Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Ingekuwa Moshi au ni wachaga! Wanafiki na wachochezi wangejazana humu mmk.
 
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
We Daudi Mchambuzi acha ujinga hili sio tukio la kuchekelea.
 
Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Hata vifo vya kujitoa roho angalia WA dini gani wanakua wanafanya matokeo hayo zaid
 
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Wanaume tunashida aisee...yaani Mama yangu mzazi.....😬😬😬
 
Bibi kizee kama yule ana gharama gani sasa ya kumtunza hadi umuue.
 
Chochote kile umtendeacho mkwe wako ndicho nawe utatendewa uzeeni.
 
Hapo mme anaoa mke mwingine maisha yanasonga.
Mwanamke mpumbavu ubomoa ndoa yake.
 
Kwa hiyo watoto wamemchoma mama, siyo kawaida hii..........ila jamaa naye aliamua kupuuzia warning za wife, angetafuta hata housegirl wa kuwa anamwangalia mama yake na kumweka chumba hata cha uani, hawa wanawake huwa wanatutaka tupende wazazi na ndugu zao baaasi, ila wa kwetu wanawaona kama nuksi vile, watawazulia hili, mara lile ili mradi taabu tu........wanawake jaribuni kuwa na ustahimilivu kwa ndugu wa mume.
Wanawake awapendani
 
Mkuu Hivi Iraq, Afghanistan, Somalia , Sudan nk Ni watu wa Imani gani wanaishi nchi hizo? Mbona kila siku nasikia mauaji huko?
Wale ni magaidi waliojificha kwenye dini lakini hawana dini wale ni wahuni tu
 
Back
Top Bottom