incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
- Thread starter
-
- #41
Hata jina lako tu linaonesha huko sawa mkuu, nilieandika hapa ni mtu mwenye uzoefu wa majiji yote mawili kwa kuishi, ukiacha Dsm jiji linalofuta kwa ubora na uzuri kwa sasa Dodoma hii haina Ubishi mkuu Dom imejipanga hadi Ring road leo unataka kuifananisha na Jiji lenye nyumba zilizoezekwa na mawe asee??Naona unataka battle ya Mwanza na kijiji chenu cha Dodoma
Mkuu umeanza kamba....Haiwezekani Manispaa ya Ilemela izungukwe na Barabara za vumbi.
Majiji gani nchi hii yamepangilika?Weak point unataka kusema majiji yaliyopangilika vzur haina wahamiaji??
Hebu nitajie ni jiji gani lililopangiliwa hapa Tanzania hakuna kitu kinaitwa jiji au majiji ni vijiji vilivyochangamka tuWeak point unataka kusema majiji yaliyopangilika vzur haina wahamiaji??
Tena kamba za manilaMkuu umeanza kamba....
Tanzania hakuna kitu kinaitwa jiji au majiji ila kuna vijiji vilivyochangamka tuMajiji gani nchi hii yamepangilika?
Dodoma ni hovyo, mji gani umepangilika kwa viwanja vya 20x20 tena mjini? Nyumba za hovyo ziko hadi mjini?
jamaa muongo...kutoka town mpk buswelu...buswelu to sayona...pote lami...Tena kamba za manila
Mwanzoni mwa miaka ya 1990 Mwanza ilikuwa nzuri sana, lakini sijui kuna shetani gaqni aliwapitia wakati wa upanuzi uliofanyika miaka ya 2000 hadi 2020 kwani jiji lote liliharibika sana likawa lenye mbanano mbanano tu. Watu wanajenga vijumba vya hovyo popote pale wala hawachukuliwi hatua, bali wanaita eti upimaji shirikishi.Habari wakuu,
Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema kwel kwa Umri ule na kipindi kile kwa kuwa nilikuwa sielewi lolote kuhusu Jiji nilitokea kupapenda sana,
Kwa kuwa ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushuhudia Eneo lenye mpangilio wa makazi ya karibukaribu na changanyikeni ya watu nilipenda sana na niliamini Mjini kunapaswa kuwa namuonekano ule.
Ila baada ya kukaa na kubahatika kwenda Majiji mbalimbali ya Tanzania na baadae Kutia Nanga Dodoma na kuwa mkazi wa kudumu wa Jiji la Dodoma na kuzoea maandhari ya makazi ya watu na jinsi Jiji lilivyopangika,
Hakika jana baada ya kubahatika kupita Mwanza nilibaki kinywa wazi baada ya kuona majengo ya hovyo na vinyumba vya kizaman vilivyojengwa bila mpangilio maalumu kuonekana Maeneo ya Mjini kati tena makazi ya watu Duni na vinyumba vya hovyo sana.
Nilipita njia ya Kutoka Nyamongoro Stand mpya Mabus hadi Nyegezi Stend kuu ya mabasi Hakika mitaa niliyopita kwenye Gari ilikuwa inatisha kwa mwonekano, kuanzia Igoma, Nyakato, Buzuruga, Mabatini, Nata, Nyakabungo, Sahara, had Nyegezi ni vijumba vya hovyo sana vilivyoegeshwa pembeni ya mawe na kuezekwa kwa Bati kuukuu na Mawe Juu,
Hamna hata barabara za mitaa za kueleweka, na hakuna hata mpangilio wa makazi vinyumba vimekaa kutazama jirani anamwangalia Mwingine na choo cha jirani kipo mlangoni mwa Jrani kuna watu wanaishi Juu ya milima kiasi kwamba hata wamiliki wa maeneo yale hawana accessories ya kumiliki usafiri, Maana hawana njia za kupita,
Majengo ya kizaman yenye Bati za kizamani zilizojaa kutu na Kupambwa na vivyesi vya ndege, Aslimia kubwa ya Eneo ni majarubani wakazi na watu wote wanaokalia jiji wanaonekana ni watu hawana Nuru nyusoni mwao, Wanaonekana ni watu wenye maskitiko mda wote, asilimia kubwa ya Vijana wadogo wanaonekana ni watumiaji wa Mihadarati usela mavi na Usela Nya.
Kusema kweli nipongeze sana Dodoma ni Moja kati ya Majiji Bora yenye mpangilio wa mzuri wa makazi ya watu na hadhi ya kukalika na watu Kuanzia Mtumba, Ihumwa, Nzuguni, Swaswa, Kisasa, Meliwa, Ipagara, Area C, Area A, AreaD, Makulu, Ostabey, Mkalama, Mkonze, Ntuka, Nkuhungu, Mnada mpya hadi Nala, Dodoma haichoshi hata mgeni akizungushwa jiji halimchoshi anataman kuendelea kutaliii,
Changamoto Dodoma hakuna Refreshing Area za Maana kama Mwanza, ila katika upande wa Makazi Dodoma is the Best.
