tutunfyekyela
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 473
- 781
ππππ ngosha hajui chohote yeye anajua maghorofa tuNaona akina mwakaleli na mangosha mko kwny ligi[emoji848] yangu macho[emoji41]
Yaani unaijua mwanza hadi raha ,,usimlazimishe aelewe ,yeye akomae na kijiji chake ..af mazoea yamezidi sasa ,, tulianza na Arusha ,hadi akatulia mwenyw ,,ikaja Dodoma juzi hapa mazoea kibao ,,sa hv kijiji cha mbeya kimeanza mazoea na wakubwa ... ifike wakati tusibishane nao wanatuenjoy tuKichwa chako ni kibovu ila leo kitapona[emoji1] mm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..
Hizo highway unazojiongelea wewe zinapakana na haya maeneo mfano barabara ya kenyatta imepita kwenye haya maeneo buhongwa,mkolani,nyegezi,hohari,mkuyuni,mwanza South(pepsi&voil) hadi mjini kati..
swali watu wanaoishi butimba,nganza,mnangani,sweya,luchelele nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya nyerere[emoji2] ni kisesa,kanyama,nyamhongoro,igoma(malamala&ndama)nyakato(kijereshi,mwatex,national,sokoni,buzuruga,mabatini(sinai,darajani,mlango mmoja) nata hadi mji kati
Swali watu wanaoishi...
Bugando,bugarika,igelegele,wazimu,minazi mitatu,Bandera tatu,buzwagi,mahina,mwananchi,nyasaka,mecco,kaangae,busweru,maduka tisa, nk wanatumia barabara gani?
Barabara ya makongoro/airport ni
Airport penyewe,kanisani,radio free,sabasaba,iloganzara,pansiasi,seremala,kona ya bwiru,ghana,furahisha,mission,nera hadi mjini kati
Swali[emoji2] watu wanaoishi.....
Mwaloni,magomeni,kirumba,ibanda,kitangiri,mihama,bwiru,jiwe kuu,mji wema,isamilo,kilimahewa,kiloleli, na na na na na na. wanatumia barabara gani[emoji3]
Rudi kwa huyo aliokwambia jiji la mwanza Lina barabara tatu tu kakudanganya.. mda mwingine muwe mnatuuliza wenyeji tunawapa ramani sio mnarukaruka hovyo hovyo tu.... bye
UKIPOTOSHA NITARUDI KUWEKA MAMBO SAWA by NGOSHA WA MBASA[emoji378]
Tuondolee utopolo huu
Ngosha mwingine umejitokezaTuondolee utopolo huu
Tulia wewe msafw wa milimani hukoNgosha mwingine umejitokeza
Wewe umekuja na hizi picha za ajabu,mwenzako nilimuuliza ataje highway za mwanza akaishia kusema ambazo ni mitaa wewe umekuja na hizi picha unataka nilinganishe na nini mbeyaSiku mkiwa na mandhari kama haya ndio mje tubishane ila kwa sasa watafuteni Morogoro ,na moshi maana hata Dodoma hamuiwezi...View attachment 2265109View attachment 2265111
unauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuuWewe umekuja na hizi picha za ajabu,mwenzako nilimuuliza ataje highway za mwanza akaishia kusema ambazo ni mitaa wewe umekuja na hizi picha unataka nilinganishe na nini mbeya
Nitajie za huko mbeyaunauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila
Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache
Hii map japo ya zamani ,ila itakupa picha kidogo ...unauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila
Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache