Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Nimeona taarifa kuwa Rose Mayemba, katoka Mkoa wa Njombe mpaka Mwanza na kafikia hotel aliyofikia Mbowe, hii inatia shaka, kuna nini? SAA 9 usiku!
Naona wivu umekujaaa sana kisa Mbowe kwani hujui kuwa Mbowe ameoa na anafamilia yake?

Katafute vijana wenzako watakupa unacho kihitaji kutoka kwa mh Mbowe.
 
Wapuuzi tuu hao mtaani maisha Magumu govt inajaribu kuweka mambo sawa hata kama kutakuwa na maumivu kidogo for a while Ili baadae mambo yanyoke ndio mambo mengine ya Katiba yafuate wanaleta dharau

Si mlisema Mmeingia Uchumi wa Kati au zilikuwa Mbwe mbwe tu za Lumumba.
Uchumi gani unaotaka unyooke huu wa kutegemea tozo za miamala.

Vipi zile raslimali mnazosema sisi matajiri tuna raslimali za kutosha sasa inakuaje mtegemee uchumi wa tozo za miamala.
 
Hakuna mwenye akili anaweza kufanya uwekezaji wa maana ktk nchi isiyoheshimu misingi ya haki za binadamu na katiba iliyopo.

SSH na wanaomshauri hawatafika mbali,Jiwe hakuweza huyu ndo kabisa kashindwa mapema kweli
 
Biashara na uwekezaji ulikuwa umedorora kutokana na sera ambazo sio rafiki kama kubambikia kodi,kesi na kupora wafanyabiashara Sasa hizi mambo ndio zinarekebishwa na tayari wafanyabiashara wamerudisha confidence kwa Serikali.
 
Wasimbe hawo wa DJ.
Jaribu kutathimini prominent figure wote wa jinsia ya like waliopo chama Cha nyumbu wa ufipa hybrid ya masaai Mara.
Hakuna mwenye ndoa.
Unaonekana tangu baada ya kifo cha mumeo bado una msongo wa mawazo.

Wewe ni mjane ambaye unahitaji msaada maana hata huna sifa ya kupata urithi kutoka kwa marehemu.
 
Kuwa na rasilimali ni jambo moja na kuzifanya zilete tija ni ishu tofauti, ukweli ni kwamba ni Mataji wa rasilimali japo ndio hivyo hazijawa na tija hadi sasa ila hatua zinazidi kuchukuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…