myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
anaweza kuwa na sura mbili, ya mtandaoni na ya kazini ambazo hazifananiSifikiri kama ualimu unamfaa ni basi tu.. Bora hata Polepole angemuwahi yeye kuitangaza sisiemu eeeeh.. napenda ambavyo haingizi ya yeye na wanafunzi wake kwenye maandishi yake.. anaheshimu kazi yake sana.. na anajua mipaka.
Hakuna yeye ndie akathibishe mahakamani na kutoa ushahidi kama ni mzima au mwehu akisema mzima sheria iendelee mkondo wake akithibitisha ni mwehu na mahakama ikakubali jamii forums na mitandao yote ya kijamii na media zote inatakiwa kumblock hadi siku mahakama itakapotangaza kuwa ana akili timamu.Lakini sio anaenda pale polisi wanasema mwehu yeye anasema leteni ushahidi hapana.Yeye ndie afanye hiyo kazi.Polisi watakuwa watu wa aina hii wengi mtakuwa mnakesha wodi za vichaa kupimisha hawa vichaa wa aina ya Tito na kisandu wakidakwa wapitie procedure za kawaida wao wakajichomoe wenyewe kwa ushahidi wao sio polisi iwasaidie kuchomokaWampeleke naye milembe kwanza kumpima akili yake kwanza!
Ova
anaweza kuwa na sura mbili, ya mtandaoni na ya kazini ambazo hazifanani
Yani ameandika matusi mengi sana
Hakuna yeye ndie akathibishe mahakamani na kutoa ushahidi kama ni mzima au mwehu akisema mzima sheria iendelee mkondo wake akithibitisha ni mwehu na mahakama ikakubali jamii forums na mitandao yote ya kijamii na media zote inatakiwa kumblock hadi siku mahakama itakapotangaza kuwa ana akili timamu.Lakini sio anaenda pale polisi wanasema mwehu yeye anasema leteni ushahidi hapana.Yeye ndie afanye hiyo kazi
He he..ila sasa hii ni kwa wanandoa zaidi...Anakwambia Kutomb.a ni haki yake in accordance with Article 16 ya katiba. Em wanasheria waje wafafanue hili.
Kutukana dini za watuHayo kuhusu hamu ya mwili wake au kuna mengine..
Unaona hayo yamepita yanayoandikwa na wananchi wengi mitandaoni kila siku!?
Hawezi fungwa huyu,milembe itamuokoaYani ameandika matusi mengi sana
Hahahaaa "mimi deo nalimi kisandu aka masqo"!!Kama kuna mtu nimtaaramu wa mambo ya IT umu Jf aende ...adukue account ya Facebook ya Deo kisandu ..alafu aifute ...maana Jamaa kaongea ..matusi kwana kukwichi kwichi kalibia post 10 amepost mabaraha tupu huko...msaidien ndugu yenu..yaani Fb wanabid wawekwe mamod ...ili mtu awe anapewa Ban angalau.
Pamoja na kwamba Deo kisandu kaachiwa kwa dhamana ila bado anaendelea kupost habar za kwamba anahitaji kupata kutom*** yaan ni hatari tupu.
Huyu jamaa utimamu wake ni wa utata fuatilia thread zake humu!Tusubiri ripoti za madaktari!Si unaona hlf wanaweza kutokea watu na kuanza kumtetea kwamba ameonewa
Deo anamatatizo ya Akili kweli wala sio huongo.huko Facebook kuna wadada wanajiuza live,mbona hamuwakamati?labda mseme mmeanza fagia fagia huko facebook kwa wanaotukana,hivi ukimkuta ni kweli ana matatizo ya akili,utamfanya nini,si umepoteza muda wako ambao ungefanya mambo mengine?
physics na mathematicsKwani DEO anafundisha somo gani? Natamani sana kujua kwa kweli