Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Neema Mwambusi Uswege ni jina la kanda ya ziwa hilo? Na wewe la wapi wewe?Angekua mchaga kafanya hivyo story zingekua mingi?
Kanda ya ziwa mnasemaje?
Kuna mwingine alikuwa anafunga milango yote anamwacha mama mkwe anapata baridi,jua na mvua nje mpaka anaporudi jion
Sio msukuma wala mkerewe, ni mnyakyusaAngekua mchaga kafanya hivyo story zingekua mingi?
Kanda ya ziwa mnasemaje?
Wacha tuwagegede tuu na kutupa kule...hamna kiweka ndani hawa utakufa kwa presha bureWanawake wengi wakiingia kwenye ndoa na mtu mwenye mali wanaanza ushirikina hayo yote ili umsikilize kila anachokwambia anakufanya anavyotaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] basi sawa.Leo macho yananiuma, sioni chochote[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kama hamuishi pamoja bado ni mkeo/mmeo, huwezi ukaoa/kuolewa bila idhini ya Serikali(Mahakama), short of that one part ana haki ya kukushitaki!Mkuu, ukitaka twende kwa mtindo huo nitakuambia ndoa ni ya wanandoa. Serikali jukumu lake ni kuzisajili tu. So hata wanandoa wakishindwana serikali haiwalazimishi kuendelea kuishi pamoja. Wanandoa wakiachana serikali itasajili tu ile talaka.
By the way kuna kifungu chochote katika Law of Marriage Act kinachosema ndoa ni ya serikali? Or any case law to that effect?
Gari ni mali yako, lakini kama halina bima huendeshi barabarani!Hata kama hamuishi pamoja bado ni mkeo/mmeo, huwezi ukaoa/kuolewa bila idhini ya Serikali(Mahakama), short of that one part ana haki ya kukushitaki!
Kwahiyo angemfukuza mama yake sababu ya mwanamke?Kwa hiyo watoto wamemchoma mama, siyo kawaida hii..........ila jamaa naye aliamua kupuuzia warning za wife, angetafuta hata housegirl wa kuwa anamwangalia mama yake na kumweka chumba hata cha uani, hawa wanawake huwa wanatutaka tupende wazazi na ndugu zao baaasi, ila wa kwetu wanawaona kama nuksi vile, watawazulia hili, mara lile ili mradi taabu tu........wanawake jaribuni kuwa na ustahimilivu kwa ndugu wa mume.
nimeshangaa haswaaYaani mkuu unamuweka mama yako mzazi aliyekuzaa chumba cha uani?
Mama yako ambaye amekulea na kukuza kwa nguvu zote?
Sababu ya kamwanamke kamoja tu ulichokutana nacho ukubwani?
Huyo mwanamke anatakiwa afe kifo kibaya cha kimya'kimya hakuna excuse ya kuhalalisha mauaji ya mzazi tena mzazi mwenyewe ni mama.
Ni wajibu wa kila mwanaume kumlinda mama yake kwa kila njia, huyo jamaa angekuwa anajitambua basi huyo mwanamke angeachana nae kitambo sio binadamu huyo.
Lakini ni vizuri zaidi kuwajengea wazazi nyumba yao na kuwawekea wafanyakazi wa kutosha ili wasipate shida kama hizi kutoka kwa baadhi ya mashetani kama hawa.
Mkuu, haya maelezo yako yana basis ya Kisheria au ni just your opinion? Kwamba bila idhini ya serikali (mahakama) hakuna kuoa au kuolewa?Hata kama hamuishi pamoja bado ni mkeo/mmeo, huwezi ukaoa/kuolewa bila idhini ya Serikali(Mahakama), short of that one part ana haki ya kukushitaki!
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.
Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.
Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.
Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.
Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Mwache akaozee jela ndiyo atajua hajui,Bibi wa umri huo kwanza hata hawasumbui kabisa zaidi ya kumwekea uangalizi mzuri tu,na inaonekana uwezo upo,basi angemwekea dada maalumu wa kumwangalia kama yeye Neema alikuwa anaona taabu.Butimba ndio yashakuwa makao yake ya kudumu,akibahatika kutoka si chini ya 10yrs,wakati huo unakuta na Mume alishaoa,ndoa hakuna unarudi kwenu Mbeya mikono mitupu.Dunia imevurugwa
Miaka 79 unamuua wa nini wakati hapo kabakiza masaa kadhaa tu??
Umuhamishie Mama Mzazi chumba cha uani kisa Mke wako hamtaki😳Kwa hiyo watoto wamemchoma mama, siyo kawaida hii..........ila jamaa naye aliamua kupuuzia warning za wife, angetafuta hata housegirl wa kuwa anamwangalia mama yake na kumweka chumba hata cha uani, hawa wanawake huwa wanatutaka tupende wazazi na ndugu zao baaasi, ila wa kwetu wanawaona kama nuksi vile, watawazulia hili, mara lile ili mradi taabu tu........wanawake jaribuni kuwa na ustahimilivu kwa ndugu wa mume.