Ulichozungumza wameshazungumza wenzio na wamejibiwa Dodoma ina wigo mpana sana wa barabara za kiwango cha lami hilo halina ubishi kiasi kuna barabara hazina magari yanayopit, unlike kwa Mwanza barabara zote hata mbovu ni zina magari na yanapita hyo inamaanisha Mwanza inauhtaji mkubwa sana wa barabara za lami ila inapuuziwa.
Let's say barabara za Mwanza ziwekwe km za Dodoma, kuna watu mtajinyonga aseeh 😅
Moreover, Mwanza ni kubwa na pana kias hata sehemu zisizo na tarmac roads ni zimechangamka kuzd sehemu za Dodoma zilizo na lami.
Hapa sasa ni wanaopambaniwa na serikali vs wanaojipambania 😁 na hapo sasa siku serikali iktosha kujenga hzi nyumba zao na wakaona wamemaliza kuweka lami vibarabara vyenu ndio mtasimamia hapo hapo unlike Mwanza😁 soon kunakuwa na Manispaa 3 nyie ni Manispaa 1 hebu peleka uchafu hko mzee 😁