Mganga bila pesa haiwezikani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mganga bila pesa haiwezikani
Hizi Rushwa ni sawa na intercontinental ballistic missiles.Kwa spidi hii ya bwana DPP tegemea yule Mende wa gesi ya mkopo kurudi uraiani January mwakani.
Hivi rushwa wanapokea pesa taslim au benki transfer?
Unaongea tuIngekuwa ni ndugu yangu ameuawa na huyo bwana ningelipa kisasi hadharani kwa risasi za kichwa alafu nisubiri kesi yangu itakavyokuwa
Ningeiomba mahakama itumie kigezo ilichotumia kumwachia huyo bwana watumie hicho hicho kuniachia mimi
Na kama kuna ndugu yake ambaye atakuwa na roho kama yangu aje kufanya nilichofanya kwa ndugu yao na iende hivyo mpaka dunia iishe kama wanaona walichofanya ni sahihi sana
Umasikin mbaya sana, Masikini Hana chake ..Nchi ya walamba asali Hii[emoji4]
Acha ujinga wako, haijalishi nyuma ya mauaji Kuna sababu zipi.
Kuua ni kuua tu .... Kwahiyo siku hizi, mtu akikutendea baya, ni Kuua tu, kwakua nyuma yake una sababu?.
Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa kampuni ya Mabasi ya J4 Express, alidaiwa kuwaua kwa kuwapiga kwa risasi Ally Abeid Mohamed, mkazi wa Igoma na Claud Sikarwanda, mkazi wa Nyasaka Ilemela, Julai 13, 2015, majira ya saa 4:00 usiku, eneo la Nyakato Boma kwenye ofisi na karakana ya magari ya mfanyabiashara huyo.
J4 alitiwa hatiani na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya kukusudia ya Ali Abeid na Claude Sikarwanda, hukumu iliyotolewa Machi 13, 2020 na Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu Mwanza, Sam Rumanyika.
Hata hivyo Mahakama ya Rufaa ilibatilisha adhabu hiyo na kutengua hukumu ya Mahakama Kuu Mwanza,iliagiza kesi hiyo jinai namba 131/2017 isikilizwe upya.
Mahakama imemwachia huru leo, baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo. Upande wa utetezi mtuhumiwa alitetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
------
Nyie Mahakama acheni kuona watu ni mbuzi, Acheni Rushwa, Rushwa ni adui wa haki, Rushwa anatesa, Rushwa anaumiza watu
Hivi mtu aliyeua watu wawili kwa risasi , watu wamekufa, wamezikwa , na mmemhukumu kunyongwa hadi kufa, leo hiii kisa rufaa, kwamba meza imepinduka? Mpaka aachiwe huru?
Mbona mnakoswa huruma nyinyi?? Mbona hamuwakumbuki watu walowapoteza wapendwa wao? Tunarudi wapi?
Huu ndo utawala wa Rais Samia, wenye kufuata misingi ya Demokrasia?
Haya basi, jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi, mtufufulie ndugu zetu walouawa basi, na sisi tucheze nao, tupige nao stori, likiwashinda hilo, basi tuambiani, walowaua ndugu zetu wawili kwa risasi ni akina nani?.
Mambo ya ajabu kabisa na aibu ilopitiliza.
Mnatanguliza rushwa mpaka kwenye maisha ya watu, kama mlimuhukumu kunyongwa, leo hii inakuaje mnakoswa nia ya kuendelea na kesi? Kwamba hakukutokea tukio la mauaji? Kwamba hamna aliyekufa? Na kama alikufa nani alimuua?? Kama sio Jumanne, ni nani aliwaua?? Kama ni yeye, imekuaje aachiwe huru? Mtufufulie ndugu zetu .
Shame on you!! Rushwa rushwa mpaka mnauza roho za watu??
Wapumbavu kabisa , mlaaniwe na vizazi vyenu, na hizo rushwa mnazokula, pesa hizo ziendelee kuwapa umasikini wa roho na mpoteze heshima mbele ya watu .
Huyu jamaa alihukumiwa hapa !!👇
Leo kaachiwa Huru, ila Polisi wamejifanya kumkamata Tena, ili kupima upepo, ili hali JAMHURI ndio hiyo hiyo Polisi !!
Akili za UVCCM hizi.Aachiwe tu, hao wanafamilia wachukue kampunga, maisha yaendelee, mtu kaajiri mamia ya watu akae jela kufanya nini? Mtaani yamejaa majitu kama Mdude yanajaza nafasi tu
Bush lawyer advise.. tikiti majiNimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.
Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.
Sijaelewa katika habari ya mtoa hoja, ameachiliwa na mahakama ya rufaa au Dpp kaondoa shauri hilo mahakamani?We mwalimu usitake udharaurike bure.
Mahakamani ni ushahidi usio na mashaka, ukikosea Mahakama ya Rufaa inamuachia mtu
Naongea tu ni kweli kwa kuwa haijanitokea mimi lakini jambo la uhakika ni kwamba huyo jamaa asingeishi kama angefanya hivyo kwa ndugu yanguUnaongea tu
Magu mwenyewe ilikuwa muuaji.Sure thing, chini ya Magu haya maujinga yasingetokea. Aisee nimechefukwa sana
Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa kampuni ya Mabasi ya J4 Express, alidaiwa kuwaua kwa kuwapiga kwa risasi Ally Abeid Mohamed, mkazi wa Igoma na Claud Sikarwanda, mkazi wa Nyasaka Ilemela, Julai 13, 2015, majira ya saa 4:00 usiku, eneo la Nyakato Boma kwenye ofisi na karakana ya magari ya mfanyabiashara huyo.
J4 alitiwa hatiani na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya mauaji ya kukusudia ya Ali Abeid na Claude Sikarwanda, hukumu iliyotolewa Machi 13, 2020 na Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu Mwanza, Sam Rumanyika.
Hata hivyo Mahakama ya Rufaa ilibatilisha adhabu hiyo na kutengua hukumu ya Mahakama Kuu Mwanza,iliagiza kesi hiyo jinai namba 131/2017 isikilizwe upya.
Mahakama imemwachia huru leo, baada ya DPP kuwasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo. Upande wa utetezi mtuhumiwa alitetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
------
Nyie Mahakama acheni kuona watu ni mbuzi, Acheni Rushwa, Rushwa ni adui wa haki, Rushwa anatesa, Rushwa anaumiza watu
Hivi mtu aliyeua watu wawili kwa risasi , watu wamekufa, wamezikwa , na mmemhukumu kunyongwa hadi kufa, leo hiii kisa rufaa, kwamba meza imepinduka? Mpaka aachiwe huru?
Mbona mnakoswa huruma nyinyi?? Mbona hamuwakumbuki watu walowapoteza wapendwa wao? Tunarudi wapi?
Huu ndo utawala wa Rais Samia, wenye kufuata misingi ya Demokrasia?
Haya basi, jamhuri haina nia ya kuendelea na kesi, mtufufulie ndugu zetu walouawa basi, na sisi tucheze nao, tupige nao stori, likiwashinda hilo, basi tuambiani, walowaua ndugu zetu wawili kwa risasi ni akina nani?.
Mambo ya ajabu kabisa na aibu ilopitiliza.
Mnatanguliza rushwa mpaka kwenye maisha ya watu, kama mlimuhukumu kunyongwa, leo hii inakuaje mnakoswa nia ya kuendelea na kesi? Kwamba hakukutokea tukio la mauaji? Kwamba hamna aliyekufa? Na kama alikufa nani alimuua?? Kama sio Jumanne, ni nani aliwaua?? Kama ni yeye, imekuaje aachiwe huru? Mtufufulie ndugu zetu .
Shame on you!! Rushwa rushwa mpaka mnauza roho za watu??
Wapumbavu kabisa , mlaaniwe na vizazi vyenu, na hizo rushwa mnazokula, pesa hizo ziendelee kuwapa umasikini wa roho na mpoteze heshima mbele ya watu .
Huyu jamaa alihukumiwa hapa !!👇
Leo kaachiwa Huru, ila Polisi wamejifanya kumkamata Tena, ili kupima upepo, ili hali JAMHURI ndio hiyo hiyo Polisi !!
Kibatala ni Wakili wa Mchongo,anajua kupenyeza rupia Mahakamani,Kama huna pesa hawezi shinda kesi yako!!Upande wa utetezi mtuhumiwa alitetewa na Wakili Msomi Peter Kibatala.
Kuna watu huwa wanabeza uwezo wa Kibatala kuwa hashindi kesi huyu jamaa ni moto
Mambo ya scenario ya kwako kikubwa kaua kadhulumu haki ya watu kuishi basiUnajua scenario mpaka akaua hao watu?