Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Mauaji yenye sababu za ndoa ndoa yanaendelea.

Mke kaona mama mkwe anamletea kiwingu kwenye ndoa yake kaamua kumuwekea sumu.

Mimi kinachonishangaza vifo vingi vyenye sababu ya kindoa ndoa majina ni ya wakristo tu. Mfano hapo jina neema badala ya kuwa fatuma ama asha

Je waislamu wametuzidi ujanja wapi?

Wao mbona hawaondoani duniani kama sisi.
Talaka inasaidia sana!ndoa ni huruma na mapenzi hvyo vikiisha ndo mtu anafanya mambo ya kutisha km hayo!kiukweli inasikitisha sana!
Ifike mda watu wapeane talaka kirahisi kusowe na mlolongo mrefu wa talaka

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
Mjinga huyo Dada na hakumpenda mwanaume na wasukuma walivyo mazoba ktk kupenda,wamama wa kisukuma pia ni wakwe wazuri sana!
Huyo Dada mi ningemuua kwa mkono wangu mwenyewe

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa Kisukuma yakipenda yanakua malofa sana!yanathamini mke kuliko mama!ona sasa amepoteza mzazi kizembee kabisaa..
Kwa hali ilivyo Dada inaonekana alikua na sauti kuliko mwanaume ktk nyumba!
Yaani mwanamke anapataje ujasiri wa kumkataa mkwewe?!!huyo mwanaume hajitambui kabisaa!mwanaume lofa kabisaa!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Wanyakyusa Wana kiburi na jeuri kwa kiwango cha pekee duniani , sio rahisi kiwaelewa kwa namna wanavyoongea unaweza kuhisi ni malaika.Watch out
 
Ndoa za Kiislam kwa maoni yangu ni the best practice of matrimonial life.
Hata ukienda mahakamani mashauri mengi ya talaka ni ya ndoa za Kikristo
Mkuu, kwa uelewa wangu mdogo, ndoa ni za Serikali.
Madhehebu ni wawakilishi waSerikali tu.
Ndoa ni sawa kabisa na usajili wa vizazi na vifo.
Ndoa halali, kuachana ni mpaka Mahakamani!
 
Jeshi la polisi linamshikilia mwanadada NEEMA MWAMBUSI USWEGE(29) mkoani Mwanza kwa kosa la kumlisha mama mkwe wake sumu kwenye chakula na kumsababishia umauti.

Inadaiwa kuwa mama wa JAMES BULAYA (38) bi ANETH MANYIRIZU umemkuta umauti huo tarehe 13/1/2022 saa 12:00 mchana alipopelekwa hospitali baada ya kutapika damu nyingi nakupoteza uhai, bi ANETH MANYIRIZU amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 katika hosipitali inayodaiwa siyo ya Serikali.

Hata hvyo uchunguzi wa polisi umethibitisha kuwa NEEMA MWAMBUSI USWEGE ndiye muhusika mkuu kwani watoto wake walitoa maelezo kuwa mama ndiye alimpikia chakula bibi yao na kuwakataza wasije wakathubutu kula chakula kile.

Watu wa jirani wametoa maelezo kuwa ugomvi wao na mumewe ulikuwa ukijirudia mara kwa mara huku mwanamke alikuwa akimjibu mumewe kuwa yeye kwake siyo kituo cha kulelea wazee tofauti na hivyo atarudi kwao Mbeya.

Bwana JAMES ni mfanyabishara mkubwa wa dagaa tz na nje ya nchi amesikitishwa kwa tukio hilo la kufiwa mama yake ambaye ndiye mzazi pekee aliyekuwa amebaki
Haya ndio matatuzo ya wanaume kuendekeza mbususu ova mama mzazi. Yaani mke anleta fyatu fyatu kuhusu mama huyo ni kupiga talaka asepe na mbususu yake
 
Yaan ni ukatili wa hali ya juu mama wa mume ni sawa na mama mzazi kabisa kaka ilitakiwa mke ajishushe tu ampotezee na amjali maana watu wakizeeka ni wasumbufu unamchukulia kama mtoto tu
Sasa hapo mume hatompenda tena
Kaharibu maisha yake kwa hasira
Hatompenda au ndo habar Imeisha hapo?
 
Back
Top Bottom