Maendeleo yote yapo na watu wamejenga na wana magari wanapita kwenda makwao barabara ndio mbovu yaan ni vumbi tupu ,imagine weny bajaji wameshagomea kwenda huko sababu ya barabara kuna vi hiace vle vpanya ndio vnaenda na vinaishia Machinjion havifk KAKEBE ,MAHINA na MANDU mnashuka kuanza kutafuta boda hiyo fedhaha kwa Mwanza moreOver barabara kuanzia NATA ,MABATINI, BUZURUGA, NATIONAL, MWATEX ,NDAMA, IGOMA, NYAMHONGOLO had KISESA hakuna taa.
Ukirudi upande wa pili huko kuanzia Usagara ni vurugu tu za Magari barabara finyu na mbovu kuwahi kutokea ,imagine barabara kuu kuingia mjini ni mbovu vle na barabara bdo hamna taa, barabara Zote za mkato BUHONGWA to IGOMA ndio nliona wanaparaza huo mwezi wa 4 wanatak kutia lami, kwhyo Mwanza kwenye miundombinu kwakwel imesuswa sana ila inaenda hvohvo mji unapanuka kila siku kwa matumain ipo siku gvt watatia lami kwenye hzo barabara.