Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Hili nalo neno mdogo wangu,hawa Kaka zetu akili zote wanawakabidhi Wake zao na hasa akikutana na mjanja wa yale mambo ya Chumbani,matokeo yake ndiyo haya.Ukisoma maelezo ya Mwanaume hapo juu unaona kabisa ile warning aliyokuwa anapewa wala hakujali,na imagine maisha ya huyo Bibi yalikuwaje hasa wakati mtoto wake hayupo,si ajabu alikuwa anapewa chakula mara moja tu kwa siku na siku hiyo Neema akaamua kummaliza Bibi wa watu [emoji22]
Yaani nawaza maisha ya huyo mama yalikua miserable like living in hell,kaona anachelewa kufa kammalizia kabisaa!!ningekua Dada wa huyo Mme ningemtimua msibani kaka angu!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Muoaji angeyajuaje hayo kuwa yatatokea?
Dalili zinaonekana mapema, haya tufanye huko hakujua, lakini mkeo anakutamkia umtimue mama yako kwake sio kituo cha kulea wazee, we bado tu upo na huyo mwanamke.. jivike nafasi ya maneno hayo, halafu mlengwa ni mama yako mzazi.
 
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
wanyakyusa vp ,mbona mmeanza tabia ambazo sio zenu, haya Mambo ni ya bidada wa uchaggani haya.
 
Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
nyundo 30,zinamsubili ameua kwa kukusudia. Huyu naye neema ni gaidi !!
 
Wewe ni mwanaume hakika. Ubinafsi umetujaa sana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Once nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..

Heeee, siakalopoka..

Hivi wee MPUUZI na vipanya panya vyako kuchafua ndani, haya kwendeni kwenuuu

Nilimuangaliaaaaaaa
Nilimuangaliaaaaaaa



Nikasimama, nikamshika mkono. Nikamtoa nje..nikamwambia Rudi ulipo toka


Ikaishaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Alaaaa, yaaan uchukie watoto wadogo, wee una roho gan hiyo????[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Once nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..

Heeee, siakalopoka..

Hivi wee MPUUZI na vipanya panya vyako kuchafua ndani, haya kwendeni kwenuuu

Nilimuangaliaaaaaaa
Nilimuangaliaaaaaaa



Nikasimama, nikamshika mkono. Nikamtoa nje..nikamwambia Rudi ulipo toka


Ikaishaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Alaaaa, yaaan uchukie watoto wadogo, wee una roho gan hiyo????[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaniuaaa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Once nilidate Mdada mmoja,, siku moja alikua geto jpl, akanikuta jina watoto wadogo tunaangalia mpira..

Heeee, siakalopoka..

Hivi wee MPUUZI na vipanya panya vyako kuchafua ndani, haya kwendeni kwenuuu

Nilimuangaliaaaaaaa
Nilimuangaliaaaaaaa



Nikasimama, nikamshika mkono. Nikamtoa nje..nikamwambia Rudi ulipo toka


Ikaishaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Alaaaa, yaaan uchukie watoto wadogo, wee una roho gan hiyo????[emoji23][emoji23][emoji23]
Mi naweza kua na roho mbaya but not for kids,Dada angu anasemaga mtoto anaeshindwa kukaa na Mimi hawezi kaa na yoyote!yaani nyymbani kwangu km nursery ila wanajaa !mzazi akitafuta mtoto akamkosa kwangu anashtuka

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Mi naweza kua na roho mbaya but not for kids,Dada angu anasemaga mtoto anaeshindwa kukaa na Mimi hawezi kaa na yoyote!yaani nyymbani kwangu km nursery ila wanajaa !mzazi akitafuta mtoto akamkosa kwangu anashtuka

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ewaaa mambo ni hayo... Yaan kuwachukia watoto wadogo ambao Bwana Yesu alisema Ufalme wake ni wawakwao ,tena ili sisi watu wazima tuone ufalme wake, nilazima tuwe kama watoto.


Aaaahhhgggrrrhyyy utakua wee ni kashetan Kadogo[emoji23]
 
Mkuu, wazungu kwa kutambua kwamba vijana wanapooa wanatakiwa kuwa huru na wenza wao na watoto watakaopata, wakaanzisha utaratibu wa makazi ya wazee........kwa sisi huduma za social security bado hazina nguvu kuweza kuanzisha huu utaratibu na pia kutokana na tamaduni zetu, lakini ukweli ni kwamba siyo mara zote watu wanakuwa na uvumilivu kukaa na members from extended family ukichukulia na maneno maneno ambayo yanaweza kupelekea hata wanafamilia hasa mke na mume kutoelewana sababu ya ndugu......
Je, wew mamaako alipokuzaa alikupeleka ukakulie huko social security? Hii fikra za kuwatenga wazaz na kuona ni mzigo ni upagan, ukatiri, unyanyasaji kabisa, pumbaf ww

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom