Mwanza kutamu asikwambie mtu

Mwanza kutamu asikwambie mtu

Kichwa chako ni kibovu ila leo kitapona[emoji1] mm kazi yangu ni kukutoa ujinga tu..

Hizo highway unazojiongelea wewe zinapakana na haya maeneo mfano barabara ya kenyatta imepita kwenye haya maeneo buhongwa,mkolani,nyegezi,hohari,mkuyuni,mwanza South(pepsi&voil) hadi mjini kati..

swali watu wanaoishi butimba,nganza,mnangani,sweya,luchelele nk wanatumia barabara gani?

Barabara ya nyerere[emoji2] ni kisesa,kanyama,nyamhongoro,igoma(malamala&ndama)nyakato(kijereshi,mwatex,national,sokoni,buzuruga,mabatini(sinai,darajani,mlango mmoja) nata hadi mji kati

Swali watu wanaoishi...
Bugando,bugarika,igelegele,wazimu,minazi mitatu,Bandera tatu,buzwagi,mahina,mwananchi,nyasaka,mecco,kaangae,busweru,maduka tisa, nk wanatumia barabara gani?


Barabara ya makongoro/airport ni
Airport penyewe,kanisani,radio free,sabasaba,iloganzara,pansiasi,seremala,kona ya bwiru,ghana,furahisha,mission,nera hadi mjini kati

Swali[emoji2] watu wanaoishi.....
Mwaloni,magomeni,kirumba,ibanda,kitangiri,mihama,bwiru,jiwe kuu,mji wema,isamilo,kilimahewa,kiloleli, na na na na na na. wanatumia barabara gani[emoji3]

Rudi kwa huyo aliokwambia jiji la mwanza Lina barabara tatu tu kakudanganya.. mda mwingine muwe mnatuuliza wenyeji tunawapa ramani sio mnarukaruka hovyo hovyo tu.... bye


UKIPOTOSHA NITARUDI KUWEKA MAMBO SAWA by NGOSHA WA MBASA[emoji378]
Yaani unaijua mwanza hadi raha ,,usimlazimishe aelewe ,yeye akomae na kijiji chake ..af mazoea yamezidi sasa ,, tulianza na Arusha ,hadi akatulia mwenyw ,,ikaja Dodoma juzi hapa mazoea kibao ,,sa hv kijiji cha mbeya kimeanza mazoea na wakubwa ... ifike wakati tusibishane nao wanatuenjoy tu
 
Siku mkiwa na mandhari kama haya ndio mje tubishane ila kwa sasa watafuteni Morogoro ,na moshi maana hata Dodoma hamuiwezi...
IMG_20220612_113627.jpg
IMG_20220615_223618.jpg
IMG_20220614_084719.jpg
 
Wewe umekuja na hizi picha za ajabu,mwenzako nilimuuliza ataje highway za mwanza akaishia kusema ambazo ni mitaa wewe umekuja na hizi picha unataka nilinganishe na nini mbeya
unauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila

Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache
 
unauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila

Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache
Nitajie za huko mbeya
 
unauliza highways amekutajia bado huelewi ,yaani barabara au maana ya highway wew unaelewa nini ,,,,,,ngoja nikufafanulie kidogo high way njia kuu
Makongoro avenue (km 10) four lanes
Musoma road (km 20 within city) 10 km being three lanes nata to Nyakato mwatex .10 km being two lanes ,mwatex to kisesa
shinyanga road (km 25 within city) two lanes
Sabasaba road (km 9) ni highway ya kwenda makao makuu ya wilaya ya ilemela
Pasiansi road (km 7) ni highway inayoenda nyasaka,maduka tisa na buzuruga stendi
Kisesa bypass (km 17) ni high way ya kwenda usagara bila kupita katikati ya mji
Nyakato to kahama (km 10) ni high way ya kwenda makao makuu ya wilaya ilemela , kupitia gedeli ,buswelu,kahama,ilalila

Wurzbug road (km 15 ) town to mahina via Bugando,bugarika,igelegele ,mahina kati.
Nimekutajia kwa uchache
Hii map japo ya zamani ,ila itakupa picha kidogo ...
images (14).jpg
 
Mwisho .ni game changer project inayoproposiwa miaka kadhaa ijayo
images (18).jpg
 
Back
Top Bottom