Mwanza kutamu asikwambie mtu

[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Hivi we ni kichaa au una tania?
Yaani unaifananisha Mwanza na Mbeya?
Kama ni ugoro za nyegezi stendi temana nazo vuta hata za kishiri dingiii,ushawahi kuja green city ww au unaona tu kwenye tv? Dingiii temana na hizo ugorooo
 
Ahsante kwa taarifa, ila kwangu sikuuona hivyo... kawaida sana...
 
Kama ni ugoro za nyegezi stendi temana nazo vuta hata za kishiri dingiii,ushawahi kuja green city ww au unaona tu kwenye tv? Dingiii temana na hizo ugorooo
Tako la mbwa wewe fala mpaka naongea hivi ni jana tu nilikuwa mbeya hamna kitu cha maana

Nimeenda mwailubi, nasoma, mbeya pazuri mpk city pub huwez fananisha hata kidogo na the cask hata nusu
 
Tako la mbwa wewe fala mpaka naongea hivi ni jana tu nilikuwa mbeya hamna kitu cha maana

Nimeenda mwailubi, nasoma, mbeya pazuri mpk city pub huwez fananisha hata kidogo na the cask hata nusu
Eti cask? Mdogo wangu kumbe ww bado sana,cask nae sehemu ya kuongelea kumbe bado hujafika mbeya ww,unazungumzia cask kweliiiiii
 
Next time ukifika mbeya nitafute njoo kwanza mpaka kyela zen nkupeleke mbeya mjini uone viwanja
Ntajie viwanja vitano vya maana mbeya

Unakaa kyela matema kijijini huko unataka kusimulia habari za mbeya eti kuna viwanja vya maana

Pambana na mafuriko huko ipinda kenge wewe! Yaani carnival na marafiki ndio viwanja? Kwel nmeamin aliesema wanyakyusa wa kyela hawana tofauti na wahaya
 
Hivi wewe umeona cask ndiyo kiwanja kweli,we chalii cask huo upuuzi gani! Hebu nitajie viwanja vingine tofauti na huo upuuzi wa cask?
 
dar inanuka kaharufu flani hivi amaizing kabaya😷
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…