Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Huyu mwanamke wa Mbeya amefundishwa wapi huu unyama ?
 
Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Unayo hoja
 
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Lakina Bujibuji mbona bibie katika huko Mbeya, kunani huko?
 
Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Mimi ni mkristo ila ndoa za kiislam ni nzuri sana mtu akizingua taraka nje nje unaepusha mabalaa mapemaaaa,ila sisi wakristo ndoa mpka kifo mtu anakuletea mauzauza upuuzi mwingi vitu vinakukaa moyoni mwisho wa usiku uvumilivu ukiisha utasikia mtu amechinjwa
 
Jamani kwa hali ilipofikia kila mtu aoe kwao.
 
Haya ndio matatuzo ya wanaume kuendekeza mbususu ova mama mzazi. Yaani mke anleta fyatu fyatu kuhusu mama huyo ni kupiga talaka asepe na mbususu yake
Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa na mtu mwenye mali wanaanza ushirikina hayo yote ili umsikilize kila anachokwambia anakufanya anavyotaka.
 
Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Utu
 
Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Kwa sahabu wao ndoa zao sio kifungo cha maisha, mkizinguana kila mtu anashika njia yake tofauti na huku kwetu tunakoambiwa mpaka kifo kiwatenganishe
 
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo, ndoa ni za Serikali.
Madhehebu ni wawakilishi waSerikali tu.
Ndoa ni sawa kabisa na usajili wa vizazi na vifo.
Ndoa halali, kuachana ni mpaka Mahakamani!
Mkuu, ukitaka twende kwa mtindo huo nitakuambia ndoa ni ya wanandoa. Serikali jukumu lake ni kuzisajili tu. So hata wanandoa wakishindwana serikali haiwalazimishi kuendelea kuishi pamoja. Wanandoa wakiachana serikali itasajili tu ile talaka.
By the way kuna kifungu chochote katika Law of Marriage Act kinachosema ndoa ni ya serikali? Or any case law to that effect?
 
Afu tukio hilo ni kuhusu relationship ko haliwezi kuwa story.

Angekuwa mchaga kafanya story zingekuwa mingi Kwa sababu inguhusisha maswala ya pesa na Mali.
Wachagga wanaua Mama zao ili wapate pesa. Mungu anawaona , acheni .
 
Back
Top Bottom