Mwanza: Jiji lenye wakazi Duni na mpangilio wa ovyo wa makazi Tanzania

Mwanza: Jiji lenye wakazi Duni na mpangilio wa ovyo wa makazi Tanzania

Uzuri wa Dodoma upo kwenye nini? Kila jiji lina sehemu za makazi duni yaan slums, kwa Mwanza nje ya igogo kuna slum sehemu gani? Unajua gharama za kujenga nyumba kwenye hills na rocks, ningekuwa nabishana na mtu mwenye kuijua mwanza hapo sawa lakini wewe umejawa na chuki na upumbavu pamoja na wivu uliokithiri, hakuna jiji lenye mvuto hapa EA na central Africa kama jiji la Mwanza
Acha mahaba kijana wengine mwanza ndiyo nyumbani mpaka kesho, in short mwanza dar arusha mbeya tanga Dodoma, hazina hadhi ya kuitwa jiji au majiji ila kuna vijiji vilivyochangamka tu
Nasema hivyo baada ya kutoka nje ya Africa
 
👇👇👇.
Screenshot_20240214-202059_1707931385830.jpg
 
Pale omba omba wa kigogo anapojitutumua kukasifia kamji kake ka dodoma baada ya kujengwa vighorofa viwili vitatu!! Umeandika ushuzi sana na chuki dhidi ya mwanza zitakuua mtoto wa kike
 
Uzuri wa Dodoma upo kwenye nini? Kila jiji lina sehemu za makazi duni yaan slums, kwa Mwanza nje ya igogo kuna slum sehemu gani? Unajua gharama za kujenga nyumba kwenye hills na rocks, ningekuwa nabishana na mtu mwenye kuijua mwanza hapo sawa lakini wewe umejawa na chuki na upumbavu pamoja na wivu uliokithiri, hakuna jiji lenye mvuto hapa EA na central Africa kama jiji la Mwanza
Mabatini igogo igoma nyakato sokoni, kangaye kitangiri bugharika mahina njoo huku temeke nyambiti
Huko kote ni makazi yasiyokuwa na master plan ya mpango miji
 
Mabatini igogo igoma nyakato sokoni, kangaye kitangiri bugharika mahina njoo huku temeke nyambiti
Huko kote ni makazi yasiyokuwa na master plan ya mpango miji
Nitajie mkoa ambalo eneo loote la mkoa Kuna masterplan ya mipango miji, maana hata huko unapopasifia sehemu za kipuuzi ziko nyingi sana, ni udhaifu na upuuzi mkubwa kulinganisha sehemu kama Mwanza na Dodoma, yaani mji ambao bila serikali kumwaga pesa zake zooote hapo ufananishe na mji Ambao unajikuza wenyewe?, ni sawa na katoro au kahama inakimbia Kwa Kasi bila ya serikali kufanya juhudi zikue.
 
Mwanzoni mwa miaka ya 1990 Mwanza ilikuwa nzuri sana, lakini sijui kuna shetani gaqni aliwapitia wakati wa upanuzi uliofanyika miaka ya 2000 hadi 2020 kwani jiji lote liliharibika sana likawa lenye mbanano mbanano tu. Watu wanajenga vijumba vya hovyo popote pale wala hawachukuliwi hatua, bali wanaita eti upimaji shirikishi.
Nyumba za mabatini, bugarika, Ghana zipo tokea miaka ya 80's
 
Mabatini igogo igoma nyakato sokoni, kangaye kitangiri bugharika mahina njoo huku temeke nyambiti
Huko kote ni makazi yasiyokuwa na master plan ya mpango miji
Huwa si reply coment za vilaza kama nyie lakini ngoja nikujibu, unaijua geographical location ya hayo maeneo? Sehemu kubwa ya jiji la Mwanza ni miamba pia ni milima unataka huko wajengo ma bangalow kwwnye mstari ulionyooka, au mpangilio wa mji nini? Ulishaona miji kama Busan, miji y scandinavia ilivyo n.k

Kwa Tanzania hii narudia tena hakuna mkoa au mji wenye mansions za kutisha kama Mwanza.
 
Acha vichekesho,Kasi ya Ukuaji wa Jiji la Dodoma unaweza linganisha na Mwanza is uswazi City?

