Mwanza: Jiji lenye wakazi Duni na mpangilio wa ovyo wa makazi Tanzania

Mwanza: Jiji lenye wakazi Duni na mpangilio wa ovyo wa makazi Tanzania

Dodoma Bado Kuna shida ya Maji na Serikali inajua Hilo na inafanya utaratibu wa mda mfupi na mda mrefu.

Mda mfupi ndio Hilo la kuchimba visima na kutumia kiasi Fulani Cha maji ya bwawa la mtera.

Suluhisho la mda mrefu Serikali italeta maji ya Ziwa Viktoria na pia inajenga bwawa kubwa la Farkwa na eneo oevi la swaswa huko Chemba na kazi inaendelea.

Sema hivi huo utekelezwaji Hadi kukamilika hesabuni 2030 ,wakiwahi sana 2028.
Okay sawa Mkuu kwa hio kumbe kuna Miradi ya Maji tayari ipo kwenye mpango kazi mpaka kufikia 2030 kero ya Maji itakua imekwisha Dodoma nzima si ndio mkuu? Au ndio maelezo ya kwenye Makaratasi tu?
 
Okay sawa Mkuu kwa hio kumbe kuna Miradi ya Maji tayari ipo kwenye mpango kazi mpaka kufikia 2030 kero ya Maji itakua imekwisha Dodoma nzima si ndio mkuu? Au ndio maelezo ya kwenye Makaratasi tu?
Kazi zilishaanza utekelezwaji,hususani bwawa la Farkwa.,Mradi wenyewe wa takribani Bilioni 300 sio pesa ndogo ,uta solve shida yote ya maji Dom Kwa miaka Mingi zaidi.

Maji ya Ziwa Viktoria Kwa sehemu kubwa yataletwa Kwa Ajili ya Kilimo Cha Umwagiliaji.👇👇

View: https://youtu.be/4Nvp--wOsIU?si=X7Bl1nVnOkZasKGU

By 2030 sitarajii kama Kuna sehemu yeyote ya Tanzania itakuwa na shida ya Maji maana Kuna mamiradi makubwa yanaendelea Kila pande ya Nchi.👇👇

View: https://youtu.be/HoF9vzGAleA?si=0p5kaLTx5hzrZp19
 
Kazi zilishaanza utekelezwaji,hususani bwawa la Farkwa.,Mradi wenyewe wa takribani Bilioni 300 sio pesa ndogo ,uta solve shida yote ya maji Dom Kwa miaka Mingi zaidi.

Maji ya Ziwa Viktoria Kwa sehemu kubwa yataletwa Kwa Ajili ya Kilimo Cha Umwagiliaji.👇👇

View: https://youtu.be/4Nvp--wOsIU?si=X7Bl1nVnOkZasKGU

By 2030 sitarajii kama Kuna sehemu yeyote ya Tanzania itakuwa na shida ya Maji maana Kuna mamiradi makubwa yanaendelea Kila pande ya Nchi.👇👇

View: https://youtu.be/HoF9vzGAleA?si=0p5kaLTx5hzrZp19

Hapo sasa nimekuelewa vizuri Mkuu
 
Kweli hapa Mkuu umesema kwa maumivu makalio sana maana barabara Ina msaada mkubwa sana kwa Wananchi sasa kunapokua na barabara mbovu au barabara isiyoleta Msaada kwao inakua changamoto sana mfano kuna wagonjwa, wamama wajawazito, nk sasa kukiwa na barabara mbovu hivyo ni changamoto sana ukiondoa watu wengine Ila kwa watu wenye hizo changamoto ni changamoto nyingine
Ndio iko hvo mkuu ila vitu kama hivyo ni uzembe tu kwa serikali yetu.
 
Unapachukia Kwa sababu zipi za msingi?
Ningekuwa napachukia ningeondoka hata leo ila siwez kupaisha upumbavu mm ,imagine nianze kujipa moyo huku najua kbs npo uswekeni mji huu sio wakulingnishiwa Mwanza km uko elite, ww mwenye chuki na RockCity ndio ujipange kuumia tu.
 
Ningekuwa napachukia ningeondoka hata leo ila siwez kupaisha upumbavu mm ,imagine nianze kujipa moyo huku najua kbs npo uswekeni mji huu sio wakulingnishiwa Mwanza km uko elite, ww mwenye chuki na RockCity ndio ujipange kuumia tu.
Mwanza ni uswazi hauna hadhi ya Jiji.
 
Sasa mtoa mada ameeleza hapo Juu ubovu na uhovyo wa Mwanza,nikajua mfano wa kigezo Kimoja Cha makazi wewe unabisha.

Sema basi kigezo Cha Jiji kuwa Bora ni nini labda? Maana huko Fishing town ya Mwanza kilakitu ni Cha hovyo.
Yah kila kitu RockCity kinaweza kuwa hovyo but is there a city in Tz ambayo haiko hovyo!? Mwanza iwe hovyo whatever but huwezi et kulingnisha with this, desert and dust town called Dodoma unless uwe hauna akili timamu, kitu cha kufanya nenda uswekeni kama, Njombe ,Mbeya ,Katoro ,Chattle ,Babati ndio ukawadanganye hvo kwa elite one hapana utajisumbua tu.
 
Kama Ihumwa yangu yenye paa za kijani pamepangika kuliko Mwanza jiji hakika Mwanza ni pa hovyo sana.

Karibuni Ihumwa wadau
 
Mwanza ni uswazi hauna hadhi ya Jiji.
Basi kama Mwanza haina hadhi ya Jiji that means hauna Jiji nchini mwako ,ispokuwa Mwanza Jiji unategemea ni mji gani uwe city sasa!? Only Dsm right 😁 nyie kna Dodoma, Mbeya, Arusha, Level zenu ni Morogoro, Moshi ,Kahama tena hiyo Mbeya ikae na kna Katavi na Njombe na Bukoba.
 
