Mwanza kutamu asikwambie mtu

Mwanza kutamu asikwambie mtu

Nimepita hapo olevel na chuo Malimbe ninapajua vizuri
Wewe kumbe hujui raha ya miji, raha ya miji utembelee maeneo classic sio kushinda shule. Sasa kwa hela ya chuo lile boom (500k kwa miezi miwili) unalijuaje jiji?

Hata anaekaa Dar hawezi kueleza uzuri wake ikiwa ataenda kushinda ndani au uswazi huko.
 
Wa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.
Hahahahà haya karibu Mwanza
 
Wewe kumbe hujui raha ya miji, raha ya miji utembelee maeneo classic sio kushinda shule. Sasa kwa hela ya chuo lile boom (500k kwa miezi miwili) unalijuaje jiji?

Hata anaekaa Dar hawezi kueleza uzuri wake ikiwa ataenda kushinda ndani au uswazi huko.
Mimi shemeji yanu ujue
 
Kenyatta road(Shinyanga road),Nyerere road(Musoma road) na Airport road hizo ndizo barabara za Mwanza
Achakua mjinga[emoji1] nyegezi to luchelele,pansiasi to kiloleni,kona ya bwiru to kitangiri,furahisha to bwiru via kitangiri,kitangiri to ibanda kumbuka hapa kuna keep left[emoji1],sabasaba to busweru,nyakato kijereshi to wilayani now wanajenga hadi kahama ilalila,nata to mahina via bugando,mkuyuni to butimba,buzuruga to nyasaka kiloleni,barabara ya elemela tunza Beach Malaika Beach hadi kona ya igombe[emoji1],kilimahewa to isamilo,lake hadi mji mwema,buzuruga to mwanachi,nyakato sokoni to machinjion [emoji3] nk..... kiongoz acha kua mjinga tembea uone
 
Dahh sijui nianzie wapi...ila naomba kwanza nianze kwa kuwasalimia.

Basi bwana ....
Nimegundua kwamba nilikuwa nakosa vingi kwa kutokupajua mwanza.....yani ukiondoa dar es salaam naweza kusema mkoa unaofwata kwa uzuri ni Mwanza...(ni maoni yangu). Najua mtasema Arusha. Arusha pia nimeishi ila kwakweli hapafikii Mwanza.

Kwanza ni pazuri...
Ni pasafi....
Pili hali ya hewa ni rafiki......
Starehe pia zipo kama zote...
Sema tu asee kama mfuko umetoboka usiende. Labda uwe na ndugu kwamba utaishi bure gharama yako iwe nauli tu na ugali wa shikamoo.

Wasukuma pia sio wachoyo sana.....ila nilichoshangaa mara nyingi nikipita mtaani naangaliwa sana(japo haikuwa mara zote).....halafu nilipokuwa naongea wananiita manka wakati me sio manka. Jamani wasukuma ina maana mtu ambaye anaongea tofauti na nyie ni manka?

Wadada na wamama wa kule wote wana shepu za maana na miguu ya bia...sikuona mwenye fito kule wala mwenye pasi ....so wale wazee wanaopenda ishu hizo patawafaa.

Nakushauri kama hupajui mwanza jitahidi ukatembee mwanza hutajutia pesa yako.
Dar ni mwisho na mkoa unaofuata ni ...
 
Achakua mjinga[emoji1] nyegezi to luchelele,pansiasi to kiloleni,kona ya bwiru to kitangiri,furahisha to bwiru via kitangiri,kitangiri to ibanda kumbuka hapa kuna keep left[emoji1],sabasaba to busweru,nyakato kijereshi to wilayani now wanajenga hadi kahama ilalila,nata to mahina via bugando,mkuyuni to butimba,buzuruga to nyasaka kiloleni,barabara ya elemela tunza Beach Malaika Beach hadi kona ya igombe[emoji1],kilimahewa to isamilo,lake hadi mji mwema,buzuruga to mwanachi,nyakato sokoni to machinjion [emoji3] nk..... kiongoz acha kua mjinga tembea uone
aidha utakuwa ni konda wa daladala ama afisa wa Tanroad🤣😂😂
 
aidha utakuwa ni konda wa daladala ama afisa wa Tanroad[emoji1787][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1] nmezaliwa mwanza elimu yangu ya chekechea hadi advance ni mwanza mwanza tu kwa sasa nipo dodoma

Nmezaliwa igoma ndama,nimekulia Ghana kona ya bwiru jirani na the dreams na Ms hoteli so chocho zote za mwanza mjini hakuna nisiyoifahamu [emoji1]


Na akitokea mtu kupotosha Uma ni lazima nimpe somo tukufu
 
Achakua mjinga[emoji1] nyegezi to luchelele,pansiasi to kiloleni,kona ya bwiru to kitangiri,furahisha to bwiru via kitangiri,kitangiri to ibanda kumbuka hapa kuna keep left[emoji1],sabasaba to busweru,nyakato kijereshi to wilayani now wanajenga hadi kahama ilalila,nata to mahina via bugando,mkuyuni to butimba,buzuruga to nyasaka kiloleni,barabara ya elemela tunza Beach Malaika Beach hadi kona ya igombe[emoji1],kilimahewa to isamilo,lake hadi mji mwema,buzuruga to mwanachi,nyakato sokoni to machinjion [emoji3] nk..... kiongoz acha kua mjinga tembea uone
Umemaliza
 
Sasa wewe unaongelea raha za dar utaje huko uswazi.

Kuna maeneo na maeneo.

Ni kama South Africa kulivyo ja features za kimasikini sana na za kitajiri sana..utamu unakuwa pale pale
Nlienda SA aisee nikinda kwenye malls mpaka shingo ilikuwa inauma, SA kuna chupi zimekwenda shule vibaya mno, kurud mjin ile natua kipawa yan wanawake nlikuwa nawaona wanamavichwa makubwa alafu sijui wapoje wapoje...
 
Achakua mjinga[emoji1] nyegezi to luchelele,pansiasi to kiloleni,kona ya bwiru to kitangiri,furahisha to bwiru via kitangiri,kitangiri to ibanda kumbuka hapa kuna keep left[emoji1],sabasaba to busweru,nyakato kijereshi to wilayani now wanajenga hadi kahama ilalila,nata to mahina via bugando,mkuyuni to butimba,buzuruga to nyasaka kiloleni,barabara ya elemela tunza Beach Malaika Beach hadi kona ya igombe[emoji1],kilimahewa to isamilo,lake hadi mji mwema,buzuruga to mwanachi,nyakato sokoni to machinjion [emoji3] nk..... kiongoz acha kua mjinga tembea uone
Hizo siyo barabara hiyo ni mitaa,ili ufike butimba lazima utumie kenyatta road ili ufike buzuruga lazima utumie nyerere road ili ufike tunza beach lazima itumie airport road,wewe unataja mitaa badala ya barabarana,kona ya bwiru kitangiri huo ni mtaa jombaa
 
Back
Top Bottom