econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwenye rufaa ndo DPP kachomoa
Fuatilia vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye rufaa ndo DPP kachomoa
Kwako wew roho yako inathaman ya hiyo hela!?Pesa inatafutwa kwamambo mengi haiwezekani uchukue pesa zangu alafu usumbue kurudisha kisa kuna sheria jamaa alifanya Jambo sahihi kwawakati sahihi
Mbona serakali haikati rufaa kama ikivyofanya kwa saambayaAmekata rufaa kaachiliwa.
Wajinga wanaanza ropoka kuwa rushwa
Kwenye rufaa ndo DPP kachomoa
Mbona serakali haikati rufaa kama ikivyofanya kwa saambaya
Kama mtu anahatarisha uhai wake apate pesa au anakufa kabisa kisa pesa hebu hitimisha Kati ya uhai napesa kipi kina thamaniKwako wew roho yako inathaman ya hiyo hela!?
Serikali au mtuhumiwa!?Rufaa ilishakatwa mwaka Jana.
Unahatarisha uhai ukijua kuna possibility ya kupona...Kama mtu anahatarisha uhai wake apate pesa au anakufa kabisa kisa pesa hebu hitimisha Kati ya uhai napesa kipi kina thamani
hebu tujuze tujue na tumhurumie j4, ila ukiishia kwenye mafumbo hivi, humsaidii rafiki yakoNimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.
Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.
Angeuwa mtoto wako ungeandika hivi wewe?Unajua scenario mpaka akaua hao watu?
Nimeuliza na jamaa mleta Uzi kisa kashasema kwamba aliuziwa madini ambayo ni less quality na hao jamaa ndo akawashoot wakati wakitaka pesa zaidi while mzigo ni makapi.hebu tujuze tujue na tumhurumie j4, ila ukiishia kwenye mafumbo hivi, humsaidii rafiki yako
hiyo siku HAIPO acha mikwaraRushwa inaanzia polisi! Kwenye kesi hizi za mauaji wakishalamba rushwa wanavuruga sana ushahidi. Tangu wamevuruga kesi ya kuuawa kwa dadangu sina hamu kabisa! Ushahidi ulikuwa wazi kabisa mpaka simu waliikamata yenye mawasiliano ya kuua na mtuhumiwa walipomkamata alikiri kuua. Sasa jamaa amewekwa ndani muda wa miaka minne huku nyuma polisi wakavuruga ushahidi wote hata haya maelezo wameyaficha mpaka mtuhumiwa amekuja kuachiwa! IPO siku nitashughulika na mmoja mmoja! Kila nitakapommaliza mmoja nitasema bado mmoja mpaka waishe! Polisi pumbavu kabisa!
Wewe wasema!hiyo siku HAIPO acha mikwara
APUMUMZIKE KWA AMANI DADA
Kama unataka kununua tutafutane personal biashara itafanyika usijaliUnahatarisha uhai ukijua kuna possibility ya kupona...
Wewe roho yako bei gan
Marehemu walimuuzia mzigo wenye carat/quality ndogo wa dhahabu, wakalipwa %, fedha nyingine zikabaki, jamqa kuupeleka sokoni, ndio anagundua tayari ameshawalipa jamaa ela nyingi.
Jamaa nao wanaendelea kumdai, yeye hataki walipa tena fedha iliyobaki maana mzigo quality ilikuwa ndogo. Majibizano ndio hadi kuwaua.
woow!!! sikulijua hilo mkuu, kumbe chanzo ni biashara ya madini!!??!!., mi nilidhani ni vipuri vya magari au wafanyakazi wanadai mishahara!!!!. hata hivyo hakupaswa kuwauwa hivyo, huo mzimu ataishi nao miaka yote atakayokuwa chini ya jua hili.Nimeuliza na jamaa mleta Uzi kisa kashasema kwamba aliuziwa madini ambayo ni less quality na hao jamaa ndo akawashoot wakati wakitaka pesa zaidi while mzigo ni makapi.
Kama unaelewa hiyo michezo ya madini nenda Arusha ,mwanza ,manyara watu wanauliwa sana na hapo matajiri na hakuna mtu anafungwa...Watu wanadunda mitaani ila walishaua watu kibao kweny hizo biashara.
Ebu jaribu kuangalia hii scenario mpaka akawapiga risasu
kwa hiyo bado yupo ndaniHuyo bwana baada ya mauaji, alihukumiwaga KUNYONGWA Hadi KUFA.
Amekaa Jela wee, mwaka Jana ndo wakaanza habari za Rufaaa zikiingozwa na Kibatala !!.
Leo jamhuri imesema Haina Nia ya kesi, Mahakama imemuachia huru .
Wakati wanatoka tu, Polisi wakawamkata Tena.