Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Wananchiiiiiiiiíiiiii.

Hivi mnasema mnao wananchi wa kushinikiza katiba mpya, hao wananchi wako wapi ?
Huko mtaani mnaishi chadema pekee au ccm pekee?

Last time Katiba ilikwama kutokana na maslahi ya kisiasa sasa haitakiwi kosa kurudiwa.
 
Akili zenu sijui kama mnawaza sawa sawa.

Hata akitoka Samia, mnadhani ndio mwisho wa matatizo ?

Hamjawajua CCM nyie.

Subirini mkiwekewa MWIGULU au MPANGO tena ndio mtaanza kukimbia kama DIGI DIGI.
2030 nilikuwa natamani January achukue, ila kwa tabia hizi chafu za CDM walizoonesha ndani ya miezi 4 tu ya Samia ni bora achukue Mwigulu aendelee kuwanyoosha watu, watu gani hawana uvumilivu na hawajui hata timing ya kufanya harakati zao. Kwa hili Samia inabidi awaachie polisi na vyombo vya usalama vifanye kazi yao, asiwaingilie. Hawa CDM hawana adabu kabisa na siasa za kistaarabu hawawezi.
 
Tunayo safari ndefu ya miaka kama mia tano,ili kuzinduka kutoka gizani na kuingia kwenye ulimwengu uliostaarabika.
 
hivi CHADEMA wanawapigania watanzania au tamaa tu za madaraka tumeona watanzania wanapata matatizo huyo mwenyekiti wala atujawai mwona ameshindwa kwenda ata kuwapa salamu kariakoo walipo unguliwa na soko
 
Mbowe alikutwa chumbani na Rose anakula tunda
 
Weka mabusi hadi akili ziwarudi kama yule anaelishea bure kule Canada,lazima waelewe kwamba nchi hii kuna utaratibu sio kutaka kujiaminisha kuwa huyu mpuuzi Mbowe(TONDO) nae anataka kujiona kuwa yupo level moja na Rais wa nchi.
 
Wanayolewa Sasa ,huu mziki mtamu Sana kushushia ya Kilimanjaro ya baridi


USSR
 
Kweli inaenda kwenye maandishi
Ukitaka kuthibitisha nenda wilayani kwako uliza Tarura wametangaza tenda za billion ngapi ndio utajua ni makaratasi au ukweli.

Hiyo ni tozo ya mafuta hapo bado tozo za miamala ambazo nyie chadema hamtaki watu watoe Ili wabakie kwenye umaskini ndio maana mnapuuzwa.
 
hivi CHADEMA wanawapigania watanzania au tamaa tu za madaraka tumeona watanzania wanapata matatizo huyo mwenyekiti wala atujawai mwona ameshindwa kwenda ata kuwapa salamu kariakoo walipo unguliwa na soko

Kule asingeweza pata per diem mkuu ,ndio maana anakimbilia sana mikoani ,imagine amecha msiba machame kwa ajili ya per diem tu.
 
Safi sana!! Mama anaupiga mwingi sana!! Toeni namba ya simu tuanze kumchangia pesa Mwamba Faru John. Lakini isije ikawa wamelewa akaanguka kama wakati huleeee!!!
 
Chadema Kwan wapinzan wenzenu mbona wametulizana wanaweka Mipango yao,nyinyi tokea Magufuli afarik kila siku fujo tuh,mnajiona wajaaanja KIBOKO yenu kavuta siyo?teh teh
 
Unadhani barabara zinajengwa kama chips



USSR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…