Habari wakuu,

Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema kwel kwa Umri ule na kipindi kile kwa kuwa nilikuwa sielewi lolote kuhusu Jiji nilitokea kupapenda sana,

Kwa kuwa ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushuhudia Eneo lenye mpangilio wa makazi ya karibukaribu na changanyikeni ya watu nilipenda sana na niliamini Mjini kunapaswa kuwa namuonekano ule.

Ila baada ya kukaa na kubahatika kwenda Majiji mbalimbali ya Tanzania na baadae Kutia Nanga Dodoma na kuwa mkazi wa kudumu wa Jiji la Dodoma na kuzoea maandhari ya makazi ya watu na jinsi Jiji lilivyopangika,

Hakika jana baada ya kubahatika kupita Mwanza nilibaki kinywa wazi baada ya kuona majengo ya hovyo na vinyumba vya kizaman vilivyojengwa bila mpangilio maalumu kuonekana Maeneo ya Mjini kati tena makazi ya watu Duni na vinyumba vya hovyo sana.

Nilipita njia ya Kutoka Nyamongoro Stand mpya Mabus hadi Nyegezi Stend kuu ya mabasi Hakika mitaa niliyopita kwenye Gari ilikuwa inatisha kwa mwonekano, kuanzia Igoma, Nyakato, Buzuruga, Mabatini, Nata, Nyakabungo, Sahara, had Nyegezi ni vijumba vya hovyo sana vilivyoegeshwa pembeni ya mawe na kuezekwa kwa Bati kuukuu na Mawe Juu,

Hamna hata barabara za mitaa za kueleweka, na hakuna hata mpangilio wa makazi vinyumba vimekaa kutazama jirani anamwangalia Mwingine na choo cha jirani kipo mlangoni mwa Jrani kuna watu wanaishi Juu ya milima kiasi kwamba hata wamiliki wa maeneo yale hawana accessories ya kumiliki usafiri, Maana hawana njia za kupita,

Majengo ya kizaman yenye Bati za kizamani zilizojaa kutu na Kupambwa na vivyesi vya ndege, Aslimia kubwa ya Eneo ni majarubani wakazi na watu wote wanaokalia jiji wanaonekana ni watu hawana Nuru nyusoni mwao, Wanaonekana ni watu wenye maskitiko mda wote, asilimia kubwa ya Vijana wadogo wanaonekana ni watumiaji wa Mihadarati usela mavi na Usela Nya.

Kusema kweli nipongeze sana Dodoma ni Moja kati ya Majiji Bora yenye mpangilio wa mzuri wa makazi ya watu na hadhi ya kukalika na watu Kuanzia Mtumba, Ihumwa, Nzuguni, Swaswa, Kisasa, Meliwa, Ipagara, Area C, Area A, AreaD, Makulu, Ostabey, Mkalama, Mkonze, Ntuka, Nkuhungu, Mnada mpya hadi Nala, Dodoma haichoshi hata mgeni akizungushwa jiji halimchoshi anataman kuendelea kutaliii,

Changamoto Dodoma hakuna Refreshing Area za Maana kama Mwanza, ila katika upande wa Makazi Dodoma is the Best.
Hujatuambia wewe ni mzaliwa wa wapi, mkoa gani?
Tuanzie japo Kwanza.
 
Basi kama Mwanza haina hadhi ya Jiji that means hauna Jiji nchini mwako ,ispokuwa Mwanza Jiji unategemea ni mji gani uwe city sasa!? Only Dsm right 😁 nyie kna Dodoma, Mbeya, Arusha, Level zenu ni Morogoro, Moshi ,Kahama tena hiyo Mbeya ikae na kna Katavi na Njombe na Bukoba.
Jiji
Dar
Dom
Arusha
 
Kama Ihumwa yangu yenye paa za kijani pamepangika kuliko Mwanza jiji hakika Mwanza ni pa hovyo sana.

Karibuni Ihumwa wadau
Ihumwa hii iliyojengwa upande mmoja wa barabara na kwingine ni eneo la Jeshi !? Me nlkuwa naishi Samaki Samaki kule nmehamia Makulu tangu mwez wa pili.

Nkuulze kwanza unaijua Geography!? Unaijua Rio de Janeiro!?

Elimu zenu za kupatia JF ndio tatzo, Mwanza ni Jiji la miamba yani milima, Dodoma ni tambalare, kwhyo ulkuwa unategemea Mwanza itakuwa na muonekano km Dodoma!? Isome kwanza jiografia ya mji ndio uongee mzee ,lile Jiji lingekuwa na mataifa makubwa lingekuwa moja ya Jiji zuri san Africa hii, take that.
 
Jiji
Dar
Dom
Arusha
Kwa mujibu wa watu wa uswekeni right 😅 nenda na Google ukabadilishe ety Arusha, Dodoma man be serious bas 😆

Natamani ingekuwa tuna majiji matatu nchi hii ambayo ndio atleast
Dar es Salaam
Mwanza
Arusha
Hao wengine warudishwe huko nyuma.

Mwanza ni Jiji linalondwa na Manispaa 2 ,Arusha 1 Dodoma 1.

That's means kama Shinyanga ingekuwa Karibu na Kahama leo hii ingekuwa ni Jiji la 3 kuzd hzo Arusha na Dodoma sababu Shy iko na Manispaa ya Shy na Kahama.

So ashamed with yuh mzee😅😅
RockCity iheshimiwe aseeh 🤩😆
 
Back
Top Bottom