Ok9
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 4,549
- 4,133
Hiv humu hakuna mwanafunzi wake hata m1? Nataman kuona product yake ikojeWatoto watakosa vipindi,maskini wanafunzi wake mwalimu deo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv humu hakuna mwanafunzi wake hata m1? Nataman kuona product yake ikojeWatoto watakosa vipindi,maskini wanafunzi wake mwalimu deo!
Ili mradi waonekane wamefanya kazi leo,mmnh hivi kuna anayemchukulia Deo serious???inaonyesha hao watendaji wa serikali walivyokosa kazi smh
PoleniKatutukana waislamu na mtume wetu
Akiamka analog in JF anamwaga yake ya moyoni, anatuacha tuselebule na uzi, mwenyewe anarudi siku nyingine tena na uzi mpya.Hao mapolisi wanatafuta kiki kupitia Deo.. hakuna lolote baya aliloandika.. zaidi ya hamu ya mwili wake kutenda yajulikanayo.
Haya wanaanza kushindana nani anajua kukamata watumia mitandao.
Kuna watu wanatukanana daily huko IG mbona hawakamatwi, labda wame mkamata Kwa kigezo cha kuwa mwalimu, wameona italeta shida Kwa wanafunzi wake kimaadili
Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Let's wait and see how the movie will endAmekuwa anaandika mengi kwa muda mrefu.. ila wanafunzi hao wanasoma mangapi ya wengine.. kama wanaweza ingia mitandaoni..
Yeye kusema hamu ya mwili sio tusi kabisaaaa. Hawa ni kiki tu.. maneno machafu wanayaona kila kukicha.. ma lezibi wale wawili na sheria ipo huko huko Mwanza kwa kideo kimeonekana wamewaachia huru.. kiki tu
Jomoooni.. watu wabayya[emoji13]Mtu kuandika hamu ya mwili wake nayo ni maneno machafu.. eeeeh au kuna mengine hamkutuhabarisha humu!!
Deo tunasubiri utoke uje utupe habari za huko wanapokupitisha.
Akiamka analogi in JF anamwaga yake ya moyoni, anatuacha tuselebule na uzi, mwenyewe anarudi siku nyingine tena na uzi mpya.
JF verified user[emoji818]️ with a special thread that is trendingAkapimwe akili kama nabii Tito inawezekana kuna nati zimelegea
Mepesi sana mkuu..naweza kumpa mtu password zangu,,nikiwa chini ya uangalizi wao yey aendelee kupost tu matusi..hapo kwa % kubwa wataaminUnafikiri mambo ni mepesi hivyo....
Kama humu huwa anatukana atakuwa ni yeye ila kama huwa hatukani atakuwa mwinginejeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutimia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi mazito kwa takriban wiki nzima.
hii taarifa nimona fb hivi ndo hyu hyu wa humu au ni ndg yake.
Huyu katutukana sana waislamu na kipenzi chetu mtume Muhammad SAW@Hance MtanashatiKamtukana nani
jeshi la Polisi mkoani Mwanza limemkamata Deogratius Kisandu ambaye ni mwalimu wa Shule ya Sekondari Mkolani kwa makosa ya kutumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuandika matusi
Mtuhumiwa huyo anadaiwa kutimia ukurasa wake wa Facebook kuandika matusi mazito kwa takriban wiki nzima.
hii taarifa nimona fb hivi ndo hyu hyu wa humu au ni ndg yake.
No. Hata polisi wakimwachia... Haitakiwi tume ya maadili imwachie huyo.
Atafukuzwa kazi kwa kukosa maadili. Alkuwa anafata kiki ameshapata. Hata akiacha huo ualimu....atapata kaz nyingine