Mwanza: Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mbowe na wenzake wanyakuliwa na Polisi usiku wa manane, haijulikani wako kituo gani

jamani wamemchukua kijambazi, usijekuta kabebwa na boxer tu,
 
Yote haya kuzuia watu kujadili Katiba Mpya? Seriously?

Amandla...
 
Akili zenu sijui kama mnawaza sawa sawa.

Hata akitoka Samia, mnadhani ndio mwisho wa matatizo ?

Hamjawajua CCM nyie.

Subirini mkiwekewa MWIGULU au MPANGO tena ndio mtaanza kukimbia kama DIGI DIGI.
Wewe si unalipwa kwa kuchunga ng'ombe wa mwigulu. Unadhani yanayoendelea tz hayatakuhusu. Pole zako.
 
Hivi DJ mbona amekuja kasi sana kipindi hiki cha Mama, anamwonea mama! Anamchukulia poa siyo? Mbowe aache vurugu! Nchi inataka amani na mshikamano!
Amefanya vurugu gani?

Kuwa na kongamano ni dhambi katika nchi ya Tanzânia?

Kwanini ccm wanafanya mikutano lakni hakuna matamko wala kukamatwa je ndio wanaostahiki?

Pingeni vitu kwa hoja na sio kwamabunduki.
 
Hivi DJ mbona amekuja kasi sana kipindi hiki cha Mama, anamwonea mama! Anamchukulia poa siyo? Mbowe aache vurugu! Nchi inataka amani na mshikamano!
Tutumie akili kidogo..Hivi mnyonyaji na mnyonyaji kati yao ni nani usababisha vurugu?!
Je,kudai Katiba Mpya ni vurugu?
Ni sheria ipi inavunjwa pale mwananchi anaposema Katiba au Sheria hii ni mbaya!!
 
CDM wenyewe walitimginya Mambo mama alikuwa mstaarabu na msikivu wakaanza kumchokonoa chokonoa mara wamnyoe sijui nywele gani ka mtangulizi wake, na hawataki subira mbona kipindi Cha magufuli walikuwa wapole hivo, so mama akatafsiri Wana mudharau hawa CDM hufanya viongoz wake so harsh Sana aisee, but hapo mwigulu kuwa Rais aisee atamzidi uovu Magufuli kama viroba vya binadamu wenzake alisema ni wahamiaji haramu Sasa si ndo tutazidi kuumia kuliko jiwe.
 
mwanamke aki react anakuwa mbaya Sana ngoja tuone
CDM walionyesha dharau kwa Samia, imagine aliwafutia Hadi case na dini na akaambia wawe na subira na Tena mikutano ilikuwa inaruhusiwa Sasa wao kumwona mama Yuko fair wakaanza ukaidi na kumdharau kisa mama, Sasa na mama kaamua awanyooshe kidogo.
 
Hyo agenda ya katiba ingekuwa na support ya wananchi wangeandamana, Sasa wananchi tu tumevurugwa na makodi mengi mara tozo mara ajira then utuambie katiba unafikiria tutakuelewa. In short CDM waje na agenda zinazogusa wananchi ka tozo, afya na ajira uone ka watakosa support hyo katiba ni janja Yao ya kutaka madaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…