Dodoma kunajengwa zaidi ya magorofa 100 Kwa mwaka,Mwanza hata 10 hakuna 🤣🤣
Budder unaongea na haupo Dodoma, Man I'm living in Dodoma kama haujui sasa 😅 au unafikiri mm npo Mwanza si ndio 😁 khs Dodoma iko hv majengo ya ghorofa yote yanajengwa na gvt hvo bas siku gvt ikitosha kujenga hzo ghorofa ambazo ndio zinafanya sshv muishobokee Dodoma itasimama nywiiiiih!!! Unlike Mwanza yani Since day one no gvt support and it keeps battling with the cities whom the gvt put much on them, wewe huogopi!? Dodoma hii ambayo serikali watatumia nguvu kulazimisha watu waishi ndio unaongelea!? 😅😅 Mwanza might be a slum but is there a city in Tz with no slums!? Jiji zenu zote ni slums mazeeh 🤪 kwa Dodoma afadhali kdg Makulu kwingne kotee ni slums tupu sa watayasema nn weyee, Just calm down usitake kushindanisha vimji vinavyopambaniwa na Jiji linalojipambania utabaki kuumia tu ,na msiombe ile Mwanza ikuje kuwekewa barabara za mtaa kwa kiwaki stahiki Mtalia sana.
 
Budder unaongea na haupo Dodoma, Man I'm living in Dodoma kama haujui sasa 😅 au unafikiri mm npo Mwanza si ndio 😁 khs Dodoma iko hv majengo ya ghorofa yote yanajengwa na gvt hvo bas siku gvt ikitosha kujenga hzo ghorofa ambazo ndio zinafanya sshv muishobokee Dodoma itasimama nywiiiiih!!! Unlike Mwanza yani Since day one no gvt support and it keeps battling with the cities whom the gvt put much on them, wewe huogopi!? Dodoma hii ambayo serikali watatumia nguvu kulazimisha watu waishi ndio unaongelea!? 😅😅 Mwanza might be a slum but is there a city in Tz with no slums!? Jiji zenu zote ni slums mazeeh 🤪 kwa Dodoma afadhali kdg Makulu kwingne kotee ni slums tupu sa watayasema nn weyee, Just calm down usitake kushindanisha vimji vinavyopambaniwa na Jiji linalojipambania utabaki kuumia tu ,na msiombe ile Mwanza ikuje kuwekewa barabara za mtaa kwa kiwaki stahiki Mtalia sana.
Umemaliza kila kitu, soon usagara inaenda kuungana na buhongwa na kisesa, ni mijumba tu watch wanashusha, inaonesha kipato Cha Mtu mmoja mmoja ni nzuri, natoa mfano wa kahama na katoro, wale wasukuma wameujenga mji na kukua wenyewe bila msaada wowote wa serikali, kipato Cha Mtu mmoja mmoja kahama ni mkubwa kuliko Dodoma.
 
Dom baada ya miaka 10 ijayo hata dsm itaisubiri, jamaa anataka kulinganisha dom na uchafu,,, mwanza hata kufkia hadhi ya mtaa mmoja wa michese tu bado ikasome,
Dodoma hii kumejengwa hadi barabara na hakuna magari imagine wakati Mwanza watu wanataka barabara zijengwe watu wapumue, Uhundini ambayo ilkuwa mitaa ya kishua Dodoma ni kama mtaa wa Mahina tu pale Mwanza afu unataka kusema mzee, wewe weka battle na Kahama, Moro, Moshi au hata Tunduma tutachangia uzi 😆
 
Dodoma hii kumejengwa hadi barabara na hakuna magari imagine wakati Mwanza watu wanataka barabara zijengwe watu wapumue, Uhundini ambayo ilkuwa mitaa ya kishua Dodoma ni kama mtaa wa Mahina tu pale Mwanza afu unataka kusema mzee, wewe weka battle na Kahama, Moro, Moshi au hata Tunduma tutachangia uzi 😆
Hii battle nimeupenda

Payge badirisha title Andika
"DODOMA CITY Vs MWANZA CITY"

Tuone nani Mandonga
 
Umemaliza kila kitu, soon usagara inaenda kuungana na buhongwa na kisesa, ni mijumba tu watch wanashusha, inaonesha kipato Cha Mtu mmoja mmoja ni nzuri, natoa mfano wa kahama na katoro, wale wasukuma wameujenga mji na kukua wenyewe bila msaada wowote wa serikali, kipato Cha Mtu mmoja mmoja kahama ni mkubwa kuliko Dodoma.
Hawa wajomba kinachowauma ni kuona Mwanza is just moving forward each day, yani wanaongea hulu nafsi zao zinawasuta, I beg Mwanza kuwekwa serikali za mitaa tu bas hawataka kulinganisha na miji inayosifiwa kwa sababu inabarabara za mtaa zenye kiwango cha lami, I guess unapapata machinjioni Kule wakiweka tarmac roads aah ni amsha pote hadi Mahina, Igoma ,Mhandu imagine.
 
Back
Top Bottom