Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Husikii kuwa huyu arudi kwao mbeya ,pia huyu ni mchaga aliyezaliwa mbeya.Angekua mchaga kafanya hivyo story zingekua mingi?
Kanda ya ziwa mnasemaje?
Mmmh unamaanisha ulichosema lakin auImani mkuu waislaam wamejazwa imani ya Dini kwamba kuua au kujiua ni dhambi kubwa
We Daudi Mchambuzi acha ujinga hili sio tukio la kuchekelea.Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.
Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.
Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.
Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.
Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Hata vifo vya kujitoa roho angalia WA dini gani wanakua wanafanya matokeo hayo zaidMauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.
Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.
Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha
Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?
Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Unawashwa ehWe Daudi Mchambuzi acha ujinga hili sio tukio la kuchekelea.
We mtu mzima acha upumbavu shenzi mkubwa.Unawashwa eh
Heaven Sent hebu kuja hapa.
Mnyakyusa katuwakilisha.Aliye fanya tukio ni mnyakyusa
Eneo la tukio ndo Kanda ya ziwa.
Wanaume tunashida aisee...yaani Mama yangu mzazi.....😬😬😬Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.
Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.
Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.
Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.
Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Mume angefanya nini?Mume alishapewa onyo akalimezea. Naye anawajibika kwa mauaji haya kwa kiwango fulani.
Wanawake awapendaniKwa hiyo watoto wamemchoma mama, siyo kawaida hii..........ila jamaa naye aliamua kupuuzia warning za wife, angetafuta hata housegirl wa kuwa anamwangalia mama yake na kumweka chumba hata cha uani, hawa wanawake huwa wanatutaka tupende wazazi na ndugu zao baaasi, ila wa kwetu wanawaona kama nuksi vile, watawazulia hili, mara lile ili mradi taabu tu........wanawake jaribuni kuwa na ustahimilivu kwa ndugu wa mume.
Wale ni magaidi waliojificha kwenye dini lakini hawana dini wale ni wahuni tuMkuu Hivi Iraq, Afghanistan, Somalia , Sudan nk Ni watu wa Imani gani wanaishi nchi hizo? Mbona kila siku nasikia mauaji huko?