka Kisesa sogea sogea hadi Isangijo, Kitumba pia barabara ya kutoka Kisesa kuelekea Kayenze huko bado kuna maeneo makubwa sana yako wazi na watu wananunua sana bei bado ziko chini kwa sasa kuanzia laki 8 unapata kieneo chako,
NB,, Mimi sio dalali wala sihusiki kuuza viwanja nimechangia kile ninachofahamu,,
Kisesa vipo ukiwa na laki sita TU unapewa kiwanja ingia group la kisesa FacebookHii ndio naitaka na wakaweka Taa na zile Taa za Traffic aseeh patakuwa mwake sana
Oi Mwanza maeneo gani napata kiwanja wakuu kwa bei reasonable kidogo
Hivyo viwanja vya laki sita sio vya kukimbilia ....Kuna viwanja vimepimwa kayenze maeneo ya mji Mpya wa halimshauri..Kisesa vipo ukiwa na laki sita TU unapewa kiwanja ingia group la kisesa Facebook
Vimepimwa maana ad usafiri wanatoa wao wanakupeleka kuona na kurudiHivyo viwanja vya laki sita sio vya kukimbilia ....Kuna viwanja vimepimwa kayenze maeneo ya mji Mpya wa halimshauri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukubwa Gani huoVimepimwa maana ad usafiri wanatoa wao wanakupeleka kuona na kurudi
Ingia group lao utaona Kila kitu UZA NA NUNUA KISESA FACEBOOK
Aaah sawa ni vizr maana unakuwa na uhakika but nazan halimashaur wanampango wa kupanua Jiji maana ata nyashishi wanauza plotsHivyo viwanja vya laki sita sio vya kukimbilia ....Kuna viwanja vimepimwa kayenze maeneo ya mji Mpya wa halimshauri..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishawahi wasiliana na jamaa mmoja kwenye hayo magroup,,, alikuwa anauza kiwanja laki Tano lakini baada ya siku moja akapandisha laki nane na laki 9...ukubwa 20*20 ...nilianza kuwaona waswahiliIngia group lao utaona Kila kitu UZA NA NUNUA KISESA FACEBOOK