Nashangaa mtu anasema eti Dodoma imepangilika, Dodoma?Tanzania hakuna kitu kinaitwa jiji au majiji ila kuna vijiji vilivyochangamka tu
Mkuu ukwel unauma dodoma imepangilika tena sana ya unavyodhania wwNashangaa mtu anasema eti Dodoma imepangilika, Dodoma?
Hiyo dodoma yenyewe aijapangiliwa chochote kuna makosa ya kipumbavu sana kwenye mji wa dodoma mfano ni chuo cha dodoma kimejengwa bila eneo kuwekwa level kwanza hivyo kuna miinuko na mabonde majengo yamejengwa juu ya miinuko isiyo na sababu za msingi ...dodoma barabara vime buniwa zimepinda pinda hazipo nyuzi 90⁰ hata ujenzi wa majengo mapya ayajazingatia nyuzi 90⁰...kuna ufisadi mkubwa serikalini katika watu wanao fanya mipango mijiHabari wakuu,
Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema kwel kwa Umri ule na kipindi kile kwa kuwa nilikuwa sielewi lolote kuhusu Jiji nilitokea kupapenda sana,
Kwa kuwa ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushuhudia Eneo lenye mpangilio wa makazi ya karibukaribu na changanyikeni ya watu nilipenda sana na niliamini Mjini kunapaswa kuwa namuonekano ule.
Ila baada ya kukaa na kubahatika kwenda Majiji mbalimbali ya Tanzania na baadae Kutia Nanga Dodoma na kuwa mkazi wa kudumu wa Jiji la Dodoma na kuzoea maandhari ya makazi ya watu na jinsi Jiji lilivyopangika,
Hakika jana baada ya kubahatika kupita Mwanza nilibaki kinywa wazi baada ya kuona majengo ya hovyo na vinyumba vya kizaman vilivyojengwa bila mpangilio maalumu kuonekana Maeneo ya Mjini kati tena makazi ya watu Duni na vinyumba vya hovyo sana.
Nilipita njia ya Kutoka Nyamongoro Stand mpya Mabus hadi Nyegezi Stend kuu ya mabasi Hakika mitaa niliyopita kwenye Gari ilikuwa inatisha kwa mwonekano, kuanzia Igoma, Nyakato, Buzuruga, Mabatini, Nata, Nyakabungo, Sahara, had Nyegezi ni vijumba vya hovyo sana vilivyoegeshwa pembeni ya mawe na kuezekwa kwa Bati kuukuu na Mawe Juu,
Hamna hata barabara za mitaa za kueleweka, na hakuna hata mpangilio wa makazi vinyumba vimekaa kutazama jirani anamwangalia Mwingine na choo cha jirani kipo mlangoni mwa Jrani kuna watu wanaishi Juu ya milima kiasi kwamba hata wamiliki wa maeneo yale hawana accessories ya kumiliki usafiri, Maana hawana njia za kupita,
Majengo ya kizaman yenye Bati za kizamani zilizojaa kutu na Kupambwa na vivyesi vya ndege, Aslimia kubwa ya Eneo ni majarubani wakazi na watu wote wanaokalia jiji wanaonekana ni watu hawana Nuru nyusoni mwao, Wanaonekana ni watu wenye maskitiko mda wote, asilimia kubwa ya Vijana wadogo wanaonekana ni watumiaji wa Mihadarati usela mavi na Usela Nya.
Kusema kweli nipongeze sana Dodoma ni Moja kati ya Majiji Bora yenye mpangilio wa mzuri wa makazi ya watu na hadhi ya kukalika na watu Kuanzia Mtumba, Ihumwa, Nzuguni, Swaswa, Kisasa, Meliwa, Ipagara, Area C, Area A, AreaD, Makulu, Ostabey, Mkalama, Mkonze, Ntuka, Nkuhungu, Mnada mpya hadi Nala, Dodoma haichoshi hata mgeni akizungushwa jiji halimchoshi anataman kuendelea kutaliii,
Changamoto Dodoma hakuna Refreshing Area za Maana kama Mwanza, ila katika upande wa Makazi Dodoma is the Best.
