Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

Chadema ni kama Mtoto anayelilia wembe bila kujua unaweza kumkata . Waache chokochoko .
 
Wengi ni wepi?

Usiidanganye nafsi yako. Usiidhulumu ukweli nafsi yako...

Kinachofanyika ktk Tanzania hii ya sasa chini ya serikali na utawala huu hakuna cha "kuangalia maslahi ya wengi" wala nini bali ni kulinda maslahi binafsi ya CCM/watawala wachache na ndugu zao na matumbo yao..

Hili kupitia kwetu sisi wananchi tunaoumizwa, MUNGU MUUMBA hataruhusu lifanyike wala kuendelea. Kama tulivyokataa kwa mwendazake na yeye kupata adhabu yake, ndivyo itakavyokuwa na kwa huyu mwanamke na wengine wajinga watakaokuja mpaka Tanzania itakapokuwa fully liberated...!!

Nyongeza:

Kama unataka kujua kuwa tusiokubaliana na serikali hii haramu ya CCM ni wengi na ndiyo tuliobeba maslahi ya Wengi, basi tuendeleeni na mijadala ya amani, acheni kutumia bunduki na polisi...

Ishara kuwa nyie ni WACHACHE sana na hamna uhalali wowote wa ku - impose jambo lolote likakubalika na WENGI, ni matendo yenu...

Hamna hoja, mnaogopa hoja na mnadhibiti hoja kwa mtutu wa bunduki kwa kutumia polisi kitu ambacho aliyekuwa JIWE a.k.a Mwendazake zake alishindwa na badala kuushinda umma (people's power) aliangushwa na kushindwa yeye...!
Wewe mwenye Hoja endelea na msisahau kauli zenu za sukuma gang na kusema mama anaupiga mwingi
 
msukule wa makengeza mbowe, unatuchosha kwa taarabu zako humu. Ingia barabarani ukampiganie mbowe
Mkuu naomba hilo neno makengeza usiwe unalitumia mkuu
Kwenu humo hamna hoja , na ni watu wa kutumia matusi na nguvu za vyombo vya dola. Otherwise hamna ushawishi kwa wananchi

Huyo mwingine amekazania makengeza wakati hajafa na kuumbika !!. Mme wake laxima amzawadie mtoto kilema au tahahira tuone kama atamtupa !!
 
Kwenu humo hamna hoja , na ni watu wa kutumia matusi na nguvu za vyombo vya dola. Otherwise hamna ushawishi kwa wananchi

Huyo mwingine amekazania makengeza wakati hajafa na kuumbika !!. Mme wake laxima amzawadie mtoto kilema au tahahira tuone kama atamtupa !!
Ninyi mna ushawishi, haya shawishi wananchi waingie barabarani tuone
 
hivi CHADEMA wanawapigania watanzania au tamaa tu za madaraka tumeona watanzania wanapata matatizo huyo mwenyekiti wala atujawai mwona ameshindwa kwenda ata kuwapa salamu kariakoo walipo unguliwa na soko
Wanaowapa fedha wanataka pesa zao zitumike kwa kazi husika....Mzungu akupe pesa ya Kongamano la kutetea mashoga wewe uzitumie kuwapa pole waliolawitiwa?!
 
View attachment 1861764

View attachment 1861765
View attachment 1861766

Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.

Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)

Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.

=====

My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.

Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?

====

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)

Taarifa Kwa UMMA

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.

Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;

1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)

Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.

Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .

Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .

====

UPDATES:

=====

Jeshi la polisi mkoani Mwanza limefunga barabara ya Bwiru maarufu kona ya Bwiru jirani na ukumbi uliopangwa kufanyia kongamano la Chadema la kudai Katiba, hakuna kinachoendelea kwa sasa polisi wametanda barabara nzima wakiwa na magari na silaha za moto
Rasmi sasa kuwa Samia ameamua kujiandikia obituary yake mwenyewe mapema. Mungu hataniwi.

Utawala wa CCM ni worse than kuongozwa na jeshi ambalo viongozi wake ni dizaini ya Iddi Amini. It's absurd.

Bora tu sasa aingie Mabeyo & the boys waweze kuleta stabilization katika uongozi wa nchi yetu. Mabeyo is a gentleman - nina uhakika anaweza aka manage transition kutoka mikononi mwa CCM (ambao obviously sasa wamefikia kiwango cha total insanity) na kukabidhi nchi kwa uongozi uliokuwa sober.
 
Ninyi mna ushawishi, haya shawishi wananchi waingie barabarani tuone
Cdm haijawahi kuwa na vurugu bali Ccm inatamani Cdm wafanye vurugu.

Wananchi wanaikubali na kuwapenda Cdm . Kama si kuwaandalia risasi na mabomu ya kuwaleza watu wako tayari. Kwa ujumla wateule ni waoga na wanafiki. Viongozi waliochaguliwa hawawezi kuumiza wananchi wao.
 
Cdm haijawahi kuwa na vurugu bali Ccm inatamani Cdm wafanye vurugu.

Wananchi wanaikubali na kuwapenda Cdm . Kama si kuwaandalia risasi na mabomu ya kuwaleza watu wako tayari. Kwa ujumla wateule ni waoga na wanafiki. Viongozi waliochaguliwa hawawezi kuumiza wananchi wao.
Basi sawa, kamanda Jaluo
 
Chadema ni kama Mtoto anayelilia wembe bila kujua unaweza kumkata . Waache chokochoko .
Mimi ni kiumbe dhaifu kwa maana alivyo niumba Mungu na udhaifu wangu nitakuwa dhaifu hadi naingia kaburini.

Nyie mlimlinganisha huyo mfadhili wenu na yesu na mtume hivyo lipeni ghalama za kutukuza
 
Kwenu humo hamna hoja , na ni watu wa kutumia matusi na nguvu za vyombo vya dola. Otherwise hamna ushawishi kwa wananchi

Huyo mwingine amekazania makengeza wakati hajafa na kuumbika !!. Mme wake laxima amzawadie mtoto kilema au tahahira tuone kama atamtupa !!
Mbona na wewe umerudia yale yale?

Umejuaje kama yeye ni mwanamke?

Kwanza kuna watu wana matusi kama chadema hapa jukwani?
 
Safiii safiiii sanaaa.. Mbowe mjinga sana anamtest Mh. Rais Mama Samia, anaona mama Samia sbb labda ni mwanamke anamdharau, sasa atanyea debe miaka na miaka.
I wish i could be mama Samia, yaani Mbowe Form 6 Div 0 ningeweka ndani miaka 10.. Naapa kabisa.

Mbowe ni kufunga ndani for years. Anamtest Mama Samia, nadhani anaona sbb ni mwanamke anadhania hamfanyi kitu, juzi kati kaachiwa nchi nzima anazunguka kupiga kampeni, labda Mbowe alivyoona hajakamatwa, sasa kaamua kuanzisha movement mpya ya katiba, yote anamtest Mama Samia. Mh. Rais wetu, ebu mpe funzo huyo Mbowe Div 0 ya form 6.
 
Mimi ni kiumbe dhaifu kwa maana alivyo niumba Mungu na udhaifu wangu nitakuwa dhaifu hadi naingia kaburini.

Nyie mlimlinganisha huyo mfadhili wenu na yesu na mtume hivyo lipeni ghalama za kutukuza
Jiweke huru Mkuu .
 
Back
Top Bottom