makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Dah! Mwanamke kama huyo unamuoaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muoaji angeyajuaje hayo kuwa yatatokea?Dah! Mwanamke kama huyo unamuoaje?
Sasa ndio hafi afanyeje?😂😂😂Dunia imevurugwa
Miaka 79 unamuua wa nini wakati hapo kabakiza masaa kadhaa tu??
Yaani nawaza maisha ya huyo mama yalikua miserable like living in hell,kaona anachelewa kufa kammalizia kabisaa!!ningekua Dada wa huyo Mme ningemtimua msibani kaka angu!!!Hili nalo neno mdogo wangu,hawa Kaka zetu akili zote wanawakabidhi Wake zao na hasa akikutana na mjanja wa yale mambo ya Chumbani,matokeo yake ndiyo haya.Ukisoma maelezo ya Mwanaume hapo juu unaona kabisa ile warning aliyokuwa anapewa wala hakujali,na imagine maisha ya huyo Bibi yalikuwaje hasa wakati mtoto wake hayupo,si ajabu alikuwa anapewa chakula mara moja tu kwa siku na siku hiyo Neema akaamua kummaliza Bibi wa watu [emoji22]
Dalili zinaonekana mapema, haya tufanye huko hakujua, lakini mkeo anakutamkia umtimue mama yako kwake sio kituo cha kulea wazee, we bado tu upo na huyo mwanamke.. jivike nafasi ya maneno hayo, halafu mlengwa ni mama yako mzazi.Muoaji angeyajuaje hayo kuwa yatatokea?
wanyakyusa vp ,mbona mmeanza tabia ambazo sio zenu, haya Mambo ni ya bidada wa uchaggani haya.Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.
Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.
Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.
Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.
Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
nyundo 30,zinamsubili ameua kwa kukusudia. Huyu naye neema ni gaidi !!Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
Wachagga sio kwamba wanauana kwa visa na uhasama vya visa vya mama mkwe, ila ni visa vya kugombea maliwanyakyusa vp ,mbona mmeanza tabia ambazo sio zenu, haya Mambo ni ya bidada wa uchaggani haya.
Once nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaniuaaaOnce nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..
Heeee, siakalopoka..
Hivi wee MPUUZI na vipanya panya vyako kuchafua ndani, haya kwendeni kwenuuu
Nilimuangaliaaaaaaa
Nilimuangaliaaaaaaa
Nikasimama, nikamshika mkono. Nikamtoa nje..nikamwambia Rudi ulipo toka
Ikaishaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alaaaa, yaaan uchukie watoto wadogo, wee una roho gan hiyo????[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naweza kua na roho mbaya but not for kids,Dada angu anasemaga mtoto anaeshindwa kukaa na Mimi hawezi kaa na yoyote!yaani nyymbani kwangu km nursery ila wanajaa !mzazi akitafuta mtoto akamkosa kwangu anashtukaOnce nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..
Heeee, siakalopoka..
Hivi wee MPUUZI na vipanya panya vyako kuchafua ndani, haya kwendeni kwenuuu
Nilimuangaliaaaaaaa
Nilimuangaliaaaaaaa
Nikasimama, nikamshika mkono. Nikamtoa nje..nikamwambia Rudi ulipo toka
Ikaishaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alaaaa, yaaan uchukie watoto wadogo, wee una roho gan hiyo????[emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaa mambo ni hayo... Yaan kuwachukia watoto wadogo ambao Bwana Yesu alisema Ufalme wake ni wawakwao ,tena ili sisi watu wazima tuone ufalme wake, nilazima tuwe kama watoto.Mi naweza kua na roho mbaya but not for kids,Dada angu anasemaga mtoto anaeshindwa kukaa na Mimi hawezi kaa na yoyote!yaani nyymbani kwangu km nursery ila wanajaa !mzazi akitafuta mtoto akamkosa kwangu anashtuka
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Alofanya hivo ni asili ya mbeya, alofanyiwa ndio kanda ya ziwaAngekua mchaga kafanya hivyo story zingekua mingi?
Kanda ya ziwa mnasemaje?
Je, wew mamaako alipokuzaa alikupeleka ukakulie huko social security? Hii fikra za kuwatenga wazaz na kuona ni mzigo ni upagan, ukatiri, unyanyasaji kabisa, pumbaf wwMkuu, wazungu kwa kutambua kwamba vijana wanapooa wanatakiwa kuwa huru na wenza wao na watoto watakaopata, wakaanzisha utaratibu wa makazi ya wazee........kwa sisi huduma za social security bado hazina nguvu kuweza kuanzisha huu utaratibu na pia kutokana na tamaduni zetu, lakini ukweli ni kwamba siyo mara zote watu wanakuwa na uvumilivu kukaa na members from extended family ukichukulia na maneno maneno ambayo yanaweza kupelekea hata wanafamilia hasa mke na mume kutoelewana sababu ya ndugu......
Kwa hiyo unataka kumfanya mama yako mkeo, shwain........Je, wew mamaako alipokuzaa alikupeleka ukakulie huko social security? Hii fikra za kuwatenga wazaz na kuona ni mzigo ni upagan, ukatiri, unyanyasaji kabisa, pumbaf ww
Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app