Nimeshangaa kwa mwanza kunyooshewa vidole na hawa madogoHiyo dodoma yenyewe aijapangiliwa chochote kuna makosa ya kipumbavu sana kwenye mji wa dodoma mfano ni chuo cha dodoma kimejengwa bila eneo kuwekwa level kwanza hivyo kuna miinuko na mabonde majengo yamejengwa juu ya miinuko isiyo na sababu za msingi ...dodoma barabara vime buniwa zimepinda pinda hazipo nyuzi 90⁰ hata ujenzi wa majengo mapya ayajazingatia nyuzi 90⁰...kuna ufisadi mkubwa serikalini katika watu wanao fanya mipango miji
Uzuri wa Dodoma upo kwenye nini? Kila jiji lina sehemu za makazi duni yaan slums, kwa Mwanza nje ya igogo kuna slum sehemu gani? Unajua gharama za kujenga nyumba kwenye hills na rocks, ningekuwa nabishana na mtu mwenye kuijua mwanza hapo sawa lakini wewe umejawa na chuki na upumbavu pamoja na wivu uliokithiri, hakuna jiji lenye mvuto hapa EA na central Africa kama jiji la MwanzaHata jina lako tu linaonesha huko sawa mkuu, nilieandika hapa ni mtu mwenye uzoefu wa majiji yote mawili kwa kuishi, ukiacha Dsm jiji linalofuta kwa ubora na uzuri kwa sasa Dodoma hii haina Ubishi mkuu Dom imejipanga hadi Ring road leo unataka kuifananisha na Jiji lenye nyumba zilizoezekwa na mawe asee??
Ukweli gani, Dodoma ipi hiyo?Mkuu ukwel unauma dodoma imepangilika tena sana ya unavyodhania ww
Tembea uone kijana siku ukifika,Mkuu ukwel unauma dodoma imepangilika tena sana ya unavyodhania ww
Naona umeamua kuhukumu mwanza ulioinaHabari wakuu,
Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema kwel kwa Umri ule na kipindi kile kwa kuwa nilikuwa sielewi lolote kuhusu Jiji nilitokea kupapenda sana,
Kwa kuwa ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushuhudia Eneo lenye mpangilio wa makazi ya karibukaribu na changanyikeni ya watu nilipenda sana na niliamini Mjini kunapaswa kuwa namuonekano ule.
Ila baada ya kukaa na kubahatika kwenda Majiji mbalimbali ya Tanzania na baadae Kutia Nanga Dodoma na kuwa mkazi wa kudumu wa Jiji la Dodoma na kuzoea maandhari ya makazi ya watu na jinsi Jiji lilivyopangika,
Hakika jana baada ya kubahatika kupita Mwanza nilibaki kinywa wazi baada ya kuona majengo ya hovyo na vinyumba vya kizaman vilivyojengwa bila mpangilio maalumu kuonekana Maeneo ya Mjini kati tena makazi ya watu Duni na vinyumba vya hovyo sana.
Nilipita njia ya Kutoka Nyamongoro Stand mpya Mabus hadi Nyegezi Stend kuu ya mabasi Hakika mitaa niliyopita kwenye Gari ilikuwa inatisha kwa mwonekano, kuanzia Igoma, Nyakato, Buzuruga, Mabatini, Nata, Nyakabungo, Sahara, had Nyegezi ni vijumba vya hovyo sana vilivyoegeshwa pembeni ya mawe na kuezekwa kwa Bati kuukuu na Mawe Juu,
Hamna hata barabara za mitaa za kueleweka, na hakuna hata mpangilio wa makazi vinyumba vimekaa kutazama jirani anamwangalia Mwingine na choo cha jirani kipo mlangoni mwa Jrani kuna watu wanaishi Juu ya milima kiasi kwamba hata wamiliki wa maeneo yale hawana accessories ya kumiliki usafiri, Maana hawana njia za kupita,
Majengo ya kizaman yenye Bati za kizamani zilizojaa kutu na Kupambwa na vivyesi vya ndege, Aslimia kubwa ya Eneo ni majarubani wakazi na watu wote wanaokalia jiji wanaonekana ni watu hawana Nuru nyusoni mwao, Wanaonekana ni watu wenye maskitiko mda wote, asilimia kubwa ya Vijana wadogo wanaonekana ni watumiaji wa Mihadarati usela mavi na Usela Nya.
Kusema kweli nipongeze sana Dodoma ni Moja kati ya Majiji Bora yenye mpangilio wa mzuri wa makazi ya watu na hadhi ya kukalika na watu Kuanzia Mtumba, Ihumwa, Nzuguni, Swaswa, Kisasa, Meliwa, Ipagara, Area C, Area A, AreaD, Makulu, Ostabey, Mkalama, Mkonze, Ntuka, Nkuhungu, Mnada mpya hadi Nala, Dodoma haichoshi hata mgeni akizungushwa jiji halimchoshi anataman kuendelea kutaliii,
Changamoto Dodoma hakuna Refreshing Area za Maana kama Mwanza, ila katika upande wa Makazi Dodoma is